UTAKUJA UJE
Member
- Aug 4, 2020
- 34
- 78
Mheshimiwa Lissu na wapenda demokrasia wote.Hongereni kwa kuzindua kampeni leo ktk viwanja vya zakheem Mbagala.Kuna mambo kadhaa nimejifunza,vema tushirikishane.
MOSI: Jazba na hasira.Bado wanachadema wengi wametawaliwa na hasira na jazba.Hili laweza wanyima imani kwa wapiga kura wengi hususani wa vijijini.Mfn,Lema,Mwenyekiti wa baraza la wazee,Mbowe hata Lissu mwenyewe,bado mmetawaliwa na jazba kali.Sidhani kama ni sahihi kuenenda hivo
PILI: MATUMIZI MABAYA YA MUDA:Tundu Lissu katumia muda mwingi kueleza yalompata na kutoa shukrani.Ni jambo jema,lkn itoshe kusema,yalompata Lissu wote tunayajua,tunayalaani na dunia nzima inayalaani.Katika kipindi hiki cha kukimbizana na muda,dk tatu za shurani za jumla zinatosha
TATU: HARAKATI: Kwangu sioni kama zitaleta positive impact kutokana na nature ya nchi yetu,uongozi uliopo na watu wetu.Wapiga kura wengi wa vijijini huwezi waambia ingia barabarani upinge uhuni unaofanywa na watawala,ni waoga,hawatoenda.Jema nililoona NI KUZISHIRIKISHA JUMUIYA ZA KIMATAIFA,NCHI MARAFIKI NA MASHIRIKA MBALIMBALI KUINYOOSHEA KIDOLE TANZANIA.Hili litasaidia sana
NNE: KUKOSEKANA SERA:Mh Tundu katueleza aliandaa hotuba ya kurasa 24,lkn kutokana na uhuni wa engua engua hatoisoma leo,vzr,lkn nadhani angejikita kwenye sera,nini kimo kwenye hotuba ile na akasisitiza juu ya msimamo wao wa kupinga engua engua ingeleta logic.TUTAFANYA HAYA NA HAYA,TUTAONDOA KERO HIZI NA HIZI,Lkn hayo yote tutayafanya baada ya wagombea wetu wote walioenguliwa kihuni kuwa wamerudishwa nk,Mbona CCM wepesi tu
TANO: KUKOSEKANA MSIMAMO MBADALA WA CHAMA.Hapa nimeshindwa kumuelewa Lissu na cdm kwa ujumla,IWAPO TUME HAITOWAREJESHA ILIOWAENGUA KIHUNI,NINI KITAFANYIKA?IWAPO WANANCHI HAWATOFANYA MAANDAMANO YA AMANI KUDAI HAKI,NINI MSIMAMO WA CHADEMA?
Nihitimishe kwa kuwaomba washauri wa chama,kumshauri vzr Mh Tundu,jinsi gani atumie muda vzr wa kipindi hiki cha kampeni ili kuwashawishi wapiga kura kumuamini na mwisho kuindoa CCM madarakani,mbona simple tu?
Kuna issue nyingi za kuwamaliza,UHURU WAVYOMBO VYA HABARI,HUDUMA ZA AFYA NA VIFAA TIBA,TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA WETU, UMASKINI ULIOKITHIRI MIONGONI MWA WATANZANIA,KILIMO NA MAZONGEZONGE YAKE, WATUMISHI KUNYIMWA HAKI ZAO NK,MIUNDOMBINU MIBOVU NCHINI,UHURU WA MIHIMILI Na mengine mengi mengi mengi
GOD BLESS CHADEMA,GOD BLESS TUNDU LISSU,GOD BLESS TANZANIA
MOSI: Jazba na hasira.Bado wanachadema wengi wametawaliwa na hasira na jazba.Hili laweza wanyima imani kwa wapiga kura wengi hususani wa vijijini.Mfn,Lema,Mwenyekiti wa baraza la wazee,Mbowe hata Lissu mwenyewe,bado mmetawaliwa na jazba kali.Sidhani kama ni sahihi kuenenda hivo
PILI: MATUMIZI MABAYA YA MUDA:Tundu Lissu katumia muda mwingi kueleza yalompata na kutoa shukrani.Ni jambo jema,lkn itoshe kusema,yalompata Lissu wote tunayajua,tunayalaani na dunia nzima inayalaani.Katika kipindi hiki cha kukimbizana na muda,dk tatu za shurani za jumla zinatosha
TATU: HARAKATI: Kwangu sioni kama zitaleta positive impact kutokana na nature ya nchi yetu,uongozi uliopo na watu wetu.Wapiga kura wengi wa vijijini huwezi waambia ingia barabarani upinge uhuni unaofanywa na watawala,ni waoga,hawatoenda.Jema nililoona NI KUZISHIRIKISHA JUMUIYA ZA KIMATAIFA,NCHI MARAFIKI NA MASHIRIKA MBALIMBALI KUINYOOSHEA KIDOLE TANZANIA.Hili litasaidia sana
NNE: KUKOSEKANA SERA:Mh Tundu katueleza aliandaa hotuba ya kurasa 24,lkn kutokana na uhuni wa engua engua hatoisoma leo,vzr,lkn nadhani angejikita kwenye sera,nini kimo kwenye hotuba ile na akasisitiza juu ya msimamo wao wa kupinga engua engua ingeleta logic.TUTAFANYA HAYA NA HAYA,TUTAONDOA KERO HIZI NA HIZI,Lkn hayo yote tutayafanya baada ya wagombea wetu wote walioenguliwa kihuni kuwa wamerudishwa nk,Mbona CCM wepesi tu
TANO: KUKOSEKANA MSIMAMO MBADALA WA CHAMA.Hapa nimeshindwa kumuelewa Lissu na cdm kwa ujumla,IWAPO TUME HAITOWAREJESHA ILIOWAENGUA KIHUNI,NINI KITAFANYIKA?IWAPO WANANCHI HAWATOFANYA MAANDAMANO YA AMANI KUDAI HAKI,NINI MSIMAMO WA CHADEMA?
Nihitimishe kwa kuwaomba washauri wa chama,kumshauri vzr Mh Tundu,jinsi gani atumie muda vzr wa kipindi hiki cha kampeni ili kuwashawishi wapiga kura kumuamini na mwisho kuindoa CCM madarakani,mbona simple tu?
Kuna issue nyingi za kuwamaliza,UHURU WAVYOMBO VYA HABARI,HUDUMA ZA AFYA NA VIFAA TIBA,TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA WETU, UMASKINI ULIOKITHIRI MIONGONI MWA WATANZANIA,KILIMO NA MAZONGEZONGE YAKE, WATUMISHI KUNYIMWA HAKI ZAO NK,MIUNDOMBINU MIBOVU NCHINI,UHURU WA MIHIMILI Na mengine mengi mengi mengi
GOD BLESS CHADEMA,GOD BLESS TUNDU LISSU,GOD BLESS TANZANIA