Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Kwa ambao ndo mnaingia kwenye Uzi huu, hii ni PHOTOSHOP tu.. , Nitaendelea kuwaelimisha tu.. Ushahidi hapa Chini, fungua Link ifuatayo...

scania touring de vip bus - Пошук Google

Screenshot_20190312-230438.png

Screenshot_20190316-142844.png
 
Nimeona broo shida sana watu wazua zua tu mavitu ambayo hata hayapo yaani
Na jamaa aliyeleta huu uongo kakomaa na Uzi wake, watu wakiuliza kuhusu kulitoa bandarini anawapa majibu.Ninahisi ana matatizo ya akili huyu.Sio kawaida kwa mtu ambaye yupo sawa kiakili au ushabiki wa kitoto.
 
Watu wanakuona zuzu tu kwa kuchunia hiyo mikatuni yako

In God we trust
Katuni ni hiyo iliyopigwa chata za CHADEMA, haipo gazeti Wala popote mtandaoni, Ina maana hiyo zawadi basi umempa wewe.Hivi mkuu tuwe serious kidogo, umewahi kuugua ugonjwa wa AKILI siku za nyuma!?????... Nahisi haupo sawa kiakili.Umekomaa na uongo wako, kwa mtu mwenye akili timamu angeshajiona mjinga kuleta story za PHOTOSHOP.Hivi hujiulizi hata wafuasi wa CDM na LISSU maarufu humu JF wanaotumia LOGIC kwenye argument zao mfano mmoja Tindo huwezi kuwaona kwenye Uzi wako, hujiulizi?,inabidi ukapimwe AKILI mkuu, Kuna nati zimelegea mahali.
 
Unajichooshaaaa[emoji1787][emoji23]
Katuni ni hiyo iliyopigwa chata za CHADEMA, haipo gazeti Wala popote mtandaoni, Ina maana hiyo zawadi basi umempa wewe.Hivi mkuu tuwe serious kidogo, umewahi kuugua ugonjwa wa AKILI siku za nyuma!?????... Nahisi haupo sawa kiakili.Umekomaa na uongo wako, kwa mtu mwenye akili timamu angeshajiona mjinga kuleta story za PHOTOSHOP.Hivi hujiulizi hata wafuasi wa CDM na LISSU maarufu humu JF wanaotumia LOGIC kwenye argument zao mfano mmoja Tindo huwezi kuwaona kwenye Uzi wako, hujiulizi?,inabidi ukapimwe AKILI mkuu, Kuna nati zimelegea mahali.

In God we trust
 
Nakushangaa sana. Unadai wewe ni mwananchi mzalendo, hivyo unavipongeza vyombo vya usalama kwa kupoteza raia!!! Maajabu. Nimekupa mfano mmjoja wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa miaka ya 1977/78 kwenye mauaji ya "wachawi"
Wakati Rais mwenye kuheshimu Misingi ya Utawala bora, Mwalimu J. K. Nyerere, aliunda Tume ya Uchunguzi juu ya suala hilo. Matokeo Ni kwamba ukweli ulithibitika kuwa vyombo vya ulinzi na usalama unavyovisifu leo vilipatikana na tuhuma zilisababisha Waziri wa mambo ya ndani Ali Hassan Mwinyi, Wakuu wa Mikoa mitatu ya Mwanza, Shinyanga, Tabora walijiuzulu na Inspector Generali Polisi walijiuzulu. Baadhi ya viongozi wa vyombo vya usalama wakiwemo wa Usalama wa Taifa walipelekwa mahakamani na kupatikana na hatia. Kwa hiyo si suala la upinzani wa kisiasa. Suala Ni kuwa hata wale wanaooneka kutaka kujua ukweli wa kilichokuwa kinatokea MKIRU kwa kukusanya data, wanatoweka!!!! Mfano Ni Azory Gwanda mwandishi wa gazeti la mwananchi.
Wabunge wa maeneo hayo wamepeleka data ya watu wanaokaribia 400 kutoweka. Hili si suala wabunge tu wa upinzani, maana wabunge wanaotoka maeneo ya MKIRU Ni mchanganyiko.
Muhimu hapa Ni Serikali inayojinasibu kuwa ya Wanyonge kuja hadharani na kutuambia Nini hasa kilikuwa kinatokea katika maeneo hayo, na watu wangapi wamepata maumivu yasiyo halali wakiwepo Polisi.
Mwisho, Aliyekuambia kuwa Amerika Ni mfano tukuka wa demokrasia duniani alikudanganya. Lakini waamerika wana tabia moja iliyotukuka kwamba: Hawako tayari kuuvumilia ujinga wa viongozi wao.
Usinione kimya mkuu bado natafuta clues za kukujibu na kukupa picha kamili ya maisha ya Tanzania enzi hizo za Mwalim Nyerere.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tazama vizuri kama hayo magari yanafanana kabla ya kupinga kwa hoja dhaifu. Hayo magari mawili uliyoonesha hapo hayafanani hata kidogo.
Dah... Kumbe mpo wengi, kwahiyo unaamini Tundu Lissu kazawadiwa Basi jipya aina ya Scania??, Umeiona hii story popote au kuisikia zaidi ya kutoka kwa huyu jamaa anaitwa Mmamia?, Kweli mahaba ni upofu,haya mabasi tofauti ni ipi?, Au wewe ni yule yule mleta mada kwa ID tofauti??

Screenshot_20190312-230438.png

Tofauti nini hapo?.., SERA MBADALA😛😛
 
Dah... Kumbe mpo wengi, kwahiyo unaamini Tundu Lissu kazawadiwa Basi jipya aina ya Scania??, Umeiona hii story popote au kuisikia zaidi ya kutoka kwa huyu jamaa anaitwa Mmamia?, Kweli mahaba ni upofu,haya mabasi tofauti ni ipi?, Au wewe ni yule yule mleta mada kwa ID tofauti??

View attachment 1047713
Tofauti nini hapo?.., SERA MBADALA😛😛
Ooh, kumbe ndivyo ilivyo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom