komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Wewe simama na Kagame inatosha, tuachie Tanganyika yetu tuhangaike nayoHii Strategy ya kubeba mitutu sio mimi naunga mkono Maandamano yasiyo na kikomo kuliko kuliingiza Taifa langu nilipendalo kwenye Civil War na kama lengo ni kuliingiza Taifa kwenye civil war basi nitaachana na Vyama nitasimama na Taifa.
Kila kitu kabla hujakianza huonekana ni kigumu but mda ukifika kila kitu hua chepesi tu.Watanzania hawa hawa ambao wakisikia tairi ya gari imepasuka wanajificha uvunguni, watathubutu kuingia front ? Pili. Tanzania kila pori linajulikana, watasakwa kote kote. Kwangu hiyo ni ngumu kutokea. Ni ndani ya jeshi tu hili likitokea nchi itapona. Bahati majeshi yote yamevaa rangi za Yanga.
Pressure za maandamano ya AMANI Nchi nzima kukaa kwenye viwanja vya Bunge Pressure kama hizo za Kidemokrasia lakini sio kuichoma Nchi hilo mimi siafikiani nalo.Mkuu simama na taifa, ila sisi wengine tumechoka kutawaliwa kwa shuruti na ccm, na hawako tayari kwa mabadiliko.
sawa sawa.!Basi utapata mume
Masafi yamekupa nn mpaka saivi au kwakua ww na familia yako mnakula mema ya inchi?Hii kauli itakuwa ni mwanzo na chanzo kikuu Cha machafuko hapa nchini
Unafanya maandamano wenzako wanaagiza vyombo vya dola kuja na bunduki. Hapo utaandamani vipi wakati ww huna silaha?Pressure za maandamano ya AMANI Nchi nzima kukaa kwenye viwanja vya Bunge Pressure kama hizo za Kidemokrasia lakini sio kuichoma Nchi hilo mimi siafikiani nalo.
Wewe ndiye unaweza kuwa Adui wa Nchi hii kwasababu kujiunga na JF hauhitaji Passport na sio lazima uwe Tanzania.Wewe simama na Kagame inatosha, tuachie Tanganyika yetu tuhangaike nayo
Mbona GenZ Kenya wameweza pamoja na Dola kuingiza Majeshi Barabarani? Kuchukua Mitutu na kuingia Porini hiyo ni Bad Idea.Unafanya maandamano wenzako wanaagiza vyombo vya dola kuja na bunduki. Hapo utaandamani vipi wakati ww huna silaha?
Ni kipi tunawashinda Kenya kuanzia, uchumi, afya, biashara, elimu nk?Mbona GenZ Kenya wameweza pamoja na Dola kuingiza Majeshi Barabarani? Kuchukua Mitutu na kuingia Porini hiyo ni Bad Idea.
Huyo lofa anatafuta lawamaMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu akizungumzia harakati za 'No Reform No Election' amedai kuwa "Ilituweze kushinda uchaguzi lazima tuwe na bunduki kama wao. Ikulu ndio inaamua wizi wa kura"
"Watu wetu wa leo ni welevu kuliko miaka 10 iliyopita, mwaka jana muliweka wagombea wa nafasi zote zinazogombaniwa hapa Kibamba na sehemu kubwa walienguliwa, mkatumia nguvu kubwa kuwarudisha, wakarudishwa baadhi alafu siku ya tarehe 27 mkashughulikiwa vizuri zaidi, matokeo yakatangazwa kwa mitutu ya bunduki ndio maana hamna Mwenyekiti wa mtaa hata mmoja, sio kwasababu mmekuwa wajinga kuliko mlivyokuwa miaka 10 iliyopita ni kwasababu sasa hivi ilitushinde uchaguzi inabidi tuwe na bunduki kama wao"
Lissu ameendelea kwa kusema: "Katika mazingira ya uchaguzi wa sasa ili tushinde uchaguzi inabidi tuwe na bunduki kama wao, ili wasiweze kutumia bunduki zao kuingia vituoni kwa nguvu na kuchukua masanduku ya kura kwa nguvu,"
Lissu amehoji: "kama na sisi tukiwa na bunduki hiyo nchi itakuwaje?, patakua na pakukaa hapo?, ndivyo wanavyotaka?
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Unazifanyaje reforns kama anayepaswa kufanya mchakato amegoma?Hakuna haja ya kufikia huko, Tanzania ni muhimu kuliko Vyama, tunachohitaji ni Reforms kwenye mfumo wetu wa Uchaguzi na KATIBA BORA MPYA.
Mbona GenZ Kenya wameweza bila kubeba Mitutu?!Unazifanyaje reforns kama anayepaswa kufanya mchakato amegoma?
Wakati mwingine tujifunze kuukubari ukweli hata kama tuko dhaifu na hatujiamini kinguvu
Naunga hojaNdiyo mazuri, akili ziamke
Njia iliyotumika uliiona?Mbona GenZ Kenya wameweza bila kubeba Mitutu?!
Matakwa ya GenZ Kenya yote yalikubaliwa na Serikali ya Rutto uzuri walikuwa na numbers walitumia haki yao ya Kikatiba kufanya maandamano na kudai HAKI zao sisi Katiba yetu pia inaruhusu maandamano kwanini tusidai HAKI zetu kwa kutumia njia hizo halali za Kikatiba kuliko kukimbilia Mitutu.Ni kipi tunawashinda Kenya kuanzia, uchumi, afya, biashara, elimu nk?
M23 hio ipo njiani ngoja tuonekama na sisi tukiwa na bunduki hiyo nchi itakuwaje?, patakua na pakukaa hapo?, ndivyo wanavyotaka?
Maandamano haya ambayo watu wanauwawa ni ya amani? Kama ni maandamano ya amani yaheshimiwe, silaha zikianza kutumika na wapinzani nao wapate silaha ili tuheshimiane.Matakwa ya GenZ Kenya yote yalikubaliwa na Serikali ya Rutto uzuri walikuwa na numbers walitumia haki yao ya Kikatiba kufanya maandamano na kudai HAKI zao sisi Katiba yetu pia inaruhusu maandamano kwanini tusidai HAKI zetu kwa kutumia njia hizo halali za Kikatiba kuliko kukimbilia Mitutu.