Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Dkt. Magufuli amekubaliana na hoja yangu, sasa afute vitambulisho vya wajasiriamali

Magu anacheza Ngoma ya Lissu..
hapo atawakusanya akina polepole wampe majibu ya kumpa Lissu....

daaahhh eti Amelegea.
Yaani hawalali usiku kucha ni kujadili Lisu kaongea nini, nadhani akina slow slow hata mabanzi wanachezea sana
 
Mnaye Mgombea ambaye kwa akili zenu mnahisi anafanya vizuri majukwaani, Kwanini mnahangaika na Mgombea asiye wa Kwenu? Kwanini mna wasiwasi, Asifanye jambo lolote tayari mmo, why?
 
Oktoba lazima nguvu zirudi za kumgongea Lisu walau viwili siku ya tarehe 28.

Lisu lazima aende kwa Amsterdam akiwa na machozi tele
Tafuteni kazi za kufanya jamaa yenu anajiandaa kurudi kwao
 
Mayanga Construction

Mpwa mlipaji Mkuu

Kufilisi mifuko ya jamii


Fao la kujitoa...hapa sekta binafsi ndio wengi, Jiwe hapatti Kura...Labda amejiandaa kuiba. NSSF hawalipi kabisa mafao
kuhusu mifuko yahifadhi ya jamii hapa chi imegota hanna kinacho endelea ni urushi tu
 
Sauti isiyokuwa na matumaini nasikia toka mdomoni mwa lissu,he is fighting for his last breathe.

Mbowe kamuuzia mbuzi ndani ya gunia huyu Lissu

Sorry for CHADEMA followers.
Ndoto za uvunguni hizo acheni kuwaza kwa Akili za kuazima tokea kwa cyprian Musiba
 
Sauti isiyokuwa na matumaini nasikia toka mdomoni mwa lissu,he is fighting for his last breathe. Sorry for CHADEMA followers.
Hiki king'eng'e kwa hakika kinawaumbua, heri kujikita katika Kiswahili ingawa na Kiswahili nacho mmh. Si ajabu na wewe digba sowey ukawa na PhD!
 
Magufuli hakuwahi kusema kuwa kitambulisho cha machinga ni lazima, hali alisema mtu mwenye kitambulisho cha machinga asisumbuliwe na afanye biashara popote katika jamhuri ya muungano wa tanzanoa. Kamwe hajalazimisha mtu kuwa nacho. Na kama hauna basi lipa kodi kwa utaratibu wa kawaida
 
Dawa ipo inachemka rukeni rukeni tu kama kunguru.
 
Hiki king'eng'e kwa hakika kinawaumbua, heri kujikita katika Kiswahili ingawa na Kiswahili nacho mmh. Si ajabu na wewe digba sowey ukawa na PhD!
Kwa mtu msomi na muelewa huwa anakosoa na kutoa suruhu /masahihisho ni wapi mtu kakosea,tofauti na hapo na wewe ni wale wale,ungenionesha nilipokosea ningekuona wa maaana sana,

Sasa inaishia kunikejeli,
 
Kwa mtu msomi na muelewa huwa anakosoa na kutoa suruhu /masahihisho ni wapi mtu kakosea
Sawa ingawa unazidi tu kuharibu hata KIswahili lugha yetu ya taifa. Je uko tayari kuchukua tuition? Tuanze na lugha ipi kwani zote mbili zinatumika rasmi hapa nchini...English au Kiswahili?
 
Kalale usingizi huna unachojua wewe
 
Tundu Lissu relax.niko na magufuli hapa anafuatilia habari zako ili apate hoja za kukujibu keshoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…