Hiyo ni theory ndogo tu; wewe unataka kumpokonya mwenye nafasi yake si lazima umjengee mazingira ya kuonekana hatoshi. UTAMSEMA TU HATA KAMA NI KWA KUPOTOSHA[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyu jamaa akiongea kitu bila kumtaja Magufuli hawezi kabisa,!
Lisu bora wangeaacha tu aendelee na harakati za kisheria lakini kumuweka kwenye hiyo nafasi apambane na Magufuki ni kupoteza muda.