My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
Nyie mlimwandaa lini Magufuli ili awe Rais? Mtifuano wa Dodoma ndo ukaibua virus inayoua TanzaniaTatizo upinzani wa Tz unatuzingua kwa sababu huwa hawamuandai mgombea wa raisi badala yake huwa wanamuandaa siku hiyo hiyo ya uchaguzi hapo ndo napowaona wanapwaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app