Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Karne hii walafi na wanye nchi ni watawala wenye katiba kama hii tuliyo nayo.
Kwa nchi yenye katiba bora na miiko ya uongozi bila kujali vyama na maslahi ya watawala hakuna mtu mmoja anayeweza kuuza nchi.
Natamani sana nchi iondoke mikononi mwa SiSeMi ili mujue umuhimu wa kuwa na katiba bora inayowadhibiti watawala. Mumejiwahau sana na kuwaona watawala kuwa ni miungu kwa sababu tu ya kuwapa mamlaka ya kuwateua maelfu ya marafiki zao na wale wanaowataka na kuwaweka kwenye ulaji. Lakini sikukifanyiwa mnayofanyia binadamu wenzenu mtajua umuhimu wa kuwa na katiba bora na miiko ya uongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimekuelewa unasemaje kuhusu
(i). Katiba ya chama kama cha CHADEMA - Mwenyekiti ana uhalali wa kuwa kwenye madaraka hayo kwa karibia miongo mitatu?
(ii). Katiba ya chama kama cha NCCR Mageuzi - Mwenyekiti ana uhalali wa kuwa kwenye madaraka hayo kwa karibia miongo mitatu?
(iii). Chama cha TLP - Mwenyekiti ana uhalali wa kuwa kwenye madaraka hayo kwa karibia miongo mitatu?
(iv). Chama cha CUF - Mwenyekiti ana uhalali wa kuwa kwenye madaraka hayo kwa takriban miongo mitatu?

In short kama taasisi za vyama zinaendeshwa kidikiteta hatuwezi kutegemea taasisi hizo zitoe viongozi kama rais wenye uwezo wa kusimamia katiba?

TAASISI ZA VYAMA ZIBADILIKE KWANZA
 
Kwahiyo hata huko Google lilipakiwa hivohivo kabla ya kuweka sticker?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Show show show show show show
FB_IMG_1550766064153.jpeg


In God we trust
 
anza kunitajia NGO'S zilizo fungiwa
Alaf Mm na valontia kwny kituo cha watoto yatima sijawahi kusikia habari ya kulipia kodi labda kituo gani ndugu huwa mnafanya hivyo
Huu uzi unahusu cdm kupatiwa msaada wa basi la kufanyia kazi ya kukiimarisha chama.

In God we trust
 
Tatizo la nyumbani ukishabikia upinzani ccm wanakupiga risasi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kama hicho watu tunatishana tu. Mara nyingi adui wa mtu huwa ni wale wa nyumbani mwake. Watu waliopigwa risasi Tanzania ni wa vyama vyote tena nadhani kuna hujuma fulani ilikuwa inaendelea chini kwa chini lakini kwa sasa imedhibitiwa na vyombo vya ulinzi na usalama. Na watanzania wengi hawajafundishwa kujilinda. Mfano mtu anakuja kunichukua au kunikamata akiwa amevaa kiraia halafu simwombi hata kitambulisho sio sawa. Hata kama amekuja na gari lenye namba za Serikali sikubali maana wahuni wanaghushi namba za magari pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakua unaishi nje ya nchi wewe. Watu wametekwa wengine wamepotea mpaka leo hawajulikani unaongea nini wewe.utakuwa lijitu la ccm wewe maana ndo zenu nyie
Hakuna kitu kama hicho watu tunatishana tu. Mara nyingi adui wa mtu huwa ni wale wa nyumbani mwake. Watu waliopigwa risasi Tanzania ni wa vyama vyote tena nadhani kuna hujuma fulani ilikuwa inaendelea chini kwa chini lakini kwa sasa imedhibitiwa na vyombo vya ulinzi na usalama. Na watanzania wengi hawajafundishwa kujilinda. Mfano mtu anakuja kunichukua au kunikamata akiwa amevaa kiraia halafu simwombi hata kitambulisho sio sawa. Hata kama amekuja na gari lenye namba za Serikali sikubali maana wahuni wanaghushi namba za magari pia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakua unaishi nje ya nchi wewe. Watu wametekwa wengine wamepotea mpaka leo hawajulikani unaongea nini wewe.utakuwa lijitu la ccm wewe maana ndo zenu nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sio lijitu ni mtu, halafu uzuri sina chama na sina mpango wa kuwa mwanasiasa lakini nikisikia kitu chochote huwa nadadisi kwanza kabla sijakataa au kukubali. Nadhani unaelewa msemo huu "Akili za kuambiwa changanya na za kwako".

Nina mifano mingi ya kukueleza lakini naona umeshashawishiwa kuwa mshabiki wa kisiasa wakati mimi sina ushabiki wa kisiasa. Hivyo siku ukielewa nilichosema hapo juu utakiri kweli, lakini usipokielewa basi sina namna ya kukusababisha uelewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kama hicho watu tunatishana tu. Mara nyingi adui wa mtu huwa ni wale wa nyumbani mwake. Watu waliopigwa risasi Tanzania ni wa vyama vyote tena nadhani kuna hujuma fulani ilikuwa inaendelea chini kwa chini lakini kwa sasa imedhibitiwa na vyombo vya ulinzi na usalama. Na watanzania wengi hawajafundishwa kujilinda. Mfano mtu anakuja kunichukua au kunikamata akiwa amevaa kiraia halafu simwombi hata kitambulisho sio sawa. Hata kama amekuja na gari lenye namba za Serikali sikubali maana wahuni wanaghushi namba za magari pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini waliotekwa na kuteswa zaidi ni way chama kipi? Anzia hapo utapata jibu swafii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust
Hiyo kodi itakayopigwa?! Lazima libaki custom
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom