Pre GE2025 Tundu Lissu hataweza tena kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa sababu chama chake kimekiri hana uwezo!

Pre GE2025 Tundu Lissu hataweza tena kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa sababu chama chake kimekiri hana uwezo!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni kweli Tundu Lisu ameshatia Nia lakini Kwa mujibu wa mjumbe wa CC Mh Yeriko Nyerere ni kwamba Tundu Lisu hana sifa za kuwa Rais wa JMT na hata 2020 walimteua kimakosa
Hata Ntobi aliyasema hayo japo baadaye akaomba radhi.
 
Ikungi alikozaliwa TAL wanatushangaa kusema ,achaguliwe,kuwa Mwenyekiti wa chadema Taifa!
Jimbo la ikungi,lilimshinda,Leo mnataka kumpa chama nchinnzima?
Ikungi ipi? Ccm imejaa mapumbavu kama viongoz wao ndio maana kila uchaguz Kwa sasa msipotumia polis hamshindi hata kitongoji 🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛
 
Mamayenu anauza rasilimari wajinga mnashangilia mtakuja kuamka Mali zilishaishia uarabuni Kwa wajomba zake🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛
kua mtulivu ,
elezea mambo kwa utaratibu bila kubabaika kwa faida ya wadau gentleman :pulpTRAVOLTA:
 
ooh kumbe,
basi karibuni kwenye kinyang'anyiro cha kugombea uongozi wa kitaifa ndugu zangu watu wa kisasa, ili tuone tutasaidinanaje,


na hakuna haja ya mayowe wala kubwekabweka tafadhali :pedroP:
Ccm imejaa mapumbavu kama viongoz wao uchwara madalali ya mali za umma🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛
 
Ccm imejaa mapumbavu kama viongoz wao uchwara madalali ya mali za umma🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛
relax gentleman,

hakuna haja ya mawenge wala kiwewe kwenye mabo haya bayana ya kisheria na utaratibu :pedroP:
 

Attachments

  • images (13) (1).jpeg
    images (13) (1).jpeg
    10.9 KB · Views: 1
Ikungi alikozaliwa TAL wanatushangaa kusema ,achaguliwe,kuwa Mwenyekiti wa chadema Taifa!
Jimbo la ikungi,lilimshinda,Leo mnataka kumpa chama nchinnzima?
Mbowe jimbo lake la Hai ameliweza? Kama ndio hivyo, unawezaje kumwamini mtu ambaye ameshindwa uchaguzi wa jimboni kwake kuongoza chama cha upinzani?

NB: Umekuja na akili za ki-CCM na mimi nakujibu kwa akili hizohizo, tuendeleze mjadala.
 
Yes,
kibaraka ana uraia pacha kitu ambacho ni kinyumbe na sheria za nchi,

hata hivyo, utimamu wa mwili, akili na uzalendo ndivyo haswa vilivyowatia mashaka chadema na ndivyo vilivyochangia pakubwa chadema kumuona kibaraka huyo wa mabwenyenye ya magharibi kua hana uwezo katika uongozi, na wala hatoshi kupewa dhamana hiyo muhimu sana nchini, ya kupeperusha bendera ya chadema kwa nafasi ya urais2025. :pulpTRAVOLTA:
Mawaziri Kibao akiwemo anayewateua wote wana uraia wa nchi nyingine zaidi ya Tanzania.
 
relax gentleman,

hakuna haja ya mawenge wala kiwewe kwenye mabo haya bayana ya kisheria na utaratibu :pedroP:
Mamayenu kibaraka wa mabeberu ya kiarabu mtakuja kuamka mali zote zilishaishia uarabuni 🪛🪛🪛🪛🪛🪛
 
Ni kweli Tundu Lisu ameshatia Nia lakini Kwa mujibu wa mjumbe wa CC Mh Yeriko Nyerere ni kwamba Tundu Lisu hana sifa za kuwa Rais wa JMT na hata 2020 walimteua kimakosa

Nimeona tuwekane sawa mapema Kwa sababu NEC ilitaka kumkata 2020 lakini Shujaa Magufuli akasema wamwache

Ahsanteni Sana

Leo ni Dominica ya Mwisho 2024🌹

Kanisa Moja Takatifu La Mitume😄
Wewe unaumwa kas---nde
 
Yes,
kibaraka ana uraia pacha kitu ambacho ni kinyumbe na sheria za nchi,

hata hivyo, utimamu wa mwili, akili na uzalendo ndivyo haswa vilivyowatia mashaka chadema na ndivyo vilivyochangia pakubwa chadema kumuona kibaraka huyo wa mabwenyenye ya magharibi kua hana uwezo katika uongozi, na wala hatoshi kupewa dhamana hiyo muhimu sana nchini, ya kupeperusha bendera ya chadema kwa nafasi ya urais2025. :pulpTRAVOLTA:
Si bora tundu lissu mwenye uraia pacha kuliko SAMIA BUSHIRI MWENYE URAIA FEKI....TENA KALAANIWA KABISA
 
Mamayenu kibaraka wa warabu halafu nyie wajinga mnaofugwa kwenye makorido ya lumumba mnashangilia anapouza rasilimari zetu mtakuja kuamka kila kitu kilishaishia uarabuni🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛
inahusiana nini na hoja mahususi mezani gentleman au njaa kali asubuhi? :pulpTRAVOLTA:
 
Ilmu ya Alhad Salum inatosha sana [emoji1][emoji1]

Nakutakia Dominica Njema [emoji257]
Kinachombeba mbowe ni hizi sifa:-

SIFA ZAKE KUU NI:
1.Hekima
2.Busara
3.Uvumilivu
4.Sio mropokaji
5.Msikivu
6.Mtendaji
7.Mwalimu
8.Anayeunganisha
9.Muwezeshaji
10.Anayeibua Vipaji
11.Asiye na Visasi
 
Si bora tundu lissu mwenye 8raia pacha kuliko SAMIA B8DHORI MWENYE URAIA FEKI....TENA KALAANIWA KABISA
wawapi na wa chama gani huyo gentleman,

mbona hajatajwa kwenye hoja mahusus mezan? :pulpTRAVOLTA:
 
Ikungi alikozaliwa TAL wanatushangaa kusema ,achaguliwe,kuwa Mwenyekiti wa chadema Taifa!
Jimbo la ikungi,lilimshinda,Leo mnataka kumpa chama nchinnzima?
Una maana alishindwa kulitumikia jimbo lake ipasavyo?
Lakini sio peke yake,wapo wabunge wengi huonekana majimboni siku za uchaguzi wakija kuomba kura au ikiwepo ziara ya viongozi wakuu wa serikali.
Maneno kama chiriku bila vitendo na ubabaishaji.
Waogepe kama ukoma.
 
Back
Top Bottom