Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
La kubeba watoto wa shule?

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Kwahiyo inakuuma kitu gani?ndiyo itaifanya shilingi ipande against us$?

In God we trust
Mona mapovu mzee wangu. Sielewi umepitia kilabu gani asubuhi hii. Mimi nimesema walioandika maandishi wamyeapindisha wewe unalalama shilingi kupanda against US$. Kupanda kwa shilingi hakuna uhusiano kabisa na maandishi kutonyooka labda kama una kizunguzungu kichwani. Usirudi kwenye kilabu ulikopitia asubuhi hii. Mataputapu waliyokupa yatakuharibu akili ushindwe kutofautisha maandishi kwenye picha na thamani ya shilingi dhidi ya dola ya kimarekani
 
Kwani mimi kukuuliza kuapnda kwa sh against us $ kuna ubaya gani?
Anyway tuyaache hayo kuhusu kilabu nimekesha nafurahia maisha hapa starehe nairobi

In God we trust
 
Rais wetu alipokuwa anazopokea ndege zetu pale airport, wapinzani walikuwa wanachonga sana wakidai kuwa ni ushamba Kwa Rais kwenda juzi pokea hizo ndege, sasa nyie wapinzani hapo mmezawadiwa basi tu tena UDA mnaonyesha mbwembwe kibao sijui siku mkizawadiwa ndege nahisi mtazimia
 
NAONA BAVICHA MTALIFANYIA MAPOKEZI YA NGUVU DREAMLINER YA LISU
 
Kwahiyo nyie zile ndege mlizawadiwa?mbona unatumia mifano mfu?
In God we trust
 
Mapokezi mnafanyaga nyinyi ccm, watu wa cdm ni watu makini sana kwenye mambo yao
NAONA BAVICHA MTALIFANYIA MAPOKEZI YA NGUVU DREAMLINER YA LISU

In God we trust
 
.....
.....hili Kumbakumba likipita mtaani kijiji chote kinafuta Nyuma
 


Hii kitu imekaa vizuri, na ni mwanzo mzuri.
Wasiopenda watakuja muda si mrefu wakisema hamna kitu kama hicho, na watasema mara wamebandika tu maandishi, mara watasema Photoshop,mara hivi, ilimradi tu wapumue.
 
Tatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
hakuna mbwebwe hapo kasema wamepewa gari mpya..kuna ubaya gani wakipewa, siasa sio uadui. acha wapewe kila chama wawe na gari na ofisi zao wafanye kazi zao, wananchi watawapima kwa kile watakachokileta mbele yao
 
Wamekesha wana fanya wanalo weza ila hiyo haiondoi ukweli wa cdm kukubalika nje ya mipaka ya nchi yetu
Hii kitu imekaa vizuri, na ni mwanzo mzuri.
Wasiopenda watakuja muda si mrefu wakisema hamna kitu kama hicho, na watasema mara wamebandika tu maandishi, mara watasema Photoshop,mara hivi, ilimradi tu wapumue.

In God we trust
 
Kwa wana ccm hiyo ni dhambi maana wao ndiyo wanajiona wanastahili kupendwa na kukubalika
hakuna mbwebwe hapo kasema wamepewa gari mpya..kuna ubaya gani wakipewa, siasa sio uadui. acha wapewe kila chama wawe na gari na ofisi zao wafanye kazi zao, wananchi watawapima kwa kile watakachokileta mbele yao

In God we trust
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…