Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi huwa inauzwa kwa kusema ukweli au kwa mikataba inayoingiwa na viongozi wa ccmAfe nani kwa matoi hayo - CCM iko level nyingine - acha LIssu aendelee kula mikataba ya kuuza nchi
uncle magu atalifanyia figisu alivyo na roho ya koroshoWatanzania waishio nchini Ubelgiji wamemzawadia mheshimiwa Tundu Lissu gari kama zawadi na pole kwa maswahibu yaliyomkuta
Asante watz wenzetu mnaoishi huko duniani kwa kujali utu.View attachment 1044004
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi hapo unajiona boonge la msela kumbe unakuwa msela maviKama anaweza kuagiza bunge na mahakama wafanye atakavyo, basi kitu gani bwana?
halijakidhi viwango vya matumizi kwa TZ maana mlango wa abiri kushoto hakuna.na kwa sheria za TZ abiria kushukia upande wa kulia ni hatariAsavali hakutumiwa pesa za matibabu na ufisi ya Bunge, ambazo ni fedha za serikali, maana hawachelewi kusema ndizo zimenunulia hilo basi.
Sijui kama walionunua hilo basi, waliwauliza Chadema serious na critical demands zao ni nini, wakaambiwa ni basi, then wakapewa basi, au watoa zawadi walijiamulia tuu kujitolea zawadi, wakachagua kujitolea basi.
Kuelekea 2020, Chadema inahitaji sana misaada ya hali na mali ili iweze.
P
Nchi huwa inauzwa kwa kusema ukweli au kwa mikataba inayoingiwa na viongozi wa ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
tutalipa kodi kama kawaidaHalitaruhusiwa pale bandari hahahaaha
Kuona ni kuamini, basi ndio hilo tumeliona, hakuhitaji kuhoji hiyo habari.
Sio rais Magufuli ndiye anayeruhusu mabasi yaingie au yasiingie, kama basi limekidhi viwango, litaruhusiwa kuingia, ali mradi litalipiwa kodi husika.
P.
Wachonga bodi wapo kuwa mpolehalijakidhi viwango vya matumizi kwa TZ maana mlango wa abiri kushoto hakuna.na kwa sheria za TZ abiria kushukia upande wa kulia ni hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga weweCCM inachukua kodi zetu na kununua wapinzani chadema inachangiwa na watanzania kununua vitendea kazi.nani mjinga CCM au chadema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watalingua sna likiwa rd mara overspeed mara taa za breki zinawaka bluututalipa kodi kama kawaida
QC
CHADEMA acheni kutuumiza
CHADEMA ache kutuumiza mulianza na magwanda tumetengeneza ya kijani na meusi, baadaye mkaanza na helkopta hatukuwa nyuma tukapambana leo hii ni miaka helkopta yetu ilimuua mtu muhimu sana!
Mumeanza kuja na basi na sisi tutanunua basi ila sasa sijui basi letu litaondoka nani? Kwa sababu watanzania wanavutiwa na basi lenu wakati wa kampeni tutakodi hata kwa majirani wetu kenya! Haiwezekani sisi tukusanye kodi alafu vitu vizuri mumiliki nyie tutapambana sambamba na nyie.