Tundu Lissu azungumza na Wananchi na Wanachama wa CHADEMA - Januari 01, 2025


Mnanunuaje jengo la bil 1.6 then mnalalamika hamna hela ya uchaguzi?

Mnabidi kujitafakari Kwa hilo PIA.

Mtu makini lazima awe na priority in his or her decisions.


Wangenunua Nyumba ya mil 500 then hela nyingine wakafanyia uchaguzi

Huo ujinga tundulissu anabidi asiruhusu
 
Mnanunuaje jengo la bil 1.6 then mnalalamika hamna hela uchaguzi?

Mnabidi kujitafakari Kwa hilo PIA.
Chama kilishajiwekea malengo kwamba wajumbe wa Kamati Kuu watoe michango ya kufanikisha Mkutano Mkuu.Hao mnaowasifia ndio wanakwamisha kwa kutotoa michango yao.Wawili wameganda na mmoja kakimbilia Canada.
Ndio sababu kwa nia njema kabisa Mwenyekiti Mbowe ametoa milioni 250 ili Mkutano Mkuu ufanyike.Usipofanyika madhara yake kikatiba ni kwamba Chama kinaweza kufutiwa usajili.
Wenye kupiga domo na kupenda popularity kwao hiyo sio priority. Priority ni kulumbana badala ya kufanya kila linalowezekana Mkutano Mkuu ufanyike.Talk is cheap.
 
Nyerere wa kizazi hiki anaongea.
Mbona anatumia nguvu kubwa sana kana kwamba ni suala la kufa na kupona?

Hizi siyo dalili njema.

Maana yake akishindwa atadai ameibiwa kura na kuhama au kukigawa chama.

Yaani ni aidha awe mkiti ama chama kife.

Hiyo ni nia ovu.

I can smell Lissu hana nia njema.
 
Reactions: Tui


Kati ya kununua Nyumba ya billion 1.6 na kufaya uchaguzi kipi ni muhimu .

Utamwambiaje mtu achangie mil 30 wakati chama kinapokea ruzuku zaidi ya mil 100+ kila mwezi .

Kumbuka hapo chadema watu wanaoliowa mshahara hawafiki watu 20.

Mgetoa mchangunuo mzuri wapi mnaipelekea hiyo ruzuku ambayo ni mil 100+ kila mwezi .
 
Kwani Chama hakipokei ruzuku?
Ruzuku ndio imenunua Makao Makuu ya Chama.Ilikuwa ni aibu kwa Chama kiwe na ofisi za kukodisha.Hilo pia hamlitaki.Badala ya kumwambia mgombea wenu atimize ahadi aliyotoa ya kuchangia milioni 30 mnabaki kuulizia ruzuku.Lisu hataki kutoa milioni 30 kwani anajua he is losing.
 
Ndio nimemaliza kuitazama hotuba yote. Hotuba fupi iliyojaa hoja za msingi.

Lissu ni mwanasiasa kamili, ana sifa zote za kukiongoza chama kikuu cha upinzani nchini. Chadema mtatukosea sana msipompitisha Lissu, hatutolaumiana kwenye sanduku la kura uchaguzi Mkuu.
Mtavuna mlichopanda endapo mtamchagua tena king'ang'anizi Mbowe.
 
Wee ni mpumbafuu kumbe
 
Uongozi ni falsafa.

Falsafa za lisu zinajulikana hata kwa wasio fatilia siasa
1.Kupinga rushwa
2.Kupinga ufisadi
3.Kupinga uongozi usiofata katiba na sharia

Sasa wajumbe kazi kwenu
Ndiyo maana tunamuhitaji Lissu kutokana na mazingira ya sasa. Lissu ni chaguo sahihi kwa wakati sahihi. Mbowe anafaa ila si sahihi kwa wakati huu.
 
Hotuba imepangiliwa.
Hotuba imetoa uelekeo.
 
Reactions: Tui
Mnaongea sana kabla ya uchaguzi ili kujijengea mazingira. Mbowe sio mjinga kukaa kimya. Yule ni Mwamba wa Siasa za Chadema. Utaona mwenyewe.
Sasa aongee ana hoja gani mkuu za kumbeba??
Hana namna ni lazima akae kimya...amehudumu miaka 21 leo hii kwa wenye akili atawaambia ana nn kipya kwa maendeleo ya chama?!.
 
Lissu akiwa mwenyekiti Kuna mawili:-

1. Nchi kuingia kwenye machafuko, maana anafahamika jinsi anavopenda Shari

2. Chadema Kua na mwenyekiti hewa, Endapo akitimkia ubelgiji Kama kawaida yake (Kuhofia maisha yake).

..machafuko hayawezi kutokea kwasababu ya Tundu Lissu.

..machafuko yatatokea kwasababu ya udhalimu wa Ccm.

..wasiopenda HAKI ndio watakaosababisha machafuko na sio Lissu.
 

..bungeni utaingia vipi bila kuwa kwanza umejijengea ufuasi kwa watu wa eneo lako?

..wakina Bob Makani wangeng'ang'ania madarakani huenda tusingepata nafasi ya kujua uwezo, na kufurahia utumishi wa, Freeman Mbowe.

..ukomo wa madaraka ni muhimu. Tanzania ina watu MILLIONI 60++ hakuna uhaba wa vipaji vya kuongoza.
 
Unaandika kama ni Mbowe aliyetoa ukomo wa Uongozi Chadema.Kwa katiba iliyopo Mbowe ana haki ya kugombea mpaka itapowekewa ukomo.Kumnyima haki hiyo ni kuisigina katiba iliyopo.
Kuna uoga wa nini?Kwani Mbowe akigombea ndio Lisu hawezi kuwa Mwenyekiti?
Uamuzi wa kuondoa ukomo ulifanywa na Mbowe peke yake?
Mnatetea demokrasia huku mnasigina uwepo wake uamuzi uliofikiwa ndio utakuwa valid mpaka ubadilishwe kwenye vikao.
Kuachiwa mnayemtaka ndio demokrasia mnayoiamini na sio Uchaguzi.
You cannot eat your cake and have it too.
 
Huyu rafiki wa Msigwa anashangaza sana. Ni kama vile Mbowe alijifungia chumbani na mke wake wakaondoa nkomo kwenye katiba ya chama, kuwa yeye hakuwa sehemu ya mchakato huo.
 
Reactions: Tui
Sasa aongee ana hoja gani mkuu za kumbeba??
Hana namna ni lazima akae kimya...amehudumu miaka 21 leo hii kwa wenye akili atawaambia ana nn kipya kwa maendeleo ya chama?!.
Mbowe anajua aongee na nani, wakati gani, sehemu na nini Cha kuongea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…