Hawa tunao sambamba mpaka waombe poo.Wasione watu wajinga, kununua basi kutoka Google images wakamzawadia Lissu basi la picha.Ipi fake mkuu?View attachment 1044304View attachment 1044305View attachment 1044306
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Hawa jamaa wanaona watu mafala, wameona jamaa kapotea hasikiki wamemnunulia basi kutoka Google images..😀😀😀
Wanajijaza matangopori wenyewe halafu matokeo ya uchaguzi yakitoka wanaumia. Sasa sijui huwa wanakuwa washasahau!Hawa jamaa wanaona watu mafala, wameona jamaa kapotea hasikiki wamemnunulia basi kutoka Google images..😀😀😀
Sijui litapita wapi......bandarini, airport au wapi?Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
Hivi wewe hapo ni showroom?Huoni kuwa imechukuliwa picha Google na kufanyiwa Photoshop?Au hii elimu huna?Mtachonga sana kwani bombadier si,Zinauzwa mitandaoni kosa ni nini hapo
SWISSME
scania touring de vip bus - Пошук GoogleUbelgiji ni nchi ndogo sana na kwasababu ya lugha, watz ni wachache sana wengi wao ni wa CCM na wametoa hilo bus kwa CHADEMA sio kwa Lissu. Gharama za kumpeleka Lissu na mkewe Marekani zingeweza kununua mabus mengi kakini mfadhili huchagua mwenyewe amsaidie nani. Kwa kuwa limenunuliwa litafika hapa kwa meli au litaendesha na dreva aliye huko. Watz wenye utu bila kujali itikadi tuwashukuru waliotoa msaada.
Mi ntapanda hiliWasio penda basi la Lissu wasipande wanywe juisi ya mwarobain lita 100 washushie pilipili kichaa na miwashawasha viva Lissu 2020 na Sera Mbadala
Ubelgiji ni nchi ndogo sana na kwasababu ya lugha, watz ni wachache sana wengi wao ni wa CCM na wametoa hilo bus kwa CHADEMA sio kwa Lissu. Gharama za kumpeleka Lissu na mkewe Marekani zingeweza kununua mabus mengi kakini mfadhili huchagua mwenyewe amsaidie nani. Kwa kuwa limenunuliwa litafika hapa kwa meli au litaendesha na dreva aliye huko. Watz wenye utu bila kujali itikadi tuwashukuru waliotoa msaada.
Rudi darasani kama umeshindwa kujua nini kimefanyika ktk hizo pichaUbelgiji ni nchi ndogo sana na kwasababu ya lugha, watz ni wachache sana wengi wao ni wa CCM na wametoa hilo bus kwa CHADEMA sio kwa Lissu. Gharama za kumpeleka Lissu na mkewe Marekani zingeweza kununua mabus mengi kakini mfadhili huchagua mwenyewe amsaidie nani. Kwa kuwa limenunuliwa litafika hapa kwa meli au litaendesha na dreva aliye huko. Watz wenye utu bila kujali itikadi tuwashukuru waliotoa msaada.
Acha kuvuta bangi chooni kama vipi Fungua uzi mpya huu unahusu kumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.Mi ntapanda hiliView attachment 1044316
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Kwamba hakuna hata bavicha mmoja humu aliye na elimu ya Photoshop zaidi ya huyo mtoa mada?Kwamba hakuna hata bavicha mmoja humu mwenye viakili kidogo kuhoji source ya hiyo habari?mkiitwa nyumb ******* wanakosea?Acha kuvuta bangi chooni kama vipi Fungua uzi mpya huu unahusu kumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji
Wewe unafaa kuzawadiwa Jeneza.mtu atuchafulie nchi atusababishie uhusiano mbovu na donors wetu harafu atuletee siasa hizi
Lissu kapewa basi la picha kutoka Google, ikapigwa chata ya CHADEMA kwenye PHOTOSHOP na wewe upo hapa unampongeza?,basi linanunuliwaga Google images?Acha kuvuta bangi chooni kama vipi Fungua uzi mpya huu unahusu kumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji
Kama waliweza kudeki barabara unafikir hapa watakuelewa?Lissu kapewa basi la picha kutoka Google, ikapigwa chata ya CHADEMA kwenye PHOTOSHOP na wewe upo hapa unampongeza?,basi linanunuliwaga Google images?
scania touring de vip bus - Пошук Google
View attachment 1044322
Umetumwa kuujambia Uzi wetu eehKwamba hakuna hata bavicha mmoja humu aliye na elimu ya Photoshop zaidi ya huyo mtoa mada?Kwamba hakuna hata bavicha mmoja humu mwenye viakili kidogo kuhoji source ya hiyo habari?mkiitwa nyumb ******* wanakosea?View attachment 1044319View attachment 1044320View attachment 1044321
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
😀😀😀😀😀Likiingia bandarini litadaiwa kodi ya kwanzia 1992 kipindi ambacho vyama vingi vimeanzishwa ata kama manufactor date ni 2018