Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Uzee co kigezo cha kukosa uongozi ,kwa saiv naona majaliwa ndio anafaa awe rais kama nikitumia vigezo vyako,magufuli nooo ,kwa uliosema tundu lisu hafai ,
kuna umri ukifika huwezi kuwa na nafasi nzuri ya kuongoza unakumbuka Mugabe yaliyomkuta na huwezi kumfananisha Ahmed .Lowassa na Umri wa Magufuli hao wawili kwasasa wamefika umri ambao wanahitaji kupumzika si misukosuko ya huko na kule kwenye nchi zetu masikini hizi ambazo zinahitaji misuli kuongoza maana unakuta zaidi ya asilimia 50 ya wananchi elimu zao ni za kawaida sana.Na ndiyo maana Mwl Nyerere alitumia muda mrefu sana kutoa hotuba kwa wananchi za kuelimisha kama mwalimu Rais ili wananchi waelewa maana uraia wao,uhuru wao jinsi ya kujitegemea na faida zake kuanzisha madara ya kufuta ujinge ili watu wajue kusoma na kuandika ilikuwa ni kazi ngumu sana aliifanya na ndiyo maana mpaka leo kuna maneno ya mwalimu hayaiishi vinywani mwa watu na akilini mwao.
 
Uko sahihi, Lisu anafaa kuwa na MTU juu wa kumwambia cha kufanya, yupo sawa na Raia No. 1 utais hauhitaji watu wenye mihemuko

Sent using Jamii Forums mobile app
kaliba na hulka za kuzaliwa ni ngumu sana kuzibadili mpaka ushauri na mentorship ya muda mrefu sana ndo wanaoweza kubadilika.
 
Kwa presentation kama hii nani katika jumuiya ya academicians atakuheshimu! Watu wenye IQ hata ya wastani watakudharau! very shallow reasoning portrayed!
Asshole comment
 

Sasa nadhani nimekuelewa vizuri zaidi.

"Tundu Lissu hafai kuwa Rais kwa sababu 'ana majivuno, dharau na kujiona yuko juu ya wengine, n.k.,

Na sio kwamba Tundu Lissu hafai kuwa Rais kwa sababu hana uwezo wa kuwa Rais.

Nadhani sifa hizo ulizompa zinajadilika na kamwe haziwezi kuwa ndio zinazomwondolea sifa ya kuwa Rais, maanake hata sasa tunaona Rais aliyepo anazo sifa hzo na mbaya zaidi ya hizo; lakini sijaona kwenye bandiko lako ukisema hafai kuwa Rais.

Sasa labda uwe unazo sababu nyingine za kumzuia Lissu kuwa Rais ambazo hujaziweka bayana hapa.
 
hata usipo quote bandika lakini boss wako hafai kuwa Rais ana mihemko kwa kila mahali

Ni wapi ilipoandikwa kwamba Kalamu1 ana boss aitwae Tundu Lissu?
Magufuli amefanya vizuri... yeye anajibu kwa kukebehi Mwamoyo Hamza wa VOA akawa anamshangaa tu kejeli zake alipomuuliza swali hilo.

Ulijuaje kuwa huo mtangazaji alikuwa 'akikebehi'? Huoni kuwa unaweka hisia zako ziwe zake?

Kwa michango kama huu uliouweka hapa kunijibu inakuonyesha usivyokuwa makini katika unayoyaandika.
 
Rais Magufuli hana hizo sifa kama unavyosema ila Rais Magufuli yeye hana mzaha pale linapokuja suala uwajibika na hana urafiki katika kuwajibika na hataki kabisa visingizio vya kutomaliza majukumu ya mtumishi bila sababu za msingi na hasa anachukia sana wanaofanya starehe na pesa au mali ya umma hilo alikuwa anachukia toka akiwa waziri na ni mkali sana kwenye uzembe wa mtu yoyote eneo lake la kazi na kamwe hapendi uwongo na hana mzaha kabisa hizo ni baadhi ya sifa zake lakini sio dharau na lugha za kebehi na majivuno na kujiona anajua kila kitu na kuwaona wenzake hawajui kama Tundu Lissu.Mimi ndiyo mtazamo wangu kwa huyu ndugu yangu hata kama ni msomi lakini ajue kuwa wapo wanaojua zaidi yake na wanaheshima na busara na kutokebehi wenzake.Mbona Zitto hana hayo pamoja na kuwa mpinzania anayesumbua serikali kweli kweli lakini kiburi wala dharau wala majivuno kabisa.
 
sio dharau na lugha za kebehi na majivuno na kujiona anajua kila kitu na kuwaona wenzake hawajui kama Tundu Lissu.

Nimekukumbusha mengi lakini hutaki kuyaelewa. Ngoja nikupe mfano mwingine wa mama wa watu, sijui DED au nani yule wa Kagera aliyeshindwa kukariri kiasi cha pesa za mradi na hapohapo akapoteza kazi!
Nikikwambia kwamba wewe huna uwezo wa kukariri namba kama alionao Rais Magufuli bila shaka utasema huna, lakini hapo hapo unataka kila mtu awe hivyo kwa mjibu wa bandiko lako hapo juu. Wewe hii kazi huiwezi.
Naendelea kukupima kiasi chako, hadi sasa ni F.
 
Hata Mandela aliitwa Gaidi,akafungwa miaka 27,
Lakini alikuja akawa Raisi,na anaheshimiwa duniani kote,Ndani kijani sasa HV,hakuna hata mmoja anayestahili hata kushika viatu vya Mandela au Nyerere

Sent using Jamii Forums mobile app
 
please please
Huyu rafiki yako nimemwambia time and again kama hawezi kujibu post zangu bila matusi apite, apotezee, lakini kila nikiandika ananitukana , soma post yake hapo juu. I will not spare him! Wacha nifungiwe, I will opt for another ID, to tell the truth!
 
please jamani sisi ni watu wazima tuyaache hayo maneno ya mitaani.
Tatum huyu UCD anakera, kila nikiandika lazima anitukane, anajibu kwa lugha ya kuudhi na matusi. nitamtukana bila kujali the outcome!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…