Tundu Lissu: Hayati Magufuli hausiki kwenye mikataba ya ovyo kwa sababu alikuwa hapendi kabisa rasilimali za nchi kushikwa na Wageni

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas samesema Shujaa Hayati Magufuli hausiki Kwenye Mikataba ya ovyo kwa sababu alikuwa hapendi kabisa rasilimali za Nchi zishikwe na Wageni

Tundu Lissu anaongea na Waandishi wa Habari

Mungu ni Mwema wakati wote!
 
Muulize mgodi wa Kabanga walipewa watanzania kipindi chake?
 
Japokuwa sijamsikia TAL akisema hayo, lakini kuna ukweli wa wazi kuhusu hilo.
Aidha, Ni kweli pia kwamba JPM alikuwa na mabaya yake lakini kuhusu kuingia mikataba mibovu ya kuuza nchi kwa wageni si miongoni mwa mabaya yake.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
 
Nina hamu ya kusikia hiyo clip, hebu idondoshe mkuu!
 
Jamaa hata Muungano alikuwa hautaki , thus why aliamua kureinforce Dodoma , kuna Siri kubwa Sana March 17.. haya mambo ya kuuza rasilimali wakat huu ambao kila nchi inajitahd kukumbatia ilicho nacho ni hovyo Sana
 
Muulize mgodi wa Kabanga walipewa watanzania kipindi chake?

Swala siyo kupewa au kutopewa wageni, swala na kuibiwa na ndiyo Magufuli asingekubali Tanzania kuibiwa juzi kati mmejitokeza hapa kumsifia Samia kuhusu mkataba wa Katanga unafikiri ni brain work ya nani? Ya raisi Samia au? Sasa jiulize Mwarabu amepewa Bandari zote na haturuhusiwi hata kuendeleza nyinginezo vipi kuhusu Bandari yetu ya Tanga na bomba la mafuta ktk Uganda ? Hiyo ni akili kweli?
 
Subiri hapo hapo kama Una nguvu. Wakikuacha salama shukuru Mungu.
 
Siamini hadi nimsikilize
 

..bomba la mafuta Hoima-Tanga Waganda hawatalipia kodi mafuta yanayosafirishwa.

..huo ni mkataba mbovu alioingia Magufuli.
 
Dini Yao inawafanya wawaone waarabu kama miungu watu kwao kuwa karibu na mwarabu ni kuwa karibu na mungu hawa watu hovyo kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…