Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Mkumbo upi Mkuu?
Kama ukupata utapia Mlo utotoni, ukasoma vizuri, Ukalelewa na wazazi wote wawili, kwenye hili la Lissu unafanya conclusion kirahisi mno....
Tatizo kama upo kwenye ile 40% ya watoto wa kitanzania wanaokumbwa na utapia Mlo, alfu ukawa na Baba type ya Bashite, cheti hana na vitu kama hivyo....
Hapo utaangaika sana kwenye hii issue....
Huna hoja zaidi kubaki na hayo maneno ya kwenye mitandao ambayo ukiitwa mahali mubashara ueleza utabaki kuomba msamaha tu na kuapa kutorudia tena kuongea hayo maneno.....uko huru ktk mitandao kuandika chochote unachotaka kwasababu hujulikani
 
Huna hoja zaidi kubaki na hayo maneno ya kwenye mitandao ambayo ukiitwa mahali mubashara ueleza utabaki kuomba msamaha tu na kuapa kutorudia tena kuongea hayo maneno.....uko huru ktk mitandao kuandika chochote unachotaka kwasababu hujulikani

Hongera kwa kuwa na hoja....
Kamsaidie Masilingi...
 
Nilidhani ni vema ungeorozesha sifa anazohitaji kuwa nazo mtu ili afae kuwa rais! Ili tukaona ni zipi ambazo TL anakosa. Baɗala ƴake umeleta porojo.
Busara,Hekima,Utulivu,Uvumilivu,Kuonyesha njia,Kuwa na maono,Heshima,Lugha nzuri,Elimu,kuwa na msimamo,Kujali haki za binadamu,KUthamini viongozi wenzako,kuwa na maadili,Kutokuwa na kiburi,kutoonyesha hasira hadharani.kuheshimu mila na tamaduni za wengine nk
 
Hoja makini za lissu dunia nzima inazijua isipokuwa wewe na walamba miguu wenzio.
wangapi wamepigwa risasu duniani na maisha yanaendelea ktk nchi zao.....who si Lissu......tuna mambo mengi ya kufikiri kuhusu nchi yetu Lissu asitupotezee muda bure hapa.
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
Dah aisee pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wangapi wamepigwa risasu duniani na maisha yanaendelea ktk nchi zao.....who si Lissu......tuna mambo mengi ya kufikiri kuhusu nchi yetu Lissu asitupotezee muda bure hapa.

Mbona unapoteza muda kuandika kumhusu?
 
Jiwe kauokota tu uraisi mimi mwenye kwa sasa nipo upinzani nashauri tu ni namna gani tunaweza shinda uchaguzi ujao.Kujipanga ni muhimu haswa kwa kipindi hiki ambacho waTz wengi walivyochoshwa na utawala huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo tulilonalo ni tume ya uchaguzi na vyombo vya dola kuwa loyalty kwa mtu nasi taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama yako hana sifa ya kuwa hata mwenyekiti kiti wa kitongoji
koma kwa matusi yako sijamuhusisha mama yako ktk hii mada tena ukome kabisa kama ulivyokoma kunyonya ziwa la mama yako
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.

Kiduku chake tu kinatosha kukwambia hicho kichwa kimevurugwa. Ukimwangalia VOA anavyoongea na Masilingi utadhan anataka kumtoboa macho. Yaani kama mitoto inabishana kwa jinsi anavyoongea
 
Kiduku chake tu kinatosha kukwambia hicho kichwa kimevurugwa. Ukimwangalia VOA anavyoongea na Masilingi utadhan anataka kumtoboa macho. Yaani kama mitoto inabishana kwa jinsi anavyoongea
kuduku......
 
Kuna watu walisukumizwa huko na wakawa ivo walivyo, hata yy anawezwa kusukumizwa pia.
Ww mtoa mada una sifa hyo? !
 
Back
Top Bottom