[emoji23][emoji23]Likiingia bandarini litadaiwa kodi ya kwanzia 1992 kipindi ambacho vyama vingi vimeanzishwa ata kama manufactor date ni 2018
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Likiingia bandarini litadaiwa kodi ya kwanzia 1992 kipindi ambacho vyama vingi vimeanzishwa ata kama manufactor date ni 2018
Sawa, ngoja Chadema wasubiri basi lifike kutoka Belgium, kwa akili hizi za kununua picha ya basi na kumzawadia Lissu huku JF CCM itatawala miaka mingine 100.
Sasa tutapunguzaje ushamba wakati ninyi wenyewe ndio mliotujengea shule za kata ili kutuongezea ushamba. Kwenye shule za kata za CCM hata waalimu wenyewe hawajui photoshop ni mdudu wa aina gani, sasa kwa sisi wanafunzi itakuwaje? Kidumu chama cha Mapinduziiiiii.Kiufupi tu hiyo ya chadema ni Adobe Photoshop imefanya yake,kama huna elimu ya hili swala ni pm nikupe maujanja. Naweza kukuedit hadi wewe nimukupakata na mkeo akasema kuanzia leo mi nawe Basi. Punguza ushamba mkuu.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Hahahahahah nouma sanaSasa tutapunguzaje ushamba wakati ninyi wenyewe ndio mliotujengea shule za kata ili kutuongezea ushamba. Kwenye shule za kata za CCM hata waalimu wenyewe hawajui photoshop ni mdudu wa aina gani, sasa kwa sisi wanafunzi itakuwaje? Kidumu chama cha Mapinduziiiiii.
Wanajua fika kuwa wakitoa elimu bora wasinge kuwepo hadi leo madarakaniSasa tutapunguzaje ushamba wakati ninyi wenyewe ndio mliotujengea shule za kata ili kutuongezea ushamba. Kwenye shule za kata za CCM hata waalimu wenyewe hawajui photoshop ni mdudu wa aina gani, sasa kwa sisi wanafunzi itakuwaje? Kidumu chama cha Mapinduziiiiii.
Hahaha... Endelea kushangilia picha za Google eti basi.. Huyo mgonjwa wenu ndo kaishafeli hata mumpambe Vipi... Vipi lini anakutana na Trump na Papa na kuhutubia bunge la Marekani?,. Nyie ndo maana mliitwa NYUMBU mna akili za kuvukia barabara tu.Labda itatawala familia yako kupitia ufadhili wa chakubanga
In God we trust
Ukitaka kuwatawala watu milele tena bila usumbufu wa aina yoyote, basi wajaze ujinga badala ya maarifa. Wataishia kuwa misukule tu na utawafanya lolote utakalo. Na hii huwa ndio kazi ya propaganda, Ni kuwajaza watu ujinga ili watawalike kwa urahisi.Wanajua fika kuwa wakitoa elimu bora wasinge kuwepo hadi leo madarakani
In God we trust
Ni heri uishi na nyumbu kuliko kuishi na green mambas. Ukiishi na nyumbu utakuwa salama zaidi kuliko kuishi na green mambas.Hahaha... Endelea kushangilia picha za Google eti basi.. Huyo mgonjwa wenu ndo kaishafeli hata mumpambe Vipi... Vipi lini anakutana na Trump na Papa na kuhutubia bunge la Marekani?,. Nyie ndo maana mliitwa NYUMBU mna akili za kuvukia barabara tu.
Ukitaka kuwatawala watu milele tena bila usumbufu wa aina yoyote, basi wajaze ujinga badala ya maarifa. Wataishia kuwa misukule tu na utawafanya lolote utakalo. Na hii huwa ndio kazi ya propaganda, Ni kuwajaza watu ujinga ili watawalike kwa urahisi.
Sio roho mbaya tu, hata ile sumu inayotoka kwenye vinywa vyao, inaua kuliko kawaida.Wana roho mbaya sana hao wadudu
In God we trust
Ushuzi mtupu.CCM ndiyo wametaifisha mali za Mbowe, alafu kama Judge Joseph Warioba anamkubali Lissu kapuku kama wewe ambaye hata ndani ya halmashauri kuu ya CCM hawakutambui inakuwaje unakifia chama kibudu hivyo? Au kwa sababu unaishi kwa kumeza vidonge akili imeganda?
Sent using Jamii Forums mobile app