Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Hakuna tafsiri yoyote ya kisheria nchini inayosema kuna kitu kinaitwa kampeni kabla ya wakati

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Hakuna tafsiri yoyote ya kisheria nchini inayosema kuna kitu kinaitwa kampeni kabla ya wakati

amerudi nchini kakuta kila TV station, magazeti, radio na kila mahali watu wanamtaja Magufuli.

sasa kuna nongwa gani kwa Lissu naye kuwaunga mkono aliowakuta katika kulitaja hilo jina la "mtukufu yesu"??
acha kumfananisha Yesu na mambo ya ajabu
pili usimpe utukufu mwanadamu hastahili
 
..katiba ina mapungufu ya wazi.

..mihimili ya utawala ingekuwa imetenganishwa kusingekuwa na matatizo haya.

..raisi angeendelea kuwa raisi mpaka atakapochaguliwa mwingine.

..na wabunge wangeendelea kuwa wabunge mpaka watakapochaguliwa wengine.
Nakubaliana kabisa na wewe kuhusu mapungufu ya katiba yet; lakini ndiyo inayotuongoza sasa hivi. Kama taifa linalofuata sheria inabidi tuheshimu katiba yetu.
 
Nasikia katika sheria hakuna utetezi wa "Nimebaka kwakua Castr kabaka"
ndio ila anasema hayo ili kuwepo na usawa na wajue kuwa tunajua kuwa wanafanya makosa sio akifanya flani ni kosa akifanya huyu si kosa
 
Kama wewe unahutubia kuvunja sheria zilizopo, basi endelea. Kama hujui ni kuwa katiba ina vifungu vingi sana vinavyosema kuwa bunge litatunga sheria kuhusiana mambo kadhaa. Kwa mfano katiba kuhusu uchaguzi wa Rais inasema hivi

View attachment 1536540

Sasa wewe utasemaje unafuata katiba bila kufuata sheria ziliztungwa na Bunge?
Sheria yoyote haipashwi kupingana na katiba na ikitokea mkanganyiko katiba ndio utafuatwa. Unapashwa uelewe hivyo.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyu jamaa akiongea kitu bila kumtaja Magufuli hawezi kabisa,!

Lisu bora wangeaacha tu aendelee na harakati za kisheria lakini kumuweka kwenye hiyo nafasi apambane na Magufuki ni kupoteza muda.
Ungejua wewe ndio unapoteza muda wako kumtetea Magu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyu jamaa akiongea kitu bila kumtaja Magufuli hawezi kabisa,!

Lisu bora wangeaacha tu aendelee na harakati za kisheria lakini kumuweka kwenye hiyo nafasi apambane na Magufuki ni kupoteza muda.
Magufuki ndio nani? Mbona mnapanick sana,kulikoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria yoyote haipashwi kupingana na katiba na ikitokea mkanganyiko katiba ndio utafuatwa. Unapashwa uelewe hivyo.
Jifunze kuelewa sheria vizuri; sheria zote za Uchaguzi ziko pale kwa mujibu wa katiba. Nimekuonyesha vifungu vichache vya katiba vinavyotoa nguvu kwa sheria hizo.

Kama unataka Tanzania iendelee kuwa nchi ya sheria, basi heshimu sheria zilizopo na katiba iliyopo hata kama huzitaki. Tunapokuta red lights huwa tunasimama hata kama hakuna magari mengine kwenye junction kwa sababu ya kufuata sheria. Tunapoingia kwenye barabara ya 40kph huwa tunapunguza spidi kufikia kiwango hivyo hata kama hakuna wapita njia kwa sababu ya sheria ingawa inakuwa inatuchelewesha safari zetu. Sheria ni msumeno.
 
Magufuli anaongea katika capacity yake kama rais wa nchi kwa vile bado ni rais wa Tanzania hadi rais mwingine atangazwe na tume. Lissu anaongea kama mgombea anayeomba kuteuliwa na tume; kumbuka kuwa advantage ya incumbency huwezi kuiondoa, ipo duniani siku zote. Magufuli atakuwa na advantage hiyo dhidi ya mgombea yeyote hadi uchaguzi wa 2025 ambapo hakutakuwa na advantage hiyo tena labda mgombea wa CCM awe mtu ambaye tayari ana madaraka ya juu serikalini kama Makamu wa Rais au Waziri Mkuu
Unasahau kuwa Lisu ni makamu mwenyekiti wa CHADEMA?
 
Ni magufuli ndiyo. Kwani inashindikana?

Duabi mnamo miaka ya 1960,S ilikuwa Ni jangwa lililokaliwa na watu masikini Ila Leo Ni bonge la jiji la kitalii zaidi hata ya nchi baadhi za ulaya. Sembuse Tanzania iliyobarikiwa kila kitu.

Kwa Akili hizi watu wakiwaita Nyumbu watakosea?
Duabi ni wapi?
Hiki kihoro cha mwaka huu,nawashauri Mirembe waongeze wards.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unasahau kuwa Lisu ni makamu mwenyekiti wa CHADEMA?
Sheria za Uchaguzi zinasimamia wagombea pamoja na vyama vya siasa; huwezi kuzivunja kwa kusema wewe ni mwenyekiti wa chama. Ni viongozi wa serikali tu ndio ambao hawaguswi na sheria zile kwa kiwango fulani, ingawa kuna sehemu zinawabana pia. Angalia hapa Sehemu ya pili.

1597377647433.png
 
Yupo sahihi.

Lakini pia kuna loophole ya chama kilichopo madarakani kwa maana ya uongozi wa serikali 'kuwasiliana' na wananchi kisiasa na kiutendaji.

Hivyo kimantiki, serikali 'kuchomekezea' siasa ni kitu ambacho wako huru kufanya. Kwa nini? Kwa sababu serikali 'kuzungumza' na wananchi wao ni jukumu lao. Na pia ni ngumu kutofautisha kati ya hayo mawasiliano na siasa.
Hence, a loophole.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyu jamaa akiongea kitu bila kumtaja Magufuli hawezi kabisa,!

Lisu bora wangeaacha tu aendelee na harakati za kisheria lakini kumuweka kwenye hiyo nafasi apambane na Magufuki ni kupoteza muda.
Yawezekana ungekuwepo kwenye kikao,asingepigwa zile 16,nina uhakika ungeshauri kua siyo tishio kwa Magu hivyo aachwe atambe.
Pitia na kwenye vyombo mbalimbali vya habari,uwaambie wasipendelee kutoa habari,kwani Magu hana tishio.
 
Kwani huwa wanaweka kumbukumbu ati Tanzania itakuwa donner country miaka 4 deni trillion 40
Fanya hata uchunguzi ndio uandike mkuu... Sio sababu lisu kaongea na ww unaandika tuu... Google hata deni la taifa ni kiasi gani mpaka muda huu.... Jamaa for 5yrs hajakopa hyo 40 tri kakopa less than that na kukopa sio dhambi....... Unafiki unaimaliza hii nchi
 
Mambo gani aliyoyafanya JPM? Kuiingiza nchi kwenye deni la trilioni 40 ndani ya miaka 4?
Kwa kuwa wewe ni Share huwezi kuona kingine alichokifanya Jpm zaidi ya kusikia deni la trillion 40.
 
Kampeni ya kitanda kwa kitanda unajua maana yake?
JNHPP, SGR, Ndege, Chato Int. Airport, Burigi Chato N.P, vyote vimeshindwa kujiongelea kwa wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anayelia hajui Kama amechukizwa, anayecheka hajui Kama kafurahushwa, Lala ukiamka kasimulie njozi za ulichokiona.
 
Mambo gani aliyoyafanya JPM? Kuiingiza nchi kwenye deni la trilioni 40 ndani ya miaka 4?
Are u sure na hyo 40 trilion mkuu....chunguza basi sio sababu jamaa kasema ni ukweli ... Hajakopa 40 trilion .
Mzee kikwete aliacha deni la 35 trilliona jumlisha na 40 ni 75 trillion... Sio kweli kwamba deni la taifa ni 75... Unafiki unaimaliza hii nchi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyu jamaa akiongea kitu bila kumtaja Magufuli hawezi kabisa,!

Lisu bora wangeaacha tu aendelee na harakati za kisheria lakini kumuweka kwenye hiyo nafasi apambane na Magufuki ni kupoteza muda.
Kuna ubaya gani kumtajataja mtu aliyejaribu kukuua akashindwa?
 
Back
Top Bottom