Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Ili mradi unasema ni mali ya cdm basi hayo mengine ni mazungumzo baada ya habari
Ha haa! Hilo gari najua halijafanyiwa inspection huko Ulaya kwa kuwa hakuna wakala. Definitely litabidi lipitie NIT kufanyiwa inspection. Ninawasi wasi kama kweli litapita kwenye inspection... Labda kusiwe na maagizo kutoka juu!
CHADEMA, basi lenu mjiandae kulichinja spea mkaziuze pale Kariakoo/ Gerezani...

In God we trust
 
Hata nawe bado upo kwenye mkumbo wa mawazo ya kimasikini kwa kuwa umechangia
Chadema sijui akili za kimaskini mtaacha lini Maana hatuwezi acha kujadili mambo makubwa tukaanza kujadili mabasi tena ya zawadi

In God we trust
 
mbona unateseka ?
MUNGU UBARIKI TECHNOLOGY
20190312_220417.jpeg
tapatalk_1552395006163.jpeg


The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom