Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Mshaliediti mbwa nyie
Hivi huko bavicha hamna hata mwenye kaelimu hata kidogo?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Safari ndiyo imeanza nyie pokeeni oil chafu mkajaze kwenye mahindra zenu

In God we trust
Lakini si ni hili bus?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Ccm mwenye elimu ni msukuma kasheku
Hivi huko bavicha hamna hata mwenye kaelimu hata kidogo?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.

In God we trust
 
Bwanaeee usituchoshe watanzania tumependa hivyohivyo Photoshop.haya nyamaza
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ccm mwenye elimu ni msukuma kasheku

In God we trust
Kwahiyo mkuu picha halisi hapo ni ipi?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Nzi wa kijani wenye roho chafu kama mbu hawapendi habari hizi wakiongozwa na zwazwa mkuu, bichwa baya.
Hawa wametuvurugia umoja wetu wa kitaifa kwaajili ya matumbo yao
 
this red light alerms a snake from a hole.
 
Konoike wameshinda kesi muwalipe 110billion

In God we trust
Sawa mkuu,turudi kwenye gari yetu mpya ni ipi kati ya hizi mbili ni fake?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Hiyo lazima TRA wachukue tax kuanzia bilioni moja na ushee ili mshindwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…