JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema mfumuko wa bei unaoendelea Nchini kwa bei ya vitu vingi kupanda ni wa Rais na kama akitaka upungue lazima apunguze kodi.
Amesema “Ukipunguza kodi bidhaa zitapungua bei, ila sijasema ifutwe bali ipunguzwe, kwani ni lazima Serikali inununue VX (magari) ya Ths. Bilioni 560 ambayo uamenunuliwa kwa mwaka moja!”
Kuhusu wajibu wa Bunge katika kuisaidia Serikali katika hali kama hiyo, Lissu amesema “Bunge letu ni Bunge la Ikulu tangu Mwaka 1926 lilipoanzishwa.”
Chanzo: Mahojiano ya Jambo TV
Amesema “Ukipunguza kodi bidhaa zitapungua bei, ila sijasema ifutwe bali ipunguzwe, kwani ni lazima Serikali inununue VX (magari) ya Ths. Bilioni 560 ambayo uamenunuliwa kwa mwaka moja!”
Kuhusu wajibu wa Bunge katika kuisaidia Serikali katika hali kama hiyo, Lissu amesema “Bunge letu ni Bunge la Ikulu tangu Mwaka 1926 lilipoanzishwa.”
Chanzo: Mahojiano ya Jambo TV