Tundu Lissu: Hayati Magufuli hausiki kwenye mikataba ya ovyo kwa sababu alikuwa hapendi kabisa rasilimali za nchi kushikwa na Wageni

Lissu anataka kusema JPM alikuwa genius lkn anaogopa
Usimlishe maneno TAL kuhusu JPM juu ya uuzwaji wa bandari.
Ni ukweli ulio wazi kwamba TAL na JPM walikuwa haziivi kabisa, lakini hata siku moja sijawahi kumsikia TAL akimtuhumu JPM kwamba amehusika katika kuihujumu nchi kwa kuiuza kwa wageni (watu ambao siyo raia wa nchi hii), huu ni ukweli mchungu licha ya kwamba JPM anashutumiwa na watu wengi kwa mabaya aliyotenda wakati wa uhai wake.
Mabaya ambayo JPM anashutumiwa nayo hayahusiani kabisa na suala la kuuza nchi kwa wageni kutoka nje ya nchi (ambao yeye mwenyewe JPM alikuwa anapenda kuwaita kwa jina la "Mabeberu"). Ni ukweli ulio wazi kwamba JPM alikuwa na mabaya yake, lakini siyo katika kuuza nchi kwa wageni.
 
Dini Yao inawafanya wawaone waarabu kama miungu watu kwao kuwa karibu na mwarabu ni kuwa karibu na mungu hawa watu hovyo kabisa
Hii ndio siri iliyojificha kwa wapinga huu mkataba wa bandari....swala wala sio uzalendo hapa....suala kwann wamepewa Waarabu.....Ile kampuni yenu ya ubia ya Twiga mining ya ubia Iko wapi siku hizi....hamsemi hapo...
 
Hayo ya kwako we mzushi usimlishe maneno TLA
 
Lisu mara nyingi NI msema kweli. Hamung'unyi maneno.
Hata ukiwa Mbaya wake Lisu haoni shida kukusifia ikiwa ni kweli
 
Nimemsikia kasema kwenye suala la Rasilimali za nchi kuziuza kwa wageni JPM alikua mzalendo kweli kweli hakutaka kabisa huo ujingaa -TAL
 
Tundulisuu aache unafikiiii asikere watanzaniaaaa. Wakati hayati anapambania Mali za nchi huyo lisu wenu alionesha ushirikiano upiiiii
 
Jamaa hata Muungano alikuwa hautaki , thus why aliamua kureinforce Dodoma , kuna Siri kubwa Sana March 17.. haya mambo ya kuuza rasilimali wakat huu ambao kila nchi inajitahd kukumbatia ilicho nacho ni hovyo Sana
hiyo siri kubwa ya march 17 hakuna asiyejua,juzi nimeulizwa swali gumu sana na mtoto wa miaka 8 kuhusu kilichotokea march 17 akidai amesikia shuleni sasa akataka kujua kama ni kweli nikamwambia inasemekana hivyo AKALIA SANA tena kwa uchungu mkubwa nilistaajabu nikamtia moyo kwamba aache kulia Mungu atajibu kwa wakati wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…