Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Acha ushamba wako kama midahalo haina maana mbona mlimtuma balozi wenu kilaza kwenda kuongea ujinga kujikanyakanyaga? si mgeacha na kuwa kimya? Rais wako mpendwa sio wa wote mnampenda nyie pekee wananufaika wa trilion 1.5 na tenda za kujenga miladi yote ikiwemo chato Airport, kibaraka vipi? Kwani bila nyinyi na Bashite kumpiga Risasi angefikaje huko? 40% ya Bajeti inatolewa na mabeberu ni pesa ambazo mnazifuja nyie CCM ambao sasa mnawasimanga wafadhili wenu baada ya kuwa michepuko wa china, Marekani kuna uhuru wa Habari ndiyo maana Rais ana bifu nao lakini humkuti akiwafanyia udikteta kama jiwe anavyowafanyia watanzania.
Huwezi kuandika kistaarabu ushuzi, halafu unafanya characterization kwa wengine? Pole sana tatizo la mashabiki Wa TL akili zenu za kipuuzi kama yeye,kiburi, halafu mnajihesabia haki , acheni hizo.
Nyie ndio mnatafuta midahalo si tunajenga nchi.Rais ni Wa wote kama humpendi hilo ni tatizo lako binafsi na sababu zinazokufanya usimpende.
JPM yuo kwa maslahi ya Tanzania na Watanzania, mnaotafuta maslahi binafsi mtasubiri sana.
Kama unashindwa Ku appreciate mazuri yanayofanywa na mtu kisa humpendi hayo ni matatizo binafsi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wapi? Watanzania hawakumpiga chini Lowasa acha Uongo wako , lowasa alichaguliwa kwa kura nyingi sana lakini tume ya uchaguzi kwa kushirikiana na Polisi wakafanya kuchukua kura za lowasa na kumpa magufuli na zile za magufuli wakazipachika kwa lowasa bila uchakachuaji leo hii lowasa angekuwa ikulu na huu udikteta usingekuwepo sasa, anayetoa mapovu yapi? Bila wewe CCM na Bashite kumpiga Risasi angekuwa huko Marekani sasa? Kisababishi cha Tundu Lisu kuwepo Marekani na ulaya sasa ni nyie watesi wa CCM
Weka ushahidi acha porojo. Lowassa alishinda labda kwenye familia yako. Watanzania tunaoishi hapa Tz kwa wingi wetu tulikikataa chama kisicho na misimamo cha chadema na gemge lao. Na mziki huu unaendelea mpaka upinzani uchwara unaoongozwa na chadema ufie mbali.
 
Nakubaliana kabisa na mawazo yako. Hana sifa kabisa za kuiongoza Tanzania kama Rais. Kama ulivyosema, hathamini michango ya wengine katika kuiendeleza nchi. Hivi mtu mkweli unaweza kusema bila dhamira yako kukusuta kwamba Awamu ya Tano haijafanya kitu cha maana hapa nchini kiasi kwamba tuiondoe madarakani tulete Lissu na watu wake? Hapo hapo nimemsikia akisema huko anakozunguka akizitaka nchi hizo ziwekee vikwazo Tanzania au zisitishe misaada. Nchi hizo zikitekeleza hayo kwani ni nani atakayeumia kama si mimi, wewe yeye mwenyewe, wazazi wetu vijijini, n.k. Mtu wa mwisho kabisa kudhurika atakuwa Magufuli. Kwa maana nyingine Lissu na chama chake hawatutakii mema Watanzania kwa kutuombea mabaya, na sisi hatuna budi kuwakataa watu kama hao. Kama Mwalimu alivyokuwa akisema, tuwaogope kama ukoma.
Hata wazungu hawamuelewi ila wanamcheki tu.
 
Bashite ndiyo Rais kwani mawazo yake yote hutekelezwa na magufuli likiwemo wazo la kuwabambikia kesi kuwapiga Risasi kukandamiza demokrasia na Uonevu wote kwa Wapinzani, lengo lao likiwa ni kurejesha mfumo wa chama kimoja ka China.
Mkuu uko sahihi kabisa yaan bashite ana nguvu kinoma utadhan ndo waziri mkuu
 
Weka ushahidi acha porojo. Lowassa alishinda labda kwenye familia yako. Watanzania tunaoishi hapa Tz kwa wingi wetu tulikikataa chama kisicho na misimamo cha chadema na gemge lao. Na mziki huu unaendelea mpaka upinzani uchwara unaoongozwa na chadema ufie mbali.
Acha kujidanganya na mawazo yako ya kipumbavuuuu CHADEMA haitokufa kamwe usione tuko kimya tupo vijana kibao wenye akili timamu tunaisapoti chadema
 
Hapo umenena mkuu. Watanzania wengi wenye busara wanaoana hivyo. Anadharau kubwa sana. Anajiona yeye anajua kila kitu. Yeye ndiye aliyetunga sheria na haki za binadam na Freedom of speech.

Ukweli hajui kitu. Ni mpayukaji tu na hajui hata kutoa hoja. Anacho zungumza ni utumbo tu kama mtoto mdogo. Mtu anaye jiita mwana sheria maarufu anazungumza kwenye jukwaa la kimataifa kama mtoto wa shule ya msingi. Mwana sheria maarufu anashindwa kujibu maswali rahisi kuhusu mambo mazuri ambaye Rais ameyafanya kwa ajili ya chuki! Kila akiulizwa anatoa mambo yale yale ambayo ameyakariri kichwani ili mradi tu asionekane anamsifu Magufuli!
Mmh! Kwa kijerumani hiyo tunasema "Das ist krank". Mambo ambayo yako kichwani ndiyo hayo hayo tu anataka kuyatoa matokeo yake anashindwa kupanga maneno vizuri kiasi kwamba inaonekana dhahiri kuwa anachuki na Rais, anachuki na mfumo wa serikali yetu, Bunge letu tukufu, mahakama na vyombo vya Dola na kadhalika.

Kila nikimsikiliza Tundu Lussu najiuliza mimi mwenyewe, inawezekanaje mtu kudai haki za binadam wakati yeye mwenyewe hivyo vitu anavyo vidai hawezi kuvi-impliment? Kwanza hajui vigezo vya ukiukwaji wa haki za binadam vikoje? Kwanza Lissu hana affinity na wanadam wenzake, hawaheshimu na wala hawathamini? Kwa vigezo hivi ni haki kweli anavyo payuka duniani kuwaonyesha wazungu kuwa yeye ni mtetezi mkubwa wa haki za binadam Tanzania? Huu ni uongo!

Wakati yuko katika mkutano wa mambo ya sheria za Afrika jijini Washington D. C, Lissu alidai katika kauli yake moja kuwa Rais Magufuli hajui kuzungumza kiingereza ila yeye ndiyo anakijua.

Hii sentesi ilinichekesha sana, yaani mtu ambaye hata kupanga maneno yenyewe kwa kiingereza vizuri yanamshinda kiasi kwamna watu wakamwelewa ni nini hasa anaongelea, ana payuka hadharani kuwa Rais Magufuli kiingereza hajui. Kwa mtu ambaye amesoma Amerika na kuishi kwa mda Amerika mimi naona kiingereza chake ni kama cha mtu aliyemaliza chuo kikuu Bongo. Kiingereza chake ni cha vitabuni na sio cha tumboni.

Asijivunie kiingereza chake ambacho ukilinganisha na watu ambao wanaongea kiingereza yeye chake kinasikika kama cha mtu ambaye hata Amerika hajaishi. Nina dada yangu mwalim, nikisikilza kiingereza chake utafikiri cha mtu ambaye ametoka UK leo, lakini cha ajabu ni kwamba hata Kenya hajafika. Babu yangu kabla hajafa alikuwa anapiga kimombo na kijerumani vizuri sana, lakini Uingereza na Ujerumani hajawahi fika. Kwa mtu aliyesoma na aliyepata Masters yake George Washington the University of Law, kiingereza chake ni kama cha mtu aliyemaliza High school Bongo.

Tundu Lissu ni falah sana. Anapswa kupuuzwa. Ni mtu ambaye hana akili timamu na nafikiri bado ni mgonjwa. Akili zake haziko sawa sawa. Mbunge mzima anatoa pumba kama za watu ambao wako Manzese!

Yaani watu wanagharimia millions of T-shilings kumpeleka Tundu Lissu kwenye chuo cha Washington D.C ili kuwaeleza intellectuals kuwa Rais Magufuli hawezi kusema sentensi nzima kwa kiingereza? Ndiyo kauli za mtu mwenye busara hizo? Hivi mtu kama yeye anatakiwa afanye ujinga wa aina gani ndiyo watu waweze kutambua kuwa Lissu hakili hana?

Ndiyo inawezekana kuwa Rais Magufuli anashindwa kutamka baadhi ya maneno ya kiingereza lakini akisoma anaelewa na ndiyo maana amepata u-DOCTORATE.
Mbona watanzania wengi hasa wale ambao wamechukua masomo au combinations za masomo ya science kama PCM, PGM, PCB na mengineyo zamani tulimaliza high school na kuanza vyuo, lakini bado kiingereza kilikuwa hakipandi vizuri katika kuzungumza? Lakini katika kusoma watu walikuwa wanapata Max nzuri? Ina maana na sisi tulikuwa hatujui kiingereza?

Nawaomba wana CHADEMA msaidieni kamanda wenu. Hayuko vizuri. Kauli ambazo ana zitoa zunaonyesha kuwa Lissu hana ustaarabu wa kidiplomasia. Hazungumzi kama statesman mwenye reputation ya kimataifa. Lugha yake ni ya kijiweni au katika Bunge la migombani.
Ni uozo mtupu. Kama mnamtaka yeye aendelee kuwasemea duniani, kwa hali hii mtaumbuka wote. Inaonekana dhahiri kuwa wana CHADEMA wote ni vichaa na hivyo kufanya mdharaulike na hivyo kutokuwa na Credibility kubwa kwa Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulicheka uluposikia kwamba Lissu kasema Raisi hawezi kuzungumza Kiingereza, na pia unasema Kiingereza cha Lissu ni kama vile mtu aliemaliza chuo Bongo, na wakati huo huo unasifia kwamba dada yako hajawahi fika Kenya, pia babu yako alikua anajua kimombo sasa wewe unatofauti gani na Lissu kujisifia kuweza kiingereza? Pia huyo dada yako aliekushinda kuongea Kiingereza na amesoma bongo na wewe uliesoma combination za sayansi na kiingereza kina kushinda unataka uhalalishe kutojua kiingereza na kusoma sayansi hakuna uhusiano kati ya kutokujua kiingereza na kusoma masomo ya sayansi ambayo yameandikwa kwa Kiingerrza kama hujui Kiingereza wewe ni mzembe na mbumbumbu huwezi sema hujui kuongea kwa lugha ilioandikwa kwenye vitabu ulivuosomea
 
mkuu wala usimchukulie kuwa ni muhangaikaji amehoji kitu cha maana sana kutokana na upekee wa kile kiti nasifa zake..
Anahaja ya kujibiwa kwa hoja itakuwa hakuna maana yoyote kwa majibu kama haya.


Ajibiwe nini sasa kwani muhutu kiti cha urais ndo kinamfaa au?
 
Acha kujidanganya na mawazo yako ya kipumbavuuuu CHADEMA haitokufa kamwe usione tuko kimya tupo vijana kibao wenye akili timamu tunaisapoti chadema
Ok. Chadema haitakufa. Furahi sasa ila MTAENDELEA kuwa chama pinzani cha serikali iliyopo madarakani.
 
Ni kweli hiyo theory ipo kwenye psychology lakini kwa alikofikia Lissu hapana...kwenye uongozi busara ni muhimu sana na Lissu hiyo busara ameikosa kabisa kila kitu yeye anajiona anakijua na yuko juu wa wengine kwa kila jambo.nina karibu copy ya mijadala yake ya Bungeni huwa namsikiliza sana tu ktk kuchangia hoja zake kwa muda mrefu....ni kweli mambo mengi anayajua lakini ana vuka mipaka sana na hilo ni tatizo kubwa ukiwa kiongozi

Huyu wasasa anahizo busara?
Kama unajua unajua tu....kama juzi na Masilingi.....
Kama kuna mwingine Mpelekeni....
Unadhani Mpaka wakaamua kumuua ulizani wajinga...
Walishamshindwa kwa Kila kitu ndiyo maana wakaamua Kummiminia risasi huku wakisahau hata akili ya kumuua hawana...
Yani wamezidiwa akili na Vidudu vya Malaria, Typhoid, Cholera ambavyo vinauwezo wa kuuwa....
Labda akili zao zinafanana na vidudu vya mafua vinavyoweza kutesa tu.....
 
Lissu ni mwanasheria wa chama akiwa bungeni lazima maswala ya kisheria au kanuni atayazungumza sana, yeye na jenista mhagama kwa nafasi zao usishangae wakiwa busy kuomba mwongozo na utaratibu, ndo siasa za mfumo wa vyama vingi kwa hiyo usichanganyikiwe
hata akiwa bungeni hiyo ndiyo kazi yake sawa lakini aheshime wenzake basi hata pale anapoambiwa ukweli yeye hataki kiasi cha kuleta vurugu bungeni na hata kutolewa nje ...wewe unaambiwa kaa chini spika anaposimama kikanuni yeye hata utakuata amesisima tu na kutaka muongozo wake usikilizwe au kutolewa ufafanuzi yeye hataki.halafu ndo leo hii anataka kuwa Rais wa nchi sidhani kama anafaa.....
 
Katiba inamruhusu ila ni mtu wa visasi - anaweza kuwa Rais wa kwanza mbaya toka uwepo wa Tanganyika
 
Huyu wasasa anahizo busara?
Kama unajua unajua tu....kama juzi na Masilingi.....
Kama kuna mwingine Mpelekeni....
Unadhani Mpaka wakaamua kumuua ulizani wajinga...
Walishamshindwa kwa Kila kitu ndiyo maana wakaamua Kummiminia risasi huku wakisahau hata akili ya kumuua hawana...
Yani wamezidiwa akili na Vidudu vya Malaria, Typhoid, Cholera ambavyo vinauwezo wa kuuwa....
Labda akili zao zinafanana na vidudu vya mafua vinavyoweza kutesa tu.....
una ushahidi au auanafuata mkumbo tu.....kama wale ambao ndo leo wamejua tofauti ya serikali nchi na taifa leo hii wanamshukuru Lissu kwa kuwaelimisha hayo...wakati hayo ni mambo yanayofundishwa darasa la tatu au la nne shule ya msingi kwenye elimu ya uraia zamani somo la siasa...sasa ndiyo nyie mnaofuata mkumbo tu kuhusu mambo mengi kama unavyoonekana katika comment yako.
 
Wanamwita genius, sasa nikajiuliza hivi genius anaweza kuongea kwa kuropoka hivyo. Ninavyojua magenius ni watu ambao wako very cool na mara nyingi hawapendi confrotation kwa sababu wanahitaji utulivu mkubwa ku focus kwenye issue zao
 
Wanamwita genius, sasa nikajiuliza hivi genius anaweza kuongea kwa kuropoka hivyo. Ninavyojua magenius ni watu ambao wako very cool na mara nyingi hawapendi confrotation kwa sababu wanahitaji utulivu mkubwa ku focus kwenye issue zao
na ndiyo sifu kubwa ya genius...hawapendi kelele kelele lakini genius huyu mmmh sauti juu hata jambo la kawaida tu mikono na vidole machoni kwa watu wanaojadili pamoja utafikiri ni vita ktk huo mjadala
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
vp jiwe anazo sifa
 
una ushahidi au auanafuata mkumbo tu.....kama wale ambao ndo leo wamejua tofauti ya serikali nchi na taifa leo hii wanamshukuru Lissu kwa kuwaelimisha hayo...wakati hayo ni mambo yanayofundishwa darasa la tatu au la nne shule ya msingi kwenye elimu ya uraia zamani somo la siasa...sasa ndiyo nyie mnaofuata mkumbo tu kuhusu mambo mengi kama unavyoonekana katika comment yako.

Mkumbo upi Mkuu?
Kama ukupata utapia Mlo utotoni, ukasoma vizuri, Ukalelewa na wazazi wote wawili, kwenye hili la Lissu unafanya conclusion kirahisi mno....
Tatizo kama upo kwenye ile 40% ya watoto wa kitanzania wanaokumbwa na utapia Mlo, alfu ukawa na Baba type ya Bashite, cheti hana na vitu kama hivyo....
Hapo utaangaika sana kwenye hii issue....
 
Nakubaliana kabisa na mawazo yako. Hana sifa kabisa za kuiongoza Tanzania kama Rais. Kama ulivyosema, hathamini michango ya wengine katika kuiendeleza nchi. Hivi mtu mkweli unaweza kusema bila dhamira yako kukusuta kwamba Awamu ya Tano haijafanya kitu cha maana hapa nchini kiasi kwamba tuiondoe madarakani tulete Lissu na watu wake? Hapo hapo nimemsikia akisema huko anakozunguka akizitaka nchi hizo ziwekee vikwazo Tanzania au zisitishe misaada. Nchi hizo zikitekeleza hayo kwani ni nani atakayeumia kama si mimi, wewe yeye mwenyewe, wazazi wetu vijijini, n.k. Mtu wa mwisho kabisa kudhurika atakuwa Magufuli. Kwa maana nyingine Lissu na chama chake hawatutakii mema Watanzania kwa kutuombea mabaya, na sisi hatuna budi kuwakataa watu kama hao. Kama Mwalimu alivyokuwa akisema, tuwaogope kama ukoma.
ni kweli kabisa hata kama yeye personal amepata attack hiyo ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana si kigezo basi kuwa sasa tz hakuna utawala bora hakuna demokrasia hakuna haki za binadamu hakuna uhuru wa kuongea.Lissu analazima hoja zake ziwe za kweli kwa ulimwengu kitu ambacho hao wanahabari wanaomhoji wanamuuliza kuhusu mazuri ya Tanzania wanayoyaona lakini Lissu anapindisha ukweli kiasi cha hata wao kumshangaa sana nimeangalia Hardtalk ya BBC,DW na huko Marekani VOA pia huoni hoja ya msingi kabisa zaidi ya kulazima hoja zake zikubalike hata na muongoza kipindi.
 
Back
Top Bottom