Ha haa! Hilo gari najua halijafanyiwa inspection huko Ulaya kwa kuwa hakuna wakala. Definitely litabidi lipitie NIT kufanyiwa inspection. Ninawasi wasi kama kweli litapita kwenye inspection... Labda kusiwe na maagizo kutoka juu!
CHADEMA, basi lenu mjiandae kulichinja spea mkaziuze pale Kariakoo/ Gerezani...
Huyo jamaa hakawii kusema Mungu wabariki wabelgiji.Dah umekuja kumsaidia kutetea uongo!?...
Lisu ni binadamu wa kwanza kujua sheria za nchi za nje by Salary slip!Lisu azawadiwa Meli mpya, Lisu akabidhiwa treni, Lisu ateuliwa kuwa makamu wa raisi Ubelgiji....Lisu, Lisu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado tu hujaungana na Lowasa aka mamvi? Ulipo tupo.Hata kusoma hujui
In God we trust
MUNGU UBARIKI TECHNOLOGYmbona unateseka ?
za kujipongeza kwa wizi hata 100,000 wanaweza ila za kukubalika kwenye Mioyo ya vijana wazalendo ZIRO.CCM wakiamua wanaingiza hata 10,000 -
za kujipongeza kwa wizi hata 100,000 wanaweza ila za kukubalika kwenye Mioyo ya vijana wazalendo ZIRO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atalitumia huko huko aliko labda.Tatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Hahahaa....... Kuongoza Chadema ni kazi rahisi sana by Freeman Mbowe!Hutaki au?mnajisikiaje mnavyo lazimika kulipa 110billion kwa konoike?hakusema mkambeza?
In God we trust
Hapo ndipo Shetani atakapo jidhihirisha Ushirika wake na Utawala wa NDULI.Likiingia bandarini litadaiwa kodi ya kwanzia 1992 kipindi ambacho vyama vingi vimeanzishwa ata kama manufactor date ni 2018
[emoji16][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji16][emoji23][emoji1787]daahTatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.