Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Hapo kwenye mikataba ya kuuza nchi. Naomba uniambie mikataba hiyo.. na akina. Nani wanahusika.. maana nimekuwa nikisikia mashtaka mengi sana kuhusu lisu lakin hakuna ushahid.. kama utakuwa nao pls nitumie.
Afe nani kwa matoi hayo - CCM iko level nyingine - acha LIssu aendelee kula mikataba ya kuuza nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust
Mungu wabariki Wazungu
 
Itaingia nchini? Kodi yake mtalikimbia walichukue Ccm wawape TOT
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust

Sent using Jamii Forums mobile app
 
="MISULI, post: 30717414, member: 199675"]We unajiona una AKILI?Wenye akili wote wamedoubt hiyo picha ila wapuuzi wote wamekata mauono mushangilia. Soma signature yangu hapo chini.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.[/QUOTE] the stupid ones are full of confidence like you! Kama unadhani kuwa una akili kuliko wengi wetu humu unajidanganya kwani wenye akili hawabishanagi sana wala hawamezwi na
Itikadi bali ukweli na uwazi! Buku saba wahed!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom