Ana point, ni bunge la chawa wa kutumikia ikulu na sio wananchi, ndio maana hata mwendazake aliwazimia live TV na ingekuwa wanajitambua asingethubutu , na kuna ulazima gani wa nchi maskini kama Tanzania kutumia bilioni 600 kununua magari ya serikali, Mwigule atoke hajuia anafanya nini, anaua uchumi kwa kuongeza matozo na mikodi inayoua biashara za watu na kufanya nchi maskini zaidi, tunahitaji katiba mpya na bunge lenye nguvu ya kumwajibisha Raisi na maofisa wa serikali wanaokwenda kinyume na sheria/katiba