Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Hakuna tafsiri yoyote ya kisheria nchini inayosema kuna kitu kinaitwa kampeni kabla ya wakati

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Hakuna tafsiri yoyote ya kisheria nchini inayosema kuna kitu kinaitwa kampeni kabla ya wakati

Huyu sijui anazungumza sheria za nchi gani kwani sheria za Tanzania ziko wazi sana kuhusu jambo hili. Kuna sheria ya Uchaguzi CAP 343 ya mwaka 2015, sheria ya matumizi ya Uchaguzi namba 6 ya mwaka 2010, pamoja na taarifa ya kawaida namba 722 kwenye Gazeti la serikali toleo la 23 la tarehe 5 June 2020. maandiko yote hayo yanasisitiza kuwa kampeini zinafanyika zikiwa zimeratibiwa na tume ya Taifa ya Uchaguzi. Kwa vile tume imeshasema kuwa kampeini zitaanza tahere 26 August, mtu yeyote anayefanya kampeini kabla ya wakati huo anavunja sheria. Maandiko hayo pia yameeleza maana ya kampeini ni nini.

View attachment 1536520


View attachment 1536519

View attachment 1536517
Mkuu kwanza nikiri me sio mwanasheria (kitaaluma) ila kwa vifungu ulivyo ambatanisha nnacho jaribu kuelewa ni kuwa kampeni (kwa mujibu wa tume) inaanza tar 26/08 na kumalizika 27/10.

Hivyo basi haya yote yanayofanyika sasa (kutafuta wadhamini) hayana sifa ya kuitwa kampeni kwa kuwa yapo nje ya hiyo schedule ya tume. Ndio maana Lissu anayafananisha na siasa alizokuwa akizifanya Magufuli tangu 2015 na ndio maana anasema kwenye sheria za uchaguzi hakuna kitu kinaitwa kuanza kampeni kabla ya wakati.
 
Mkuu kwanza nikiri me sio mwanasheria (kitaaluma) ila kwa vifungu ulivyo ambatanisha nnacho jaribu kuelewa ni kuwa kampeni (kwa mujibu wa tume) inaanza tar 26/08 na kumalizika 27/10.

Hivyo basi haya yote yanayofanyika sasa (kutafuta wadhamini) hayana sifa ya kuitwa kampeni kwa kuwa yapo nje ya hiyo schedule ya tume. Ndio maana Lissu anayafananisha na siasa alizokuwa akizifanya Magufuli tangu 2015 na ndio maana anasema kwenye sheria za uchaguzi hakuna kitu kinaitwa kuanza kampeni kabla ya wakati.
nadhani hujasoma maana ya kampeini kama wao walivyoindaika kwenye sheria ya uchaguzi sura 343; ile sheria ina kurasa 106
 
Lissu bora wangeaacha tu aendelee na harakati za kisheria lakini kumuweka kwenye hiyo nafasi apambane na Magufuli ni kupoteza muda.
Kinyume chake ndiyo kweli. Jiwe kwa miaka yote amekuwa akisema yy siyo mwanasiasa. Na ndiyo maana anahaha. Wapambe wake kama wewe jasho linawatoka mpk sehemu nyeti
 
Subiri oktoba Lisu atajikuta yeye ndio shetani!

Kwa sisi tunaojua maana ya ibada tunajua ukiwa unawahubiria watu unawaambia nini cha kufanya ili shetani asiwakaribie, sasa kama kila siku ukisimama unaongea habari za shetani tu, lazima tujiulize mara mbilimbili.
Namhurumia sana Lissu kwa vile amepitia trauma kubwa sana ya kimwili kwa kushambuliwa ila sasa anaweza kujikuta anaingia kwenye trauma nyingine ya kisaikolojia kwa kushindwa uchaguzi katika mazingira ya kukejeliwa. Nadhani hakupata mshauri mzuri wa kisiasa, angeweza yeye kuwa kujiweka katika position ya kingmaker akiwa pembeni na huenda akiwa anatengeza mazingira mazuri ya kisiasa mbeleni. Ila sasa yeye ni mtu wa aina yake; ngoja tusubiri 28-10
 
nadhani hujasoma maana ya kampeini kama wao walivyoindaika kwenye sheria ya uchaguzi sura 343; ile sheria ina kurasa 106
Ni kweli sijaisoma na kama nilivyokiri pale awali me si mtaalamu wa sheria ila nilikuwa najibu kutokana na vifungu ulivyo ambatanisha kupinga hoja ya Lissu.

By the way, kwenye hiyo sheria kuna kitu inaitwa 'kuanza kampeni kabla ya wakati?'

Kwa uelewa wangu mdogo wa mambo ya sheria nafahamu kuwa kuna baadhi ya mambo ambayo sheria imekaa kimya (haijayazungumzia), mambo hayo huwa hayawi regarded kama ni makosa.

Nadhani huwa wanaangalia merit kwenye maamuzi na mara nyingi hujitokeza kama case within a case ila huwezi kuyafungulia mashtaka ya msingi sababu hayana locus stand. Dah field za watu hizi ila humu kuna wajuvi zaidi watatusaidia.
 
Watu wanasema nafanya kampeni mapema. Hakuna tafsiri yoyote ya kisheria nchini, inayosema kuna kitu kinaitwa kampeni kabla ya wakati. Na kama wakisema hii ni kampeni kabla ya wakati, basi wasisahau kuwa Rais Magufuli amekuwa anafanya kampeni kwa miaka mi5 sasa.
Huyo ni mkuu wa nchi Lissu huwezi kujifananisha naye, ndiyo maana ataendelea kuwa rais hadi rais mteule mwingine atakapoapishwa. Hivi huyu Lissu sheria amesema wapi??? Magufuli anatembea nakofia mbili yeye lissu hana kofia ya pili, asubiri tu KUKATWA kwani kafanya kampeni akiwa na akili timamu
 
Ni kweli sijaisoma na kama nilivyokiri pale awali me si mtaalamu wa sheria ila nilikuwa najibu kutokana na vifungu ulivyo ambatanisha kupinga hoja ya Lissu.

By the way, kwenye hiyo sheria kuna kitu inaitwa 'kuanza kampeni kabla ya wakati?'

Kwa uelewa wangu mdogo wa mambo ya sheria nafahamu kuwa kuna baadhi ya mambo ambayo sheria imekaa kimya (haijayazungumzia), mambo hayo huwa hayawi regarded kama ni makosa.

Nadhani huwa wanaangalia merit kwenye maamuzi na mara nyingi hujitokeza kama case within a case ila huwezi kuyafungulia mashtaka ya msingi sababu hayana locus stand. Dah field za watu hizi ila humu kuna wajuvi zaidi watatusaidia.
Asante sana; sheria ile ina mambo mengi, lakini yale yanayowabana wagombea kuhusu kampeini yapo mawili tu. Moja ni kile kifungu kinachosema maana ya kampeini, halafu kingine kinatawala uratibu wa kampeini. Nikipata nafasi nitakuwekea hapa uvisome mwenyewe ila hata wewe unaweza kuvitafuta kutoka tovuti ya tume ya uchaguzi. Vifungu hivyo ndivyo vinavyofanya wanasiasa wawe makini katika kujiandaa na kampeini hizo.
 
..Jpm ni raisi lakini pia ni mgombea mtarajiwa na ndiyo maana amechukua fomu.

..kwa hiyo kama kuna suala na "kampeni kabla ya wakati" basi linawagusa wagombea wote, bila kujali kama wana nyadhifa serikalini au hawana.

..advantage ya incumbency haihusiani na haki za wagombea, au wajibu wao ktk kuzifuata sheria za uchaguzi.

..na unapozungumzia incumbency hii ipo ktk ngazi zote kuanzia udiwani, ubunge, mpaka Uraisi.
Magufuli ataendelea kuwa rais na diyo maana anaendelea kutoa maelekezo ya kiserikali si ya kichama, 2015 JK aliwahi kuteua DC siku mbili kabla ya uchaguzi mkuu. Chadema majanga makubwa, ndiyo maana mlinajisi wimbo wa Taifa kwa kigezo tuone watatufanya nini
 
Asante sana; sheria ile ina mambo mengi, lakini yale yanayowabana wagombea kuhusu kampeini yapo mawili tu. Moja ni kile kifungu kinachosema maana ya kampeini, halafu kingine kinatawala uratibu wa kampeini. Nikipata nafasi nitakuwekea hapa uvisome mwenyewe ila hata wewe unaweza kuvitafuta kutoka tovuti ya tume ya uchaguzi. Vifungu hivyo ndivyo vinavyofanya wanasiasa wawe makini katika kujiandaa na kampeini hizo.
Asante mkuu Kichuguu, ila nitashukuru sana kama utaweza kupaste hapa kwa manufaa ya wengine pia kujielimisha.
[emoji120][emoji120]
 
Watu wanasema nafanya kampeni mapema. Hakuna tafsiri yoyote ya kisheria nchini, inayosema kuna kitu kinaitwa kampeni kabla ya wakati. Na kama wakisema hii ni kampeni kabla ya wakati, basi wasisahau kuwa Rais Magufuli amekuwa anafanya kampeni kwa miaka mi5 sasa.
Kampeni kabla ya uteuzi iko kisheria .Sasa unafanyaje kampeni ya Uraisi wakati hata uteuzi wa NEC haujafanyika!!! Lisu haelewi nini
 
sio nimebaka kisa flani kabaka, lissu sio tu anaijua sheria bali yy mwenyewe ni sheria, ivo basi tambua kua kashapeleka zaidi ya mafaili mia ya mapingamizi juu ya uvunjaji wa sheria za kampeni uliofanywa na Magufuli kabla ya kampeni ........

Wkat ww unacheka, msajili kashakorogwa tayari maana kesi zote zina maana, CCM kabla hajapeleka Msajili kashavulugwa ... #LissuSioTuMwanasheriaBaliYyNiSheria.... mtatema ndoano kenge nyie
Eh na matusi tena?
 
Watu wanasema nafanya kampeni mapema. Hakuna tafsiri yoyote ya kisheria nchini, inayosema kuna kitu kinaitwa kampeni kabla ya wakati. Na kama wakisema hii ni kampeni kabla ya wakati, basi wasisahau kuwa Rais Magufuli amekuwa anafanya kampeni kwa miaka mi5 sasa.
Tumepata Mtu Ni yeye!! Haogopi kusema ukweli ,hapepesi macho ,blue ni blue ,black ni black! Jiwe anafanya kampeni na kugawa rushwa waziwazi.
 
Kampeni kabla ya uteuzi iko kisheria .Sasa unafanyaje kampeni ya Uraisi wakati hata uteuzi wa NEC haujafanyika!!! Lisu haelewi nini
Jiwe ndio anafanya kampeni sana au haujasikiaalivyosema kwenye mikutano yake aongeweze miaka mi5 amalizie viporo alivyoacha?
 
Kampeni kabla ya uteuzi iko kisheria .Sasa unafanyaje kampeni ya Uraisi wakati hata uteuzi wa NEC haujafanyika!!! Lisu haelewi nini
Umetumia lugha nyepesi kabisa nadhani kila mmoja humu ataelewa, acha na mimi nikope ufahamu wako kwa kusema, ni sawa na mtahiniwa wa form six kuanza kujaza form za kuingia chuo kikuu kabla ya matokea ya mtihani kutolewa na NECTA.
Mh. Kikwete aliwahi kusema "kuwa ufahamu wa Lissu wa sheria unamchanganya yeye mwenyewe na pia huwachanganya hatu wafuasi wake'.
 
Back
Top Bottom