Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kusafishwa na machadema. Kwa sasa ni msafi kuliko malaika wa mbinguni, ha ha ha.
Afe nani kwa matoi hayo - CCM iko level nyingine - acha LIssu aendelee kula mikataba ya kuuza nchi
Kodi ya hayo maandishi ya Sera Mbadala!
Nendeni China mkachukue yutong Nyie kijaniTatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Mbowe atalitaifisha. Subiri tu.
Unadanganywa na unadanganyika! Bwege mtozeni. CHADEMA kwanini mkubali kununuliwa?
Hilo tu ndilo ulilokariri kutoka shule ya kata.CHAMA kimebaki kufake matukio ili kiendelee kusikika. Bavicha badala ya kuangaika kuja na Hoja za kujijengea uhaminifu kwa wananchi wao wanaangaika na Adobe Photoshop.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Teh teh teh