Suala sio basi Mkuu. Bali nikuonyesha kukubalika kwake hata nje ya mipaka ya nchi yetu. Pili kuungwa mkono na Wazalendo wenzetu waishio nje ni salamu tosha kwa chama chenu pamoja na wale wote wenye roho mbaya kama wale waliowatuma wasiojulikana kwenda kumdhuru Mh Lissu.Tatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Sasa ndo mmeamua kumnunulia basi kutoka Google mkalipitisha Photoshop kulipiga chata za chama?Suala sio basi Mkuu. Bali nikuonyesha kukubalika kwake hata nje ya mipaka ya nchi yetu. Pili kuungwa mkono na Wazalendo wenzetu waishio nje ni salamu tosha kwa chama chenu pamoja na wale wote wenye roho mbaya kama wale waliowatuma wasiojulikana kwenda kumdhuru Mh Lissu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
Suala sio basi Mkuu. Bali nikuonyesha kukubalika kwake hata nje ya mipaka ya nchi yetu. Pili kuungwa mkono na Wazalendo wenzetu waishio nje ni salamu tosha kwa chama chenu pamoja na wale wote wenye roho mbaya kama wale waliowatuma wasiojulikana kwenda kumdhuru Mh Lissu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Naona baada ya kupigwa viwili vitatu ukaona bora ukamnunulie Lisu gari GoogleKwani mimi kukuuliza kuapnda kwa sh against us $ kuna ubaya gani?
Anyway tuyaache hayo kuhusu kilabu nimekesha nafurahia maisha hapa starehe nairobi
In God we trust
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Naona baada ya kupigwa viwili vitatu ukaona bora ukamnunulie Lisu gari Google
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe wasema.Sasa ndo mmeamua kumnunulia basi kutoka Google mkalipitisha Photoshop kulipiga chata za chama?
https://www.google.com/search?q=sca...-infinix-rev1&sourceid=chrome-mobile&ie=UTF-8
Mh Dada,kuna mbwembwe kubwa zaidi ya ile ya kupiga mipushapu majukwaa ya siasa utadhani MTU anagombea ukuliTatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Sawa.. Ngoja tufanye Tundu Lissu kapewa basi jana na litaletwa Tanzania kwa ajili ya CHADEMA. Umefurahi mkuu?
Hii ni zawadi kutoka kwa mabeberu au watanzania wanaoishi nje?, Maana kama ni kwa mabeberu naona juhudi za kuanza kuwadhamini kuelekea uchaguzi. Unapewa zawadi mwisho wa siku unajiachia then wanapata nafasi ya kukushawishi na kuchukuwa wanachokitaka kwenye Taifa lako.
Hii ni zawadi kutoka kwa mabeberu au watanzania wanaoishi nje?, Maana kama ni kwa mabeberu naona juhudi za kuanza kuwadhamini kuelekea uchaguzi. Unapewa zawadi mwisho wa siku unajiachia then wanapata nafasi ya kukushawishi na kuchukuwa wanachokitaka kwenye Taifa lako.
Mh Dada,kuna mbwembwe kubwa zaidi ya ile ya kupiga mipushapu majukwaa ya siasa utadhani MTU anagombea ukuli
Sent using Jamii Forums mobile app
Ogopa MUNGU na teknolojia haya wenye macho hatuambiwi tazama.
Shida iko wapi sasa hapo !!? Je kama lilikuwa lime pack kabla yakupigwa stickers !!?Kanunuliwa Google au wapi?Usicheze na Technology. View attachment 1044521View attachment 1044522View attachment 1044523
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.