Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Huyu jamaa ameigiza vizuri zaidi kwa Magufuli🥰🥰Hii sasa ni balaa, speed inatisha.
Leo ni siku ya tatu nimeona video clips tatu za wasanii Mbali mbali wanaoigiza Sauti ya Adv Tundu Lissu.
Kinachofurahisha zaidi ni wasanii hawa kuigiza maneno ya kizalendo, ya kiutu na upenda kwa Taifa la Tanzania.
Ni ukweli usiopingiza Tundu Lissu ameingia kwenye mioyo ya watu.
Clip nayo kumbuka ilipigwa Wasafii Media na Nyingine leo Nyumbani kwa Shekh Othman Maalim.
View: https://youtu.be/pQ4d0TynpVI?si=wJxj6MhpZMZxEbN5
Hapo mbele kuanzia dakika 10 amepatia sana kuigiza sauti ya JPMBado kidogooo, ila kajitahidi...
Lucas Mwashambwa atabubujikwa na machozi aonapo thread za Namna hioHii sasa ni balaa, speed inatisha.
Leo ni siku ya tatu nimeona video clips tatu za wasanii Mbali mbali wanaoigiza Sauti ya Adv Tundu Lissu.
Kinachofurahisha zaidi ni wasanii hawa kuigiza maneno ya kizalendo, ya kiutu na upenda kwa Taifa la Tanzania.
Ni ukweli usiopingiza Tundu Lissu ameingia kwenye mioyo ya watu.
Clip nayo kumbuka ilipigwa Wasafii Media na Nyingine leo Nyumbani kwa Shekh Othman Maalim.
View: https://youtu.be/pQ4d0TynpVI?si=wJxj6MhpZMZxEbN5
Hiiiiii......mengi atajaza bakuliLucas Mwashambwa atabubujikwa na machozi aonapo thread za Namna hio