Tundu Lissu: Hatutaki maridhiano ya nusu mkate, tunataka Katiba Mpya

Tundu Lissu: Hatutaki maridhiano ya nusu mkate, tunataka Katiba Mpya

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Tundu Lissu aibua SIRI nzito CCM na CHADEMA. atibua Maridhiano,"hatutaki kupewa nusu mkate, tusikubali kupewa viti vya Ubunge kwa hisani, Chadema tunaambiwa tutapewa majimbo halafu tunachekelea huu ujinga"


Chanzo: Jambo TV
 
Back
Top Bottom