Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
... twende tukarogoteleze banaedondoshaga baFARDC kule kuKONGO!
š¤£
š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua mwaka huo jimboni kwa Lissu ilibidi Wananchi watake kuchoma Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ndipo Lissu alitangazwa kuwa Mbunge?Mbona mwaka 2015 -20 walikuwa na wabunge wengi na madiwani wengi, ni Reforms gani zilifanywa?
Hajasema hivyo acha kumlisha maneno Mwenyekiti wangu rudia tena kusikiliza hiyo clip.Wewe unapingana na mwenyekiti kama nani? Mwenyekiti kasema chadema lazima wanunue bunduki zitakazotumika kwenye kushinikiza uchaguzi usifanyike!
Tuliwaambia huyu ni kichaa mkabisha; sasa yako wapi? Anajidhihirisha mwenyewe mchana kweupe!
Jiandae kisaikolojia bwashee!
iliye mezani, penye unono kumnyang'anya mlo lazimaHakuna haja ya kufikia huko, Tanzania ni muhimu kuliko Vyama, tunachohitaji ni Reforms kwenye mfumo wetu wa Uchaguzi na KATIBA BORA MPYA.
Anamaanisha kijani ishushe mapanga tufanye uchaguzi wa HAKI, la sivyo...Kwaiyo,
Anamaanisha vijana waanze kuingia msituni Kama M23 kuyasaka mabadiliko? š¤
Utajua hujuiWanaotakiwa kushika bunduki ndio hawa wa jf na Twitter au Kuna wengine? šš
machafukn yatoke wapi wakati huo ndio ukweli? Maana yake uchaguzi uwe huru na haki, wizi wa kura haukubalikiHii kauli itakuwa ni mwanzo na chanzo kikuu Cha machafuko hapa nchini
Anamaanisha kijani ishushe mapanga tufanye uchaguzi wa HAKI, la sivyo...
Hakuna haja ya kuachiana mlo wala nini watuachie sisi Wananchi tumchague Kiongozi tumtakae.Al
iliye mezani, penye unono kumnyang'anya mlo lazima
uwe mbabe. Atakayekuachia kirafiki mlo labda ameweka sumu. Amka.
Swali lako ni la kijinga kuliko ujinga wenyeweMbona mwaka 2015 -20 walikuwa na wabunge wengi na madiwani wengi, ni Reforms gani zilifanywa?
Huwajui wanasiasa!!Hii ndio mashine sasa, sio yule mlamba asali
Akili za kuelewa hoja ya Lissu unayo? Tuanzie hapoEeeh , juzi alisema yuko tayari kufa leo zinahitajika Bunduki, karudia mbali mbili kuonesha hajateleza. Sawa Mzee
Ndiyo hatuachii sasa, nani anapenda njaa brooHakuna haja ya kuachiana mlo wala nini watuachie sisi Wananchi tumchague Kiongozi tumtakae.
Anaikumbusha kijani kuacha kujishikamanisha na Dola ilhali ni chama Cha siasa kama tu ChaumaKwaiyo anaitishia serikali!
Mkuu kuna watu tupo CCM na tunakula vizuri sana lakini bado tunaipa Chadema pesa wakiwa na huitaji kwasababu tunataka balance of power hapa nchini.Hoja nzur,
Tatizo unazuia vipi uchaguzi?
Watu wana ndoto zao..., suo kujiunga na chama tu ili kupiga makofi..
Lakini zaidi , Huo ukata wa fedha anaouona hapo chama kisipo shiriki uchaguzi kitageuka chama fukara na watahongwa mwanzo mwisho na ndio end of the good days ya CDM .
Shida TL ukimpa hela kesho anakuita mla rushwa ...Mkuu kuna watu tupo CCM na tunakula vizuri sana lakini bado tunaipa Chadema pesa wakiwa na huitaji kwasababu tunataka balance of power hapa nchini.