Brayson Minja
Member
- Aug 22, 2017
- 54
- 39
VzurKwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
Mkuu acha wivu.Tatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Ile trilioni 1.5 mbona ilichotwa na mabeberu weusiHii ni zawadi kutoka kwa mabeberu au watanzania wanaoishi nje?, Maana kama ni kwa mabeberu naona juhudi za kuanza kuwadhamini kuelekea uchaguzi. Unapewa zawadi mwisho wa siku unajiachia then wanapata nafasi ya kukushawishi na kuchukuwa wanachokitaka kwenye Taifa lako.
Kweli ndio naamini sasa kua chadema imekwisha hawana sera wala nyimbo., hicho kibasi ndio cha kupigia makelele , mh Lowasa amewashika pabaya.Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
Nashindwa kukuelewa una maana gani? Wamepewa mbona unachukia?Tatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Kweli kabisa, hata viwanja vya halmashauri walijibinafsishia hilo lawezekana kabisa.CCM wakiamua wanaingiza hata 10,000 -
Lowassa mwenyewe kamkimbia Lissu baada ya kusikia 2020 anataka kugombeaKweli ndio naamini sasa kua chadema imekwisha hawana sera wala nyimbo., hicho kibasi ndio cha kupigia makelele , mh Lowasa amewashika pabaya.
Propaganda ?We learn from the best- ccm.Hii au?View attachment 1044211
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
?Ee Mungu Mwenyezi mbariki Tundu Lissu
Inshu sio kununua, kitu cha kununua mwenyewe na kile cha kupewa, kina tofauti mtu anayekupa kitu ina maana amekubali kile unachokifanya, hiyo inakuwa kama shukrani!!!CCM wakiamua wanaingiza hata 10,000 -
HoaxKwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
Ha ha ha , amkimbie kwa lipi jamani ? Ikulu si mahali pa mchezomchezoLowassa mwenyewe kamkimbia Lissu baada ya kusikia 2020 anataka kugombea
Kama watu wenye mapenzi na nchi yao hiyo ela kwa ajili ya kununua basi wangechangia TASAF uwasaidie maskini au kama hawana imani na taasisi za kiserikali wametoa kwny NGOs zinazo fanya kazi na jamii kwa ukaribuKwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust