Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Ni heri kuchambia kura yangu kuliko kumpa uyo jamaa
Rubiikimimi[emoji85]
Hivi unajisafishia vipi kura? Hivi kura maana yake sio uamuzi kweli? Au una maana kubadirisha matumizi ya kadi ya kupigia kura? Ila samahani kama post yangu haitakupendeza.