Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,235
- 4,252
Lissu hana sifa ya kuwa kiongozi bora, kwasababu huwezi kwenda hadharani kusema madhaifu ya Chama chako wala kuwasema viongozi wa Chama chako hadharani badala yake unatakiwa kufikisha malalamiko yako ndani ya Chama chako ili kulinda madhaifu yenu na kuepuka kuchekwa na Wapinzani wenu
Anapotoa siri za Chama chake wapinzani hawatamuona mtu wa maana zaidi ya kumchanganya yeye pamoja na Chama chake kuwa wote ni watu wa hovyo
View: https://youtu.be/x3_N6gcPQW8?si=JHGkHwORS7GvLpGL
Anapotoa siri za Chama chake wapinzani hawatamuona mtu wa maana zaidi ya kumchanganya yeye pamoja na Chama chake kuwa wote ni watu wa hovyo
View: https://youtu.be/x3_N6gcPQW8?si=JHGkHwORS7GvLpGL