MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,843
- 5,476
Hili jukwaa limeanza kutawaliwa na WAPUMBAVU. Kwa huu uzi nimeona hakuna Great Thinker tena zaidi ya vijana wa propaganda toka uvccm na bavicha. Huyo mwenzio anajua nini anafanya na ndio maana Mimi nimemkomalia na alipoona Namuharibia kiki yake kaniblock ili aendelee kushika akili za WAPUMBAVU wenzie. Nimempa picha hapo kamind sana hahahahahahah.Mkuu habari ya KONOIKE haiondoi ukweli kwamba umechukua picha Google, ukabandika chata kwenye computer yako ukaleta Uzi hapa eti Lissu kazawadiwa na NYUMBU wenzako wakakata mauno.Tangu mchana umekomalia huu uongo.Inaonyesha una akili za kitoto sana, tumekuwekewa mpaka picha Original bado unatetea huu UPUMBAVU.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.