Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Ile trilioni 1.5 mbona ilichotwa na mabeberu weusi
 
Kweli ndio naamini sasa kua chadema imekwisha hawana sera wala nyimbo., hicho kibasi ndio cha kupigia makelele , mh Lowasa amewashika pabaya.
 
Hoax
 
Kama watu wenye mapenzi na nchi yao hiyo ela kwa ajili ya kununua basi wangechangia TASAF uwasaidie maskini au kama hawana imani na taasisi za kiserikali wametoa kwny NGOs zinazo fanya kazi na jamii kwa ukaribu
Ila mbongo ni kama Waafrika wengine na akili zetu zinafanana kwa sababu sisi wote ni Waafrika
 
Hao vijana wa lumumba washapumbazwa na chakubanga hivyo kutumia akili kufikiri kwao ni mtihani sana
Lowassa mwenyewe kamkimbia Lissu baada ya kusikia 2020 anataka kugombea

In God we trust
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…