Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Mkuu habari ya KONOIKE haiondoi ukweli kwamba umechukua picha Google, ukabandika chata kwenye computer yako ukaleta Uzi hapa eti Lissu kazawadiwa na NYUMBU wenzako wakakata mauno.Tangu mchana umekomalia huu uongo.Inaonyesha una akili za kitoto sana, tumekuwekewa mpaka picha Original bado unatetea huu UPUMBAVU.
Hili jukwaa limeanza kutawaliwa na WAPUMBAVU. Kwa huu uzi nimeona hakuna Great Thinker tena zaidi ya vijana wa propaganda toka uvccm na bavicha. Huyo mwenzio anajua nini anafanya na ndio maana Mimi nimemkomalia na alipoona Namuharibia kiki yake kaniblock ili aendelee kushika akili za WAPUMBAVU wenzie. Nimempa picha hapo kamind sana hahahahahahah.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Wewe ndiyo utakuwa ni kiongozi wa wapumbavu wenzako wa lumumba kama unaona vibaya kupata kwa jirani yako sheitwani mkubwa wewe

In God we trust
Acha UPUMBAVU, hiyo habari umeitoa wapi?Ipi ni picha fake ktk hizo?Mbona unageuza jukwaa kijiwe cha WAPUMBAVU?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Kwahiyo unaamini mmepata basi kutoka Google!????... Kweli wewe ni wa kuhurumia, nilikuwa najua upeo wako ni mdogo na Leo kwa kuleta basi kutoka Google eti Lissu kazawadiwa ndo nimeamini nilikuwa sahihi. Na gazeti lenu la Tanzania Daima wanaweza wakaandika hii habari ukurasa wa mbele wa gazeti.Kweli mmeishiwa.
Hahahahahah, mkuu you habari unaweza ikuta kesho kwenye kipeperushi chao.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
wambieni lumumba diaspora Ubeljij imetunuku basi Chadema.Wambieni lumumba basi nj la kampeni mgombea urais wa upinzani.Wambieni lumumba pata shika 202o dunia itatikisika.
Hii au?
tapatalk_1552395006163.jpeg


The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Poleni nyinyi mnao kesha kulia kwenye msiba wa jirani yenu
Dalili halisi za kufeili ziara za mgonjwa Lissu ughaibuni. poleni washabiki wa mtaalamu wa uanasheria wa kiharakati!!!

In God we trust
 
Huyo ndiye Mh Tundu Lissu utampenda tu angalau kimoyo moyo
Dalili halisi za kufeili ziara za mgonjwa Lissu ughaibuni. poleni washabiki wa mtaalamu wa uanasheria wa kiharakati!!!
FB_IMG_1552417092771.jpeg


In God we trust
 
Tatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Roho inauma kweli, yaani wivu unaweza ua watu. Siku wakizawadiwa ndege kuna watu watakufa na presha. Hongera sana CDM.
 
Roho inauma kweli, yaani wivu unaweza ua watu. Siku wakizawadiwa ndege kuna watu watakufa na presha. Hongera sana CDM.
Ipi fake?
tapatalk_1552395019100.jpeg
tapatalk_1552395006163.jpeg
Screenshot_20190312-185645_Chrome.jpeg


The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Siku hiyo mitandao yote ya kijamii itazimwa ili watu wasione kilichotolea
Roho inauma kweli, yaani wivu unaweza ua watu. Siku wakizawadiwa ndege kuna watu watakufa na presha. Hongera sana CDM.

In God we trust
 
Sio kweli! Yaan mlengo wa upinzani jf uwakilishe watanzania wote? Subiri uchaguzi serikali za mitaa halafu rudi humu kuleta mrejesho.
Wote nawe ukiwepo

In God we trust
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom