Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukijua hupati kitu hapaa!fisadi lowassa hana jipya, CHADEMA nilikuwa naona wanaakili nao wameingia kwenye mtego. Mbowe sijui kahongwa tshs ngapi
fisadi lowassa hana jipya, CHADEMA nilikuwa naona wanaakili nao wameingia kwenye mtego. Mbowe sijui kahongwa tshs ngapi
Lissu katika uborawake wa kukurupuka na kuropoka....
Mmemdhalilisha sana Dr Slaa amepambana na mafisadi hata kuweka maishayake hatarini..leo manasema mtu aliyemtaja kama fisadi anafaa zaidiyake...
Lowassa ataishia kuwa rais wa UKAWA
Duh! Siasa Bwana yaani leo wewe ni mtetezi wa Dr. Slaa??? CCM is safe with Lowassa outside, it is extremely risky with him in; so cool down.Lissu katika uborawake wa kukurupuka na kuropoka....
Mmemdhalilisha sana Dr Slaa amepambana na mafisadi hata kuweka maishayake hatarini..leo manasema mtu aliyemtaja kama fisadi anafaa zaidiyake...
Lowassa ataishia kuwa rais wa UKAWA
Lissu katika uborawake wa kukurupuka na kuropoka....
Mmemdhalilisha sana Dr Slaa amepambana na mafisadi hata kuweka maishayake hatarini..leo manasema mtu aliyemtaja kama fisadi anafaa zaidiyake...
Lowassa ataishia kuwa rais wa UKAWA