Pre GE2025 Tundu Lissu hataweza tena kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa sababu chama chake kimekiri hana uwezo!

Pre GE2025 Tundu Lissu hataweza tena kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa sababu chama chake kimekiri hana uwezo!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ni kweli Tundu Lissu ameshatia nia lakini kwa mujibu wa mjumbe wa CC, Yeriko Nyerere ni kwamba Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais wa JMT na hata 2020 walimteua kimakosa

Nimeona tuwekane sawa mapema Kwa sababu NEC ilitaka kumkata 2020 lakini Shujaa Magufuli akasema wamwache

Ahsanteni Sana

Leo ni Dominica ya Mwisho 2024🌹

Kanisa Moja Takatifu La Mitume😄
 
Ni kweli Tundu Lisu ameshatia Nia lakini Kwa mujibu wa mjumbe wa CC Mh Yeriko Nyerere ni kwamba Tundu Lisu hana sifa za kuwa Rais wa JMT na hata 2020 walimteua kimakosa

Nimeona tuwekane sawa mapema Kwa sababu NEC ilitaka kumkata 2020 lakini Shujaa Magufuli akasema wamwache

Ahsanteni Sana

Leo ni Dominica ya Mwisho 2024🌹

Kanisa Moja Takatifu La Mitume😄
Yes,
kibaraka ana uraia pacha kitu ambacho ni kinyumbe na sheria za nchi,

hata hivyo, utimamu wa mwili, akili na uzalendo ndivyo haswa vilivyowatia mashaka chadema na ndivyo vilivyochangia pakubwa chadema kumuona kibaraka huyo wa mabwenyenye ya magharibi kua hana uwezo katika uongozi, na wala hatoshi kupewa dhamana hiyo muhimu sana nchini, ya kupeperusha bendera ya chadema kwa nafasi ya urais2025. :pulpTRAVOLTA:
 
Ku
Ni kweli Tundu Lisu ameshatia Nia lakini Kwa mujibu wa mjumbe wa CC Mh Yeriko Nyerere ni kwamba Tundu Lisu hana sifa za kuwa Rais wa JMT na hata 2020 walimteua kimakosa

Nimeona tuwekane sawa mapema Kwa sababu NEC ilitaka kumkata 2020 lakini Shujaa Magufuli akasema wamwache

Ahsanteni Sana

Leo ni Dominica ya Mwisho 2024🌹

Kanisa Moja Takatifu La Mitume😄
Karibu kwa Dr Nakir upate ilimu ya Jesus
 
Ni kweli Tundu Lisu ameshatia Nia lakini Kwa mujibu wa mjumbe wa CC Mh Yeriko Nyerere ni kwamba Tundu Lisu hana sifa za kuwa Rais wa JMT na hata 2020 walimteua kimakosa

Nimeona tuwekane sawa mapema Kwa sababu NEC ilitaka kumkata 2020 lakini Shujaa Magufuli akasema wamwache

Ahsanteni Sana

Leo ni Dominica ya Mwisho 2024🌹

Kanisa Moja Takatifu La Mitume😄

Yeriko nyerere ndo hana uwezo
 
Ni kweli Tundu Lisu ameshatia Nia lakini Kwa mujibu wa mjumbe wa CC Mh Yeriko Nyerere ni kwamba Tundu Lisu hana sifa za kuwa Rais wa JMT na hata 2020 walimteua kimakosa

Nimeona tuwekane sawa mapema Kwa sababu NEC ilitaka kumkata 2020 lakini Shujaa Magufuli akasema wamwache

Ahsanteni Sana

Leo ni Dominica ya Mwisho 2024🌹

Kanisa Moja Takatifu La Mitume😄
Wewe ni nani hadi uwasemee CDM!! Kafie mbele na CCM yenu.
 
Ni kweli Tundu Lisu ameshatia Nia lakini Kwa mujibu wa mjumbe wa CC Mh Yeriko Nyerere ni kwamba Tundu Lisu hana sifa za kuwa Rais wa JMT na hata 2020 walimteua kimakosa

Nimeona tuwekane sawa mapema Kwa sababu NEC ilitaka kumkata 2020 lakini Shujaa Magufuli akasema wamwache

Ahsanteni Sana

Leo ni Dominica ya Mwisho 2024🌹

Kanisa Moja Takatifu La Mitume😄
pumbavu zako 😀 😀 😀 😀 😀 .......ya ndani yaaachie wao ya jumla yanakaa kama yalivyo.........ana uwezo ....
 
Walitaka kumkata kwa kigezo hajaishi nchini kwa miezi kadhaa mfululizo ambalo ni takwa la kikatiba kwa mtu anayegombea nafasi ya Urais.

Hata hivyo hii nchi bado raia wake ni makapuku wa fikra, wacha CCM iendelee kutawala.
 
Wewe tu ndio unaishi kizamani bila uraia pacha

Freeman na Sugu ni raia pacha kitambo sana 😂😂
ooh kumbe,
basi karibuni kwenye kinyang'anyiro cha kugombea uongozi wa kitaifa ndugu zangu watu wa kisasa, ili tuone tutasaidinanaje,


na hakuna haja ya mayowe wala kubwekabweka tafadhali :pedroP:
 
CCM walimsema Magufuli kuwa hawezi kuwa Rais kuwa anapenda kuropoka sana na hawezi kuweka mambo kifuani………ata siku anachukua fomu pale Lumumba kuna watu walianza kumcheka eti “mpaka huyu nae anataka kuwa Rais,mbona anapoteza muda sana!??”

Jakaya wakati anataka kugombea Urais mwaka 1995,kuna baadhi ya watu ndani ya CCM walimchana wazi wazi kuwa hafai kuwa Rais maana uwezo huo hana ila baadae akawa Rais

Wakati Mwalimu anapendekeza jina la Mwinyi kugombea Urais,kuna wanasiasa ndani ya CCM tena wengi sana walikiri kuwa Mwinyi hapaswi kuwa Rais ila akawa Rais


Mama Samia Leo ni Rais lakini kuna kikundi kilikiri kuwa hawezi kuwa Rais coz hana utashi mkubwa wa kuongoza Nchi na ata mpaka hivi sasa kuna kundi kubwa sana toka CCM linakiri kuwa Bi’Mkubwa anazingua ila bado ni Rais

Mungu akiamua jambo hakuna wa kupinga,Kama mlishindwa kumuua TAL ndio Leo muweze kumzuia kuwa Rais!??? Haiwezekani kabisa

LISSU ni mpango wa MUNGU,atakayejaribu kupambana nae hasira za Mungu zipo juu yake
 
Ni kweli Tundu Lisu ameshatia Nia lakini Kwa mujibu wa mjumbe wa CC Mh Yeriko Nyerere ni kwamba Tundu Lisu hana sifa za kuwa Rais wa JMT na hata 2020 walimteua kimakosa

Nimeona tuwekane sawa mapema Kwa sababu NEC ilitaka kumkata 2020 lakini Shujaa Magufuli akasema wamwache

Ahsanteni Sana

Leo ni Dominica ya Mwisho 2024🌹

Kanisa Moja Takatifu La Mitume😄
Kwamba huyo yeriko ndio chama chake kimesema, akili zingine ni sawa na matope
 
Ni kweli Tundu Lisu ameshatia Nia lakini Kwa mujibu wa mjumbe wa CC Mh Yeriko Nyerere ni kwamba Tundu Lisu hana sifa za kuwa Rais wa JMT na hata 2020 walimteua kimakosa

Nimeona tuwekane sawa mapema Kwa sababu NEC ilitaka kumkata 2020 lakini Shujaa Magufuli akasema wamwache

Ahsanteni Sana

Leo ni Dominica ya Mwisho 2024🌹

Kanisa Moja Takatifu La Mitume😄
Tundu Lisu anataka Kugombea Urais Tena wakati ,Uwenyekiti ameomba kugombea na Kuna Kila dalili anakosa uwenyekiti?
 
CCM walimsema Magufuli kuwa hawezi kuwa Rais kuwa anapenda kuropoka sana na hawezi kuweka mambo kifuani………ata siku anachukua fomu pale Lumumba kuna watu walianza kumcheka eti “mpaka huyu nae anataka kuwa Rais,mbona anapoteza muda sana!??”

Jakaya wakati anataka kugombea Urais mwaka 1995,kuna baadhi ya watu ndani ya CCM walimchana wazi wazi kuwa hafai kuwa Rais maana uwezo huo hana ila baadae akawa Rais

Wakati Mwalimu anapendekeza jina la Mwinyi kugombea Urais,kuna wanasiasa ndani ya CCM tena wengi sana walikiri kuwa Mwinyi hapaswi kuwa Rais ila akawa Rais


Mama Samia Leo ni Rais lakini kuna kikundi kilikiri kuwa hawezi kuwa Rais coz hana utashi mkubwa wa kuongoza Nchi na ata mpaka hivi sasa kuna kundi kubwa sana toka CCM linakiri kuwa Bi’Mkubwa anazingua ila bado ni Rais

Mungu akiamua jambo hakuna wa kupinga,Kama mlishindwa kumuua TAL ndio Leo muweze kumzuia kuwa Rais!??? Haiwezekani kabisa

LISSU ni mpango wa MUNGU,atakayejaribu kupambana nae hasira za Mungu zipo juu yake
Ikungi alikozaliwa TAL wanatushangaa kusema ,achaguliwe,kuwa Mwenyekiti wa chadema Taifa!
Jimbo la ikungi,lilimshinda,Leo mnataka kumpa chama nchinnzima?
 
Walitaka kumkata kwa kigezo hajaishi nchini kwa miezi kadhaa mfululizo ambalo ni takwa la kikatiba kwa mtu anayegombea nafasi ya Urais.

Hata hivyo hii nchi bado raia wake ni makapuku wa fikra, wacha CCM iendelee kutawala.
Ccm imejaa mapumbavu kama viongoz wao 🪛🪛🪛🪛🪛🪛
 
Back
Top Bottom