Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Nakushangaa sana. Unadai wewe ni mwananchi mzalendo, hivyo unavipongeza vyombo vya usalama kwa kupoteza raia!!! Maajabu. Nimekupa mfano mmjoja wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa miaka ya 1977/78 kwenye mauaji ya "wachawi"
Wakati Rais mwenye kuheshimu Misingi ya Utawala bora, Mwalimu J. K. Nyerere, aliunda Tume ya Uchunguzi juu ya suala hilo. Matokeo Ni kwamba ukweli ulithibitika kuwa vyombo vya ulinzi na usalama unavyovisifu leo vilipatikana na tuhuma zilisababisha Waziri wa mambo ya ndani Ali Hassan Mwinyi, Wakuu wa Mikoa mitatu ya Mwanza, Shinyanga, Tabora walijiuzulu na Inspector Generali Polisi walijiuzulu. Baadhi ya viongozi wa vyombo vya usalama wakiwemo wa Usalama wa Taifa walipelekwa mahakamani na kupatikana na hatia. Kwa hiyo si suala la upinzani wa kisiasa. Suala Ni kuwa hata wale wanaooneka kutaka kujua ukweli wa kilichokuwa kinatokea MKIRU kwa kukusanya data, wanatoweka!!!! Mfano Ni Azory Gwanda mwandishi wa gazeti la mwananchi.
Wabunge wa maeneo hayo wamepeleka data ya watu wanaokaribia 400 kutoweka. Hili si suala wabunge tu wa upinzani, maana wabunge wanaotoka maeneo ya MKIRU Ni mchanganyiko.
Muhimu hapa Ni Serikali inayojinasibu kuwa ya Wanyonge kuja hadharani na kutuambia Nini hasa kilikuwa kinatokea katika maeneo hayo, na watu wangapi wamepata maumivu yasiyo halali wakiwepo Polisi.
Mwisho, Aliyekuambia kuwa Amerika Ni mfano tukuka wa demokrasia duniani alikudanganya. Lakini waamerika wana tabia moja iliyotukuka kwamba: Hawako tayari kuuvumilia ujinga wa viongozi wao.
 
Safi sana. Na ili kukwepa figisu za bandarini, gari hiyo itaingia nchini kupitia bandari ya Mombasa na kisha kusafirishwa kuja nchini kwa njia ya barabara. Msidhani CHADEMA ni wajinga kama CCM. MaCCM endeleeni kujitekenya na kucheka mkidhani mtaizuia kuingia nchini. Mmeliwa!!!!!!!!
 
Ma ccm walio wengi wanadhani bandari ni moja tu ya dar
In God we trust
 
Hii inafaa sana kuiweka kwenye mwendo kasi ipunguze foleni 🤓🤓🤓

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usipate tabu Sana.. hiyo picha ni ya PHOTOSHOP ., Lissu hajapewa basi lolote yupo anaomba msaada baada ya mshahara kuondolewa.Nakuwekea picha na link ya walipotoa picha ya hilo basi waliloedit na kuweka maneno yao...

 
Bora imefika picha tu huku likija hilo mtatulipa kodi zetu tu kwa gari hilo tukajenge SGR, hizo sera bakini nazo huko ubeligiji
 
Mkuu usipate tabu Sana.. hiyo picha ni ya PHOTOSHOP ., Lissu hajapewa basi lolote yupo anaomba msaada baada ya mshahara kuondolewa.Nakuwekea picha na link ya walipotoa picha ya hilo basi waliloedit na kuweka maneno yao...

View attachment 1046890
Chama cha wahuni wa mitandaoni. Utafikiri basi ndio uhai wa chama.
 
Hakuna basi hapo ni PHOTOSHOP....
Mnakaribia kuokota makopo..
 
Mbona mnatwambia SGR tayari mapesa yapo tayari?
Bora imefika picha tu huku likija hilo mtatulipa kodi zetu tu kwa gari hilo tukajenge SGR, hizo sera bakini nazo huko ubeligiji

In God we trust
 
Naona umerthi tabia za kuchukia wapinzani kama mwenyekiti wako
Chama cha wahuni wa mitandaoni. Utafikiri basi ndio uhai wa chama.

In God we trust
 
Naona umerthi tabia za kuchukia wapinzani kama mwenyekiti wako
Chama cha wahuni wa mitandaoni. Utafikiri basi ndio uhai wa chama.

In God we trust
 
Naona umerthi tabia za kuchukia wapinzani kama mwenyekiti wako
Chama cha wahuni wa mitandaoni. Utafikiri basi ndio uhai wa chama.

In God we trust
 
Naona umerthi tabia za kuchukia wapinzani kama mwenyekiti wako

In God we trust
Sichukii upinzani mkuu hata 2015 nilipigia kura upinzani. Lakini kinachokera ni sera za kiuanaharakati na usanii ndani ya upinzani. Yaani ukabidhi nchi kwa mafisi.
 
Yapo ya kumalizia ya Dodoma lakini ujue SGR haijafika Mwanza na kwa jirani yetu Kagame.
Kagame ni jirani yenu au ndugu wenu wa damu?

In God we trust
 
Fisi na chui hawana tofauti hao
Sichukii upinzani mkuu hata 2015 nilipigia kura upinzani. Lakini kinachokera ni sera za kiuanaharakati na usanii ndani ya upinzani. Yaani ukabidhi nchi kwa mafisi.

In God we trust
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…