Elections 2015 Tundu Lissu: Edward Lowassa ndiye mgombea urais wa CHADEMA na UKAWA

Elections 2015 Tundu Lissu: Edward Lowassa ndiye mgombea urais wa CHADEMA na UKAWA

Kauli ya Tundu Lissu ina mantiki. Chadema na Ukawa watakuwa na nafasi kubwa ya kuudhibiti ufisadi wa mtu mmoja Lowassa akidhihirika kuwa fisadi atakapokuwa Rais kuliko ambavyo wanaweza kuudhibiti mfumo fisadi yaani CCM yote kwa ujumla - kama ikirudi madarakani. Ninaamini Tanzania itakuwa na nafuu zaidi kama itakuwa na Lowassa kama rais pamoja na tuhuma alizonazo kuliko kuendelea kuwa chini ya CCM.

After all, mfumo unaosistiza uwajibikaji (e.g. Ukawa) ndo una nafasi kubwa ya kuleta matumaini Tanzania siyo mtu mmoja "bora" ndani ya mfumo mbovu (e.g. Magufuli). Aidha, Tanzania tukianza kuwa na siasa za ushindani wa kupokezana vijiti kwa nafasi ya urais, watu wataanza kufanya kazi na mabadiliko yataanza kuonekana.
 
Nilichojifunza ni:
  1. Tundu Lissu ana upungufu wa akili (mpaka itakapothibitishwa).
  2. Dr. Slaa ana matatizo ya kurukwa na akili (Mpaka itapothibitishwa)
  3. Mbowe ni mwizi na muendesha chama kama saccos (hii haihitaji uthibitisho kwani kalamba bil 10)
  4. Wafuasi wa CHADEMA ni wavivvu wa kujisomea na wana matatizo ya mtindio wa ubongo (uthibitisho upo wa matusi kwa kila anayesema Lowassa ni fisadi ila kipindi alipokuwa CCM tulikuwa tukisema fisadi na kusema wanamsingizia walitutukana na kusema tunamlinda...refer Mnyika).
  5. Kitila Mkumbo na Zitto walihongwa na Lowassa (halihitaji kuthibitisha ona wanavyomsifia fisadi Lowassa)
Mrejesho ni October 25 2015 atakapo angukia pua Lowassa na ukawa. Na ndipo atakapo pata pressure numba 2, na CHADEMA itapotea kama alivyokuwa ametabiri Mzee mzima Wassira!
 
Kauli ya Tundu Lissu ina mantiki. Chadema na Ukawa watakuwa na nafasi kubwa ya kuudhibiti ufisadi wa mtu mmoja Lowassa akidhihirika kuwa fisadi atakapokuwa Rais kuliko ambavyo wanaweza kuudhibiti mfumo fisadi yaani CCM yote kwa ujumla - kama ikirudi madarakani. Ninaamini Tanzania itakuwa na nafuu zaidi kama itakuwa na Lowassa kama rais pamoja na tuhuma alizonazo kuliko kuendelea kuwa chini ya CCM.

After all, mfumo unaosistiza uwajibikaji (e.g. Ukawa) ndo una nafasi kubwa ya kuleta matumaini Tanzania siyo mtu mmoja "bora" ndani ya mfumo mbovu (e.g. Magufuli). Aidha, Tanzania tukianza kuwa na siasa za ushindani wa kupokezana vijiti kwa nafasi ya urais, watu wataanza kufanya kazi na mabadiliko yataanza kuonekana.
Nakubaliana na wewe. Hivi unajua Lowassa ana miaka mingapi? Kinadharia tu mtu mzee uwezo wake wa kufikiri hupungua. Mi sipingi yeye kuwa rais, ila hana uwezo wa kupambana na wala rushwa kwa sababu yeye ni mla rushwa. Kumbuka wizi kwa Lowassa ni damu damu. Na nakuhakikishia iwapo atakuwa rais, atahamia chama ambacho kakifadhili tangu mwanzo (ACT). Na CDM wataambulia patupu.
 
Kamanda umekuwa mkiwa sana aisee sijui itakuaje nilivyokuwa nakusoma unavyomshambilia Lowassa.

Pole sana utafanye na wenye chama ndiyo wameishaamua.

Mtu asiyesimamia chochote basi ataanguka kwa chochote.

Mkuu mwaka wetu huu!
 
So far Lowassa anastahili credit
anayoyafanya kwa CHADEMA ni sawa na mtu kufanikiwa kumuoa mwanamke uliewahi kumbaka na kumuulia mumewe zamani
halafu mwanamke huyo sasa yuko in love na wewe na unapeleka posa na inakubaliwa kwa vigelegele
few people can....
Nimecheka sana. Sasa sikiliza hao wana CDM wakimtetea huyo mbakaji!! So funny, never seen its only in TZ.
 
Hii Habari imeletwa na Ritz tena kwa Upole mmh! Sielewi elewi...
 
Last edited by a moderator:
Nilichojifunza ni:
  1. Tundu Lissu ana upungufu wa akili (mpaka itakapothibitishwa).
  2. Dr. Slaa ana matatizo ya kurukwa na akili (Mpaka itapothibitishwa)
  3. Mbowe ni mwizi na muendesha chama kama saccos (hii haihitaji uthibitisho kwani kalamba bil 10)
  4. Wafuasi wa CHADEMA ni wavivvu wa kujisomea na wana matatizo ya mtindio wa ubongo (uthibitisho upo wa matusi kwa kila anayesema Lowassa ni fisadi ila kipindi alipokuwa CCM tulikuwa tukisema fisadi na kusema wanamsingizia walitutukana na kusema tunamlinda...refer Mnyika).
  5. Kitila Mkumbo na Zitto walihongwa na Lowassa (halihitaji kuthibitisha ona wanavyomsifia fisadi Lowassa)
Mrejesho ni October 25 2015 atakapo angukia pua Lowassa na ukawa. Na ndipo atakapo pata pressure numba 2, na CHADEMA itapotea kama alivyokuwa ametabili Mzee mzima Wasira!



ongeza namba 6 hapo Mzee Mwanakijiji hasikilizwi CHADEMA licha ya kujipendekeza kuwashauri kutwa
 
Timu ikianza kufunga magoli ya mkono na refa akayakubali na mashabiki wakashangilia tusitegemee timu shindani itaendelea kucheza kwa kutumia sheria halali
 
Mwaka 2010 walisema turn out ya wapiga kura ilikuwa less than 50% kwa raisi na less than 40% kwa wabunge, ule ulikuwa wizi wa mchana kweupee kwa sababu turn out ya 2005 ilikuwa zaidi ya70%. Na mistari ya wapiga kura ilikuwa mirefu zaidi in 2010, kama Lowasa mbaya kiasi hicho kwa nini hawakumpeleka mahakamani?
 
Hivi Lowassa akifanikiwa kuwa rais kupitia ukawa na kuwasweka kizuizini hawa wanaomkubali sasa watakuwa na haki ya kulalamika kweli?
 
Ritz

Maskini hivi huyo mwananchi akulizwa MFUMO TAWALA ndio kitu gani? watamjibu vipi kuwa ndio Katiba pendekezwa!

Je, CCM wakisema katiba hiyo haijapitishwa hadi wananchi wenyewe wapige kura mtasema nini? halafuy mtawezaje kubase argument yeniu katika kitu ambacho kitapitishwa baada ya Uchaguzi. Magufuli anaweza waahidi wananchi watakavyo amua ndivyo atakavyo fanya! aidha kuirudisha Katiba bungeni ama kuandika Upya kina nani watampa kura Lowassa na kwa sababu gani? yeye kama mjumbe wa CC na mbunge wa CCM alishiriki vipi kuhusiana na Katiba Pendekezwa!

Ebu nambieni haswa, hao wananchi watampa kura zao Lowassa kwa sifa gani alonazo - Umaarufu? Hivi kweli CCM hawakufahamu haya yote hawayajui lakini bado wakamwaga tena wakisema kashindwa hana sifa 13 za uongozi na tishio kwa Usalama wa Taifa sio wa chama CCM! Leo aje kuwa tishio kwao ama mnajidanganya, Wadanganyika!

Mimi naomba watu wa UKAWA wanipe sifa za LOWASSA kwanza maana Umaarufu hata Jambazi huwa maarufu mtaani kuliko watu wengine, likitokea kukamatwa ukumbi utajaa, likiuawa ukumbi utajaa, likijitokeza watu watajaa maana wengine wanataka tu kuliona, hii haina maana kwamba wananchi wanalitaka jambazi waishi nalo mtaani..
 
Last edited by a moderator:
Mudawote

You can also spin it this way ....
Nilichojifunza ni:
  1. Nape Nnauye ana upungufu wa akili (mpaka itakapothibitishwa).
  2. Dr. Mapadlocks ana matatizo ya kurukwa na akili (Mpaka itapothibitishwa)
  3. JK ni mwizi na muendesha chama kama saccos (hii haihitaji uthibitisho kwani tuliona yaliyotokea Dodoma)
  4. Wafuasi wa CCM ni wavivvu wa kujisomea na wana matatizo ya mtindio wa ubongo (uthibitisho upo wa matusi kwa kila anayesema Arfi ni looser ila kipindi alipokuwa Chadema tulikuwa tukisema looser na kusema wanamsingizia walitutukana na kusema tunamlinda...refer Lusinde).
  5. Shonza na Mwampamba walihongwa na Chenge (halihitaji kuthibitisha ona wanavyomsifia fisadi Chenge)
Mrejesho ni October 25 2015 atakapo angukia pua Mapadlocks na CCM. Na ndipo atakapo pata pressure numba 2, na CCM itapotea kama alivyokuwa ametabili Mzee mzima Mtei!
 
Last edited by a moderator:
Yapi hayo mkuu?
Kwani huujui mkuu Ritz?

Kuwa upinzani wa dhati dhidi ya CCM utatoka ndani ya CCM, baada ya CCM kupasuka vipande vipande.
By Mwalimu Nyerere.

Kweli unabii huo unaelekea kabisa kutimia mwaka huu.
 
Ritz

Nilikwishasema kuwa kuna matokeo mawili hapa.

Moja ni kushinda kwa Lowasa na Chadema (UKAWA) kuchekelea hadi IKULU.

La pili ni kushinda kwa Magufuli na UKAWA kuwa toothless kuwashinikiza CCM kama mafisadi na wala rushwa.
Nitaweka bandiko hilo hapa chini.

Kwa hiyo ndugu zangu wa UKAWA "don't count your chicks before they are hatched".

Bandiko la awali nililosema haya hili hapa chini.

quote_icon.png
By MAPOOOZII
While the goal of UKAWA is definate the means of realizing it can not be easily explained to its followers. The coalition leaders nevertheless have specific direction towards meeting the goals though these could drift them from their policies of non tolerance to issue related to corruption and misuse of public fund.

Even though, some unwanted elements have to be accommodated to the coalition to meet their expectations.

But the end will justify the means.

******************************************************************************************************


You may be right about the Machiavellian creed of "The end will justify the means" but, for UKAWA, they had no choice. I really commend them for swallowing their pride and seek Lowasa from outside their own.

If they win, they will be laughing all the way to IKULU.

However, if they loose they will have a real hard time doubling down on (criticizing) CCM as the party of corruption and MAFISADI.

This sword can cut both ways.

May GOD help us.
 
Last edited by a moderator:
Mudawote

Mkali wewe. Hivi hakuna hata kiti kimoja maalum kinachokufaa?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom