Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So chadema wakenda kulipigia nembo palepale lilipokuwa linapark?Hivi una elimu gani kwanza?Ni lile lile, ila kwenye picha nyingine lilikuwa halimilikiwi na cdm, na kwenye nyingine umiliki umeshabadilishwa.
Sacan sio SANLG au YUTOM kama za mwendokasi mkuuCCM wakiamua wanaingiza hata 10,000 -
Mungu ibariki Technology.Ohoooo !!!
CCM ndiyo wametaifisha mali za Mbowe, alafu kama Judge Joseph Warioba anamkubali Lissu kapuku kama wewe ambaye hata ndani ya halmashauri kuu ya CCM hawakutambui inakuwaje unakifia chama kibudu hivyo? Au kwa sababu unaishi kwa kumeza vidonge akili imeganda?Mbowe atalitaifisha. Subiri tu.
Mbona magari mawili tofauti hapoo[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Mungu ibariki Technology. View attachment 1044256View attachment 1044257View attachment 1044258
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Mbona magari mawili tofauti hapoo[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Sent using Jamii Forums mobile app
Utofaut wake ni moja kuwekwa nembo za chadema na nyingine iko kawaida. Gari ni hiyohiyo moja na mazingira ni hayohayo. Kama unaelimu kidogo ya Adobe Photoshop hili haliwezi kuwa la ajabu kwako.Mbona magari mawili tofauti hapoo[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM ndiyo wametaifisha mali za Mbowe, alafu kama Judge Joseph Warioba anamkubali Lissu kapuku kama wewe ambaye hata ndani ya halmashauri kuu ya CCM hawakutambui inakuwaje unakifia chama kibudu hivyo? Au kwa sababu unaishi kwa kumeza vidonge akili imeganda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kwa elimu yako feki, ni nani aliyekuambia chadema wana gereji ya kupiga magari rangi, au kila gari lenye nembo za chadema limepigwa rangi hiyo na wao!So chadema wakenda kulipigia nembo palepale lilipokuwa linapark?Hivi una elimu gani kwanza?
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Mkuu endelea kumuumbua huyu FALA alifikiri atakamata watu, kapewa like kibao na NYUMBU wenzake Ila wakifungua page za mbele wanaona lenyewe toka Google wanaamua kupita kimya, hii story ingekuwa ya kweli CDM wote akiwemo MWANAHABARI feki na Salry Slp wangehamia humu, Ila wanapita kimya wanashindwa kutetea UPUMBAVU na utoto wa mleta mada.Kabaki anapigania uongo wake mwenyewe..Utofaut wake ni moja kuwekwa nembo za chadema na nyingine iko kawaida. Gari ni hiyohiyo moja na mazingira ni hayohayo. Kama unaelimu kidogo ya Adobe Photoshop hili haliwezi kuwa la ajabu kwako.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Kiufupi tu hiyo ya chadema ni Adobe Photoshop imefanya yake,kama huna elimu ya hili swala ni pm nikupe maujanja. Naweza kukuedit hadi wewe nimukupakata na mkeo akasema kuanzia leo mi nawe Basi. Punguza ushamba mkuu.Wewe kwa elimu yako feki, ni nani aliyekuambia chadema wana gereji ya kupiga magari rangi, au kila gari lenye nembo za chadema limepigwa rangi hiyo na wao!
Yaani, kwa hii comment yako hii fasihi ya mleta mada imefanikiwa sana.Uzuri mmeshapewa ukweli, Mmegeuza jukwaa kijiwe cha WAPUMBAVU. Inawezekanaje Great Thinker asiweze jua hata ishu ndogo tu ya Photoshop?
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Jamaa ananichukia balaa. Naharibu kiki yake hahahahahahahMkuu endelea kumuumbua huyu FALA alifikiri atakamata watu, kapewa like kibao na NYUMBU wenzake Ila wakifungua page za mbele wanaona lenyewe toka Google wanaamua kupita kimya, hii story ingekuwa ya kweli CDM wote akiwemo MWANAHABARI feki na Salry Slp wangehamia humu, Ila wanapita kimya wanashindwa kutetea UPUMBAVU na utoto wa mleta mada.Kabaki anapigania uongo wake mwenyewe..
Mkuu endelea kumuumbua huyu FALA alifikiri atakamata watu, kapewa like kibao na NYUMBU wenzake Ila wakifungua page za mbele wanaona lenyewe toka Google wanaamua kupita kimya, hii story ingekuwa ya kweli CDM wote akiwemo MWANAHABARI feki na Salry Slp wangehamia humu, Ila wanapita kimya wanashindwa kutetea UPUMBAVU na utoto wa mleta mada.Kabaki anapigania uongo wake mwenyewe..
Basi fuleshi, ntaenda kwenye uzinduzi na xafari ya kwanza ntapenda niwepo pia.😂😂😂😂mabebelu wametoa uxafili kwa kaxi 1 ya kukijenga xhama mkuu😂
Lipi kati ya hili mtatumia nguvu?
Sawa, ngoja Chadema wasubiri basi lifike kutoka Belgium, kwa akili hizi za kununua picha ya basi na kumzawadia Lissu huku JF CCM itatawala miaka mingine 100.Hutaki kasage chupa unywe huyo ndiyo kiboko yenu nyinyi waramba viatu wa chakubanga.View attachment 1044269View attachment 1044270
In God we trust