Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #301
Waliopanga Kumuua Wamekufa wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaNa huo ndo UKWELI
Kuna mpuuzi mwezio alimuwazia hivyo lissu na akatekeleza upuuzi wake akatangulia kuzimu finyofinyo walianzia utosini hadi kwenye ushuziMwaka huu atapigia kelele zake ukonga kwa wafungwa wenzie ila wafungwa watafaidika atakuwa anawaandikia rufaa wafungwa wenzake.
Dr Samia Suluhu Hassan alimwita Tundu Antipas Mughwai Lissu kuwa ni simba dume zingatieni hili, sasa unakuta kunguni wa kijani kutoka kimpumu ameshindia mkaango na maji ya kwenye dimbwi anamchukulia poa LissuUshujaa wa Lissu umetukuka .
Aiseeee!!Dr Samia Suluhu Hassan alimwita Tundu Antipas Mughwai Lissu kuwa ni simba dume zingatieni hili, sasa unakuta kunguni wa kijani kutoka kimpumu ameshindia mkaango na maji ya kwenye dimbwi anamchukulia poa Lissu