Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Lofa kweli kweli wewe.Ngoja utasikia vizur siku baba ako akianza kulia mjengoni...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lofa kweli kweli wewe.Ngoja utasikia vizur siku baba ako akianza kulia mjengoni...
Afe nani kwa matoi hayo - CCM iko level nyingine - acha LIssu aendelee kula mikataba ya kuuza nchi
Mjinga ni ccmCCM inachukua kodi zetu na kununua wapinzani chadema inachangiwa na watanzania kununua vitendea kazi.nani mjinga CCM au chadema?
Sent using Jamii Forums mobile app
AmenHakuna lisilo wezekana
In God we trust
Magari yenyewe wanapigwaaa alafuWao wamezoea Mahindra sasa wakiona kitu scania LHD lazima wakae chini
In God we trust
Mungu wabariki WazunguKwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
Mnanunua basi wakati mnalaka nje!!!
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
Sawa.Na mini nakwambia siyo PHOTO SHOP
In God we trust
Sawa kabisa asante kwa kunikumbusha.Wachaga wanapenda sana mabasi!
Mtahangaika sana lkn ukweli mnao wenyewe moyoni
In God we trust
Kwa hivyo safari hii mtafanyaje ili upinzani ushinde?Mimi nilikuwa mwana CCM kama wewe hatujawahi kushinda uchaguzi.toa uwongo wako hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna bus hapo mnajitekenya na kucheka wenyewe.