Tundu Lissu: Hayati Magufuli hausiki kwenye mikataba ya ovyo kwa sababu alikuwa hapendi kabisa rasilimali za nchi kushikwa na Wageni

Uzuri wa Lissu si Mnafiki. Alipopigwa risasi alimtaja hadharani Magufuli, na kuhusu mazuri yake si mara ya Kwanza anayasema.

..Magufuli alisaini mkataba kusamehe usd 191 billion na kukubali kishika uchumba cha usd 300 million.

..mkataba kati ya Magufuli na Barrick ulikuwa mbaya na kutukandamiza Watanganyika.
 
Nonsense...
 
Ukitoa mafisadi na watu waliowaajili mitandaoni wakati wa uhai wa mwamba.

Wengine walikuwa wanafuata mkumbo tu na kutokumuelewa.

Ukweli uchelewa kufika kwenye uongo, ni muda sasa ukweli wa Maguli kupewa sifa zake akiwa ameshatangulia.

Wanaanza kumuelewa sasa wale waliokuwa wakimtukana kwa kufuata mkumbo.
 
🪓🪓🪓
 
HILI wimbi la Bandari hili lina mengi!!

Naziona akili za Abdu jumbe ndani ya kichwa cha samiah!!

Hapa wamecheza kama pele!yaani sisi tumezoea kuonewa nanyinyi je mkionewa mtauvumilia muungano!!?

2001 mkapa alipotwanga watu kule mwembe chai tulivumilia!

Chaguzi zote tumevumilia!

Na vikosi vya kijeshi toka Bara vya Bara HADI leo vipo kule tulivumilia!

Je na sisi tukiuza Bandari KWA wageni watoto wenu wakakosa ajira na lango la pesa wakawa mafukara je mtauvumilia enyi watanganyika!!!?
 
Leo umeongea ukweli [emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581]
 
Hiyo ni kweli marais wote wakirito ni wasafi sanaaaaa hongera jipigie makofi
 
..Magufuli alisaini mkataba kusamehe usd 191 billion na kukubali kishika uchumba cha usd 300 million.

..mkataba kati ya Magufuli na Barrick ulikuwa mbaya na kutukandamiza Watanganyika.
Ati wewe ni mjinga wa kiwango gani?
 
Bila kujali Lisu amesema nini, ww ni mzuri kwenye kubadili mantiki ya kinachosemwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…