Mbona mwaka 2015 -20 walikuwa na wabunge wengi na madiwani wengi, ni Reforms gani zilifanywa?
..matokeo ya uchaguzi wa 2015 yaliwatisha CCM na kupelekea kuongeza matumizi ya DOLA ktk kuwashughulikia wapinzani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mwaka 2015 -20 walikuwa na wabunge wengi na madiwani wengi, ni Reforms gani zilifanywa?
Lissu ajaribu kubeba bunduki ndio atajua nchi hii inawatu wenye akili fyatu. Hivyo vyuma alivyofungwa mpaka sehemu nyeti vitang'olewa akiwa hai
We ni kilaza huwezi kuwa na uelewa kuliko mimiUna akili ndogo sana, omba utafasiriwe. Huwezi kuelewa hoja za Lissu kwa hicho kichwa
Ujinga na HOFUNi kipi tunawashinda Kenya kuanzia, uchumi, afya, biashara, elimu nk?
Tundu amechanganyikiwa tu. Uongozi ni karama wala siyo kukariri vifungu vya sheria...TL anasema CCM mnatumia bunduki, na Chadema hawataki bunduki ktk siasa.
Balance of Power huwezi kuipata kama katika kundi kiongozi mmojawapo akiwa mlafi na dikteta.Shida TL ukimpa hela kesho anakuita mla rushwa ...
Balance of power itatokea tu, CDM iwepo au isiwepo...
Tundu amechanganyikiwa tu. Uongozi ni karama wala siyo kukariri vifungu vya sheria.
View attachment 3245951
Maandamano ya Amani atakupa nani ruhusa hiyo ikiwa wenye bunduki ndio watoa ruhusa. Dhamira ya maandamano ikiwa kinyume na kumsifia malikia huwezi pewa kibali kamwe.Pressure za maandamano ya AMANI Nchi nzima kukaa kwenye viwanja vya Bunge Pressure kama hizo za Kidemokrasia lakini sio kuichoma Nchi hilo mimi siafikiani nalo.
Nani alitoa kibali cha hayo maandamano?🤣 Mbona mi sijawahi kuyaonaMbona tuliisha andamana maandamano ya AMANI Nchi nzima nani alimwaga Damu lakini tukianza wizi na uporaji kuchoma moto wa Mali za watu tutapigwa risasi.
Ukisema unaandamana halafu wengine wanapora wanachoma moto mali za watu tutapigwa risasi.
Kushindwa kuna madhara makubwa sana kwa maslahi ya Chama tawala ndio maana hawawezi kubali washindwe.Tanzania tujitathmini - taifa halipaswi kuingia huko.
* Kila chama kikubali kuingia ktk chaguzi kwa kunadi sera zake - kikishindwa kukubalika kitulie;
* Ni ushamba wa hali ya juu kuwa na migogoro itokanayo na chaguzi - ukishindwa hufi,
* Serikali iangalie mara kadhaa ili kulinusuru taifa lisiingie ktk machafuko
Mzee wa KUROPOKA kwenye ubora wake, hapa CHADEMA mtakumbuka Freeman Mbowe. Mumeingia choo cha mashoga, hamtoboi
Sikuizi jina lake alitamkwi "mzee" bali MAREHEMU WASIRAKama namuona Mzee Wasira huko aliko anaamshwa usingizini halafu anawekewa hiyo clip halafu utamsikia Uhaini huu...!!!!😆😆😁
Hakuna dawa ya moto Tanzania hii lete moto upewe moto utatulia tuli ,tatizo la Tanzania watu wa vyombo vya usalama ni makada waaminifu wanalamba teuzi za ukuu wa mkoa na wilaya kuthibitisha hili ,Nyerere alikuwa genius kutengeneza CCM moja chama Cha kipekee duniani.Dawa ya moto ni moto, huku ndio wanakokutaka wenyewe, Polisi na vyombo vya dola warudi kwenye majukumu yao ya halali, uchaguzi waachie vyama vya siasa
Jibu ni ndiyo kwa sababu hata wao hutumia bunduki kulazimisha kilicho haramu na kisicho takiwa na raiaDuuuuh kwahiyo Hizo bunduki zitatumika kumuua Nani?
Wana uhakika hazitaua watoto, wanawake au watu wasio kuwa na muda wa kujua au kujali ni nani yupo madarakani?
Kwahiyo wanamaanisha kila raia asieridhika na sheria au kanuni fulani ya nchi ashike bunduki?
Kama haya ndio mawazo ya kuzuia uchaguzi mwaka huu. Wahusika warudi wakakae tena waje na mbinu nyingine.
Amani ya nchi ni bora zaidi sana kuliko matamanio ya wanasiasa kutaka madaraka ya nchi.