Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hii sasa ni balaa, speed inatisha.
Leo ni siku ya tatu nimeona video clips tatu za wasanii Mbali mbali wanaoigiza Sauti ya Adv Tundu Lissu.
Kinachofurahisha zaidi ni wasanii hawa kuigiza maneno ya kizalendo, ya kiutu na upenda kwa Taifa la Tanzania.
Ni ukweli usiopingiza Tundu Lissu ameingia kwenye mioyo ya watu.
Clip nayo kumbuka ilipigwa Wasafii Media na Nyingine leo Nyumbani kwa Shekh Othman Maalim.
View: https://youtu.be/pQ4d0TynpVI?si=wJxj6MhpZMZxEbN5
Leo ni siku ya tatu nimeona video clips tatu za wasanii Mbali mbali wanaoigiza Sauti ya Adv Tundu Lissu.
Kinachofurahisha zaidi ni wasanii hawa kuigiza maneno ya kizalendo, ya kiutu na upenda kwa Taifa la Tanzania.
Ni ukweli usiopingiza Tundu Lissu ameingia kwenye mioyo ya watu.
Clip nayo kumbuka ilipigwa Wasafii Media na Nyingine leo Nyumbani kwa Shekh Othman Maalim.
View: https://youtu.be/pQ4d0TynpVI?si=wJxj6MhpZMZxEbN5