Tundu Lissu: Hayati Magufuli hausiki kwenye mikataba ya ovyo kwa sababu alikuwa hapendi kabisa rasilimali za nchi kushikwa na Wageni

Uislam= Uvivu
 
Maswali ya wananchi ni mepesi sana, wanataka kujua hizo neema atakazoleta mwarabu wazanzibari wao hawazihitaji?
 
Lissu kaweka mambo sawa, huyu ndie ajae
 
Siamini hadi nimsikilize
Ingia utube ameyasema hayo leo,,Mikataba ya hovyo Mwinyi,Mkapa na Samia na nimemsikia Kitima pia leo kumbe kuna wakati TEC walimuita Mkapa kuhusu kuibinafsisha shirika la ndege akaacha so kumbe hawa watu inatakiwa wakati mwingine huko wanakoabudu waambiwe ukweli
 
Uzuri wa Lissu si Mnafiki. Alipopigwa risasi alimtaja hadharani Magufuli, na kuhusu mazuri yake si mara ya Kwanza anayasema.
Hakika, huwa amung'unyi maneno.
 
..bomba la mafuta Hoima-Tanga Waganda hawatalipia kodi mafuta yanayosafirishwa.

..huo ni mkataba mbovu alioingia Magufuli.
Guys tuna dollar 12 Kwa pipa kama benefit..
 
Duh!!..
 
Haya mabaya mabaya mnaolazimisha kumtajia Magufuli ni mabaya gani ya kinafiki tuwekeeni ushahidi pasipo shaka
 
Ngoja vyeti feki na walamba asali waje hawataki kusikia jina la Magufuli
 
Magufuli ni jiwe kuu la pembeni lililokataliwa na waashi,kila ulimi wa Mtanganyika utakiri kuwa Magufuli ndiye alikuwa mkombozi wa taifa hili.Kama Lissu amekiri Mimi ninani nimpinge Magufuli!,Rip Magufuli tutakukumbuka daima.
 

Huwa nasema Lissu sio mwanasiasa mzuri kwasababu yeye kwake nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…