Namba 11 tuanze na Zitto Kabwe na Chacha πΌKinachombeba mbowe ni hizi sifa:-
SIFA ZAKE KUU NI:
1.Hekima
2.Busara
3.Uvumilivu
4.Sio mropokaji
5.Msikivu
6.Mtendaji
7.Mwalimu
8.Anayeunganisha
9.Muwezeshaji
10.Anayeibua Vipaji
11.Asiye na Visasi
Wewe unawashwawashwa na Uduvi πΌHuyu jamaa, huwa ANAWASHWA WASHWA SANA NA CHADEMA. Mpaka kufika saa 3 usiku, atakuwa ameshafungua nyuzi tano kuhusu hao jamaa!
Raia pacha wamekuwa hadi mawaziri wewe unasgangaa Sugu kuwa Mwenyekiti wa Kanda Chadema ππππSio kweli. Huwezi kuwa na Urais pacha na Vyombo vya Dola vikajua halafu ukawa Kiongozi wa Chama Cha Siasa nchini au kugombea Ubunge. HAIWEZEKANI na TUSIDANGANYANE. Labda kwa watoto wao ingawaje ishu itakuja watakapotaka kuingia kwenye siasa za Tanzania.
Walimteua kimakosa??Ni kweli Tundu Lisu ameshatia Nia lakini Kwa mujibu wa mjumbe wa CC Mh Yeriko Nyerere ni kwamba Tundu Lisu hana sifa za kuwa Rais wa JMT na hata 2020 walimteua kimakosa
Nimeona tuwekane sawa mapema Kwa sababu NEC ilitaka kumkata 2020 lakini Shujaa Magufuli akasema wamwache
Ahsanteni Sana
Leo ni Dominica ya Mwisho 2024πΉ
Kanisa Moja Takatifu La Mitumeπ
Kama ni kwa taarifa za JF sawa. Lakini kwa taarifa za Uhamiaji hakuna.Raia pacha wamekuwa hadi mawaziri wewe unasgangaa Sugu kuwa Mwenyekiti wa Kanda Chadema ππππ
Endelea kukaririKama ni kwa taarifa za JF sawa. Lakini kwa taarifa za Uhamiaji hakuna.
Lissu na JPM wanafaa sana kuiongoza Nchi hii hao wengine wote piga chiniMkuu hao watu Nikiri asilimiakubwa walikuwa sahihi isipokuwa kwa Magu, Magu despite his short backs was a President we needed.
Kwa AHM,JMK, na SSH.. they are right!
Marais Tuliowapata Bora
In that Order
- Julius Nyerere
- Ben Mkapa
- John Magufuli
Ahahahahaha! JF bwana! Kila mtu tajiri na anasafiri sana kuliko mwenzake! Ila Mimi huwa sisafiri Mkuu, but I know this world inside out! Ahahahahaha!!!!Endelea kukariri
Hao Wenyewe Uhamiaji wapo raia pacha wa kutosha tu ππ
Muwage mnasafiri muijue Dunia watu wanavyoishi katiba siyo msahafu
Kusafiri siyo utajiri ni kutafuta maarifa tuAhahahahaha! JF bwana! Kila mtu tajiri na anasafiri sana kuliko mwenzake! Ahahahahaha!!!!
Nakupinga Mkuu, Nyerere kwa vile tu ni Baba wa Taifa, ila hatukuwahi kuwa na Kiongozi aliyetulia na smart kama Benja!Lissu na JPM wanafaa sana kuiongoza Nchi hii hao wengine wote piga chini