Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Kwa hiyo nahodha mpya ni yeye!Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu amesema kwa sasa chama chao kimepoteza Imani kwa Wananchi
Lissu amesema ili Chadema iaminike ppendwe na kuthaminiwa tena na Wananchi ni Lazima ipate Nahodha mpya
Mlale Unono 😄
Mbowe ndiye kafanya Chama kisiaminike. Hivyo akipewa uwenyekiti anaenda kuzika mazima ile imani ndogo iliyopotea. Amekosea sana kuamua kugombea!Basi waende huko inakoaminika.
Unakuwaje kiongozi kwa miaka 5 wakati unaona chama hakiaminiki. Si ujiondoe tu utunze heshima yako!
Kuna mambo sio mpaka uulize mwamgalie mtu alivyo na anavyosimamia sheria katika majukumu yake. One man show n mtu asiye jali mawazo au maono ya wenzake na haih3shimu sheria bali huamini katika utashi wake pekee. Sasa sidhani kama hulijui hilo.Umemuonea wapi kuwa sio one man show?
Kwanini akijafa mpaka sasa.Mbowe ndiye kafanya Chama kisiaminike. Hivyo akipewa uwenyekiti anaenda kuzika mazima ile imani ndogo iliyopotea. Amekosea sana kuamua kugombea!
Ukisikiliza hotuba za Lisu tangu aoneshe nia ya kugombea uenyekiti umegundua nini ukizingatia hii comment yako?Kuna mambo sio mpaka uulize mwamgalie mtu alivyo na anavyosimamia sheria katika majukumu yake. One man show n mtu asiye jali mawazo au maono ya wenzake na haih3shimu sheria bali huamini katika utashi wake pekee. Sasa sidhani kama hulijui hilo.
Mkuu chukua maua yako💐💐💐💐 😂 huyo akikujibu naomba unitag.Mugabe alikuwa Kiongozi wa Chama pia 😂
Aende akaiokoe NCCRMakamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu amesema kwa sasa chama chao kimepoteza Imani kwa Wananchi
Lissu amesema ili Chadema iaminike ppendwe na kuthaminiwa tena na Wananchi ni Lazima ipate Nahodha mpya
Mlale Unono 😄
Na ingelikuwa hivyo waimbaji wa rap za kufokafoka Marekani ndio wangelikuwa Marais wao!Wameahikwa akili hao. Yani wao wanaamini kiongozi mzuri ni yule anayefokafoka.
Tafadhali sana ndugu tamsana ,naomba uweke video ikionyesha Lissu akichukua form ya kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti, maana kumekuwa na uongo na upotoshaji wa hali ya juu kuhusu huu uchaguzi wa CHADEMA.Angejiuzulu nafasi ya makamu mapema ningeelewa hii hoja yake. Pia asingekuwa amechukua form ya kugombea nafasi ya makamu ningeelewa zaidi hii hoja yake.
Kilichobaki sasa ni kuwaaminisha wafuasi wake kuwa yeye anauwezo mkubwa kuliko wengine. Na akifanikiwa kuwa kiongozi kwenye hicho chama chao atapoa kama ilivyokuwa kwa kiongozi wa TLS.
Mara nyingi ukiwa nje ya ulingo unaona vizuri sana ila ukishaingia kwenye mfumo utaona tofauti na unavyoona ukiwa nje.
U one man show kwa lissu upo wapi..? Mbona ww mtu wa team mbowe unataka kupindisha manenoUkisikiliza hotuba za Lisu tangu aoneshe nia ya kugombea uenyekiti umegundua nini ukizingatia hii comment yako?
Lissu Yuko sawa Sana, mbowe atoke kwa heshma, miaka 20+ imetosha, mabadiliko ni muhimu Sana kwa chama Ili kipate fikra mpya...
Mimi wala sina team, hata similiki kadi ya chama chochote. Nawaangalia tu wanaharakati mnavyosukuma agenda zenu kupitia chaguzi za chadema.U one man show kwa lissu upo wapi..? Mbona ww mtu wa team mbowe unataka kupindisha maneno
Nenda YouTube utapata hotuba husika. Wakati anachukua na kuridisha, utaona kila kituTafadhali sana ndugu tamsana ,naomba uweke video ikionyesha Lissu akichukua form ya kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti, maana kumekuwa na uongo na upotoshaji wa hali ya juu kuhusu huu uchaguzi wa CHADEMA.
Sawa si utulie sasa. Unawezaje kushabilia kitu usicho kihitaji acha uongoMimi wala sina team, hata similiki kadi ya chama chochote. Nawaangalia tu wanaharakati mnavyosukuma agenda zenu kupitia chaguzi za chadema.
Hata sihitaji kukuhakikishia juu ya hilo. Nikuache unavyoamini iwe hivyo.Sawa si utulie sasa. Unawezaje kushabilia kitu usicho kihitaji acha uongo
Nenda YouTube utapata hotuba husika. Wakati anachukua na kuridisha, utaona kila kitu
Hakili ndio niniKasikilize hotuba yake ya awali wakati anachukua form. Tatizo mmeshikwa hakili ndio maana mnaburuzwa tu bila reasoning