Uchaguzi 2020 Tundu Lissu is not Presidential Material

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu is not Presidential Material

Ndio tunauliza je magufuli anauwezo wa kuongoza tuwe realistic is he a presidential material?

Kma lisu hawezi je umetumia vigezo gani kumpima ilihali hajawahi kuwa Rais wa nchi???

Je unaweza nitajia vigezo vya presidential material??
Kwa miaka yake yote ya umaarufu TL hajawahi kushughulika na kitu kingine zaidi ya kutetea watu mahakamani.

JPM kabla ya kuwa rais alikuwa waziri katika wizara kadhaa, anaijua nchi hii kinyumenyume, anazijua hulka za kiuongozi za kitanzania, Lissu ni mtaalam wa sheria pekee, huko kwingineko anababiababia tu.

Lissu ni mjenzi wa hoja kwa sababu ya uanasheria wake, lakini hana maarifa mengine ya sekta nyingine, JPM anayo maarifa mengi na ni mtu anayetaka kazi ziende na sio kupiga porojo.

TL anafaa huko huko kwenye uongozi wa TLS, hana background ya kiuongozi kwa maana ya kutokuwa na maisha mengine zaidi ya kuvaa majoho ya wanasheria.
 
Hayo yasema ww. Magu ni bora raisi kichwan hakuna kitu hapo. Mpaka sasa ameshapoteza watu ili kulinda uongozi wake na chama chake. Lissu ni kichwa kingine aiseee. Mpaka kijani kutaka kumuua unafikiri ni jambo la mchezo?
Mkuu hata wendawazimu wakijichanganya huwa wanataka kuuliwa. Lissu ni bora wenye masuala ya kisheria, hana sifa ya kuwa rais wa nchi.

Lissu hajajaribiwa kwenye masuala mengine ukiondoa ya kisheria. Magu keshapitia wizara kadhaa huwezi ukamlinganisha na Lissu.
 
Kwa miaka yake yote ya umaarufu TL hajawahi kushughulika na kitu kingine zaidi ya kutetea watu mahakamani.

JPM kabla ya kuwa rais alikuwa waziri katika wizara kadhaa, anaijua nchi hii kinyumenyume, anazijua hulka za kiuongozi za kitanzania, Lissu ni mtaalam wa sheria pekee, huko kwingineko anababiababia tu.

Lissu ni mjenzi wa hoja kwa sababu ya uanasheria wake, lakini hana maarifa mengine ya sekta nyingine, JPM anayo maarifa mengi na ni mtu anayetaka kazi ziende na sio kupiga porojo.

TL anafaa huko huko kwenye uongozi wa TLS, hana background ya kiuongozi kwa maana ya kutokuwa na maisha mengine zaidi ya kuvaa majoho ya wanasheria.
Acha kujitoa ufahamu wewe unafkiri lisu angekuwa CCM asingekuwa waziri by now?? Embu tuacheni masihara kisa ushabiki wa kivyama

Magufuli ni ccm ndio maana anafursa ya kuupata uongozi wa kitaifa ila angekuwa opposition asingewahi pata platform ya kuwa kiongozi wa kitaifa sasa utawalinganisha vp kwa minajili hyo

Lisu sehemu pekee walioshare jukwaa na magufuli ni bunge..... Je ukiwa mkweli tu nani aliyekuwa anatoa hoja nzito CCM zenye maslahi ya taifa kumzidi lisu hasa kwenye miswada ya kisheria na taratibu zingine za kibunge ikiwemo bajeti, ripoti za kamati mbalimbali

Huyo magufuli alipitisha muswada wa kifisadi wa gesi pia ile ya madini ila lisu aliipinga kwa hoja nzito hadi akatimuliwa bungeni afu leo ndio mnamuona hana lolote eti magufuli anamzidi???

NB: jifunzeni kuweka akiba ya maneno.... Huwa mnasema wapinzani hawajakomaa kuongoza nchi nachoshangaa wakihamia chama chenu mnawapa post hapo hapo!!! Mtulia na mollel leo hii wanakua wabunge wa ccm ilihali wiki chache zilizopita magufuli alisema waliobaki upinzani ambao hajawateua eti ni VIL.AZA ssa kivp mnawapa vila.za ubunge wa CCM??

Ahsante
 
Mkuu hata wendawazimu wakijichanganya huwa wanataka kuuliwa. Lissu ni bora wenye masuala ya kisheria, hana sifa ya kuwa rais wa nchi.

Lissu hajajaribiwa kwenye masuala mengine ukiondoa ya kisheria. Magu keshapitia wizara kadhaa huwezi ukamlinganisha na Lissu.
Ok kipi ambacho magufuli kafanya ambacho lisu hawezi kukifanya??
 
Mkuu hata wendawazimu wakijichanganya huwa wanataka kuuliwa. Lissu ni bora wenye masuala ya kisheria, hana sifa ya kuwa rais wa nchi.

Lissu hajajaribiwa kwenye masuala mengine ukiondoa ya kisheria. Magu keshapitia wizara kadhaa huwezi ukamlinganisha na Lissu.
Kupitia kwenye wizara haimaniishi ww ni kiongozi bora. Mbona anavuruga km kapitia kweny wizara?
Huwezi kumlinganisha Lissu na magu. Magu hana kitu, kichwa cheupe japo amepitia wizara tofauti lkn ni 0.
*Kafuta ajira, kwa mtu mweny akili timamu anaweza kufuta ajira?
*Kiingereza chenye cha kuunga unga, anaweza kusimama kuongea kweny mkutano wa AU kwa kiingereza kwa masaa 2?
*Hajui kujenga hoja na kutetea hoja, yaan yy lolote litakalokuja mdomoni anaropoka tu
*Meli ya wachina, sasa hivi anadaiwa pesa, amelitia hasara taifa
*Wale jamaa walioshikiria bombandier, mpaka sasa sidhani km wamelipwa na hii yote ni kwasbb ya ujinga kufikiri ukiwa raisi una nguvu sana kuliko sheria.
*Kauza nyumba za serikali
*Zile tilioni za acacia alizokuwa anajidai anawadai ameshalipwa? Ujinga tu unamsumbua
* Kivuko kibovu kanunua
*Elimu bure ishamshinda
Sasa hivi mpaka anapiga watu risasi ili awanyamazishe.
Lissu ni kifaa kingine huwezi kumlinganisha na takataka ile. Katiba kaiweka mfukoni, anaongoza kwa mawazo yake. Uje mlinganishe na Lissu. Hatari sana
 
Acha kujitoa ufahamu wewe unafkiri lisu angekuwa CCM asingekuwa waziri by now?? Embu tuacheni masihara kisa ushabiki wa kivyama

Magufuli ni ccm ndio maana anafursa ya kuupata uongozi wa kitaifa ila angekuwa opposition asingewahi pata platform ya kuwa kiongozi wa kitaifa sasa utawalinganisha vp kwa minajili hyo

Lisu sehemu pekee walioshare jukwaa na magufuli ni bunge..... Je ukiwa mkweli tu nani aliyekuwa anatoa hoja nzito CCM zenye maslahi ya taifa kumzidi lisu hasa kwenye miswada ya kisheria na taratibu zingine za kibunge ikiwemo bajeti, ripoti za kamati mbalimbali

Huyo magufuli alipitisha muswada wa kifisadi wa gesi pia ile ya madini ila lisu aliipinga kwa hoja nzito hadi akatimuliwa bungeni afu leo ndio mnamuona hana lolote eti magufuli anamzidi???

NB: jifunzeni kuweka akiba ya maneno.... Huwa mnasema wapinzani hawajakomaa kuongoza nchi nachoshangaa wakihamia chama chenu mnawapa post hapo hapo!!! Mtulia na mollel leo hii wanakua wabunge wa ccm ilihali wiki chache zilizopita magufuli alisema waliobaki upinzani ambao hajawateua eti ni VIL.AZA ssa kivp mnawapa vila.za ubunge wa CCM??

Ahsante
Mkuu, ukweli ni moja tu, Lissu amebobea kwenye sheria tu, hana uzoefu wa sekta nyingineo zaidi ya kuwa fundi ya kauli za kubeza na kukejeli.

Lissu ndio aliyemponda Mwalimu Nyerere na legacy yake tena ndani ya bunge, hana hekima na busara za kuwa rais.

Sio JPM ni malaika, anao udhaifu wake lakini ni mtu mfuatiliaji wa mambo, asiyeyumbishwa kirahisi tu.

JPM huwezi mlinganisha na Lissu, anaweza kuwa waziri kweli lakini hana haiba ya urais, mropokaji mwenye uwezo wa kuitenganisha jamii badala ya kuiunganisha.
 
Ok kipi ambacho magufuli kafanya ambacho lisu hawezi kukifanya??
Kushughulikia suala la ACACIA mpaka matajiri wakaja wakakaa hapa dar kwa zaidi ya mwezi mzima.

Lissu alitaka jamii iwaogope MIGA, akasahau kuwa nchi ni zaidi ya taasisi za kimataifa. Lissu aliingia kwenye uoga dhidi ya matakwa ya wazungu akasahau ukubwa wa maamuzi ya rais wa nchi, hawezi kuwa rais kwa sababu ni rahisi kwake kuchukua upande fulani kutokana na misukumo ya kiuchumi au kisiasa.

Lissu pamoja na kiburi chake cha uanasheria, ndani ya nafsi yake ni muoga, Magufuli pamoja na hasira zake na maamuzi yasiyotabirika, ni mtu jasiri anayemvaa adui uso kwa uso.
 
Kupitia kwenye wizara haimaniishi ww ni kiongozi bora. Mbona anavuruga km kapitia kweny wizara?
Huwezi kumlinganisha Lissu na magu. Magu hana kitu, kichwa cheupe japo amepitia wizara tofauti lkn ni 0.
*Kafuta ajira, kwa mtu mweny akili timamu anaweza kufuta ajira?
*Kiingereza chenye cha kuunga unga, anaweza kusimama kuongea kweny mkutano wa AU kwa kiingereza kwa masaa 2?
*Hajui kujenga hoja na kutetea hoja, yaan yy lolote litakalokuja mdomoni anaropoka tu
*Meli ya wachina, sasa hivi anadaiwa pesa, amelitia hasara taifa
*Wale jamaa walioshikiria bombandier, mpaka sasa sidhani km wamelipwa na hii yote ni kwasbb ya ujinga kufikiri ukiwa raisi una nguvu sana kuliko sheria.
*Kauza nyumba za serikali
*Zile tilioni za acacia alizokuwa anajidai anawadai ameshalipwa? Ujinga tu unamsumbua
* Kivuko kibovu kanunua
*Elimu bure ishamshinda
Sasa hivi mpaka anapiga watu risasi ili awanyamazishe.
Lissu ni kifaa kingine huwezi kumlinganisha na takataka ile. Katiba kaiweka mfukoni, anaongoza kwa mawazo yake. Uje mlinganishe na Lissu. Hatari sana
Umeorodhesha mambo meeengi, ikiwa ni ishara ya kutokwa povu.

JPM ni bingwa linapokuja suala la maamuzi magumu. Humpelekeshi kijingajinga halafu abakie anakutazama tu.

Waliambiwa andamaneni mkione cha mtema kuni, mpaka kesho hawajaandamana.

Lissu zaidi ya sheria hana uwezo wa kutafuta suluhisho kwenye masuala mengine ya kijamii.

Mkuu kuongoza nchi zetu za kiafrika sio kazi ndogo, ugumu unaanzia kwenye jamii ya wasomi, inachangia katika kuleta tafsiri hasi kwa kile kinachokuwa kikifanyika.
 
Umeorodhesha mambo meeengi, ikiwa ni ishara ya kutokwa povu.

JPM ni bingwa linapokuja suala la maamuzi magumu. Humpelekeshi kijingajinga halafu abakie anakutazama tu.

Waliambiwa andamaneni mkione cha mtema kuni, mpaka kesho hawajaandamana.

Lissu zaidi ya sheria hana uwezo wa kutafuta suluhisho kwenye masuala mengine ya kijamii.

Mkuu kuongoza nchi zetu za kiafrika sio kazi ndogo, ugumu unaanzia kwenye jamii ya wasomi, inachangia katika kuleta tafsiri hasi kwa kile kinachokuwa kikifanyika.
Bingwa wa maamuzi magumu mbona ameshindwa kuichukua bombandier canada?
*Bingwa wa maamuzi magumu mbona ile meli ya wachina anadaiwa mpaka sasa?
*Bingwa wa maamuzi magumu mbona ameshindwa kudai zile hela alizosema anaidai acacia?
Bingwa kwa lipi? Mbona sijaona ubingwa wake lbd wa kuwakomoa watu kwa kuwapiga risasi.
Bingwa wa maamuzi magumu bila kujua sheria ni sawa na mfu.
Magu ni sawa na baba mwenye nyumba anayesema leo sitaki mtu apike hapa, yaan hakuna kula chakula. Halafu na yy anajisifia ana maamuzi magumu wakati ujinga tu.
Hayo maamuzi magumu ya kuwapiga risasi wapinzani? Km ana maamuzi magumu na yenye tija kwa taifa kwann hajachukua tuzo ya raisi bora wa afrika?
 
Kushughulikia suala la ACACIA mpaka matajiri wakaja wakakaa hapa dar kwa zaidi ya mwezi mzima.

Lissu alitaka jamii iwaogope MIGA, akasahau kuwa nchi ni zaidi ya taasisi za kimataifa. Lissu aliingia kwenye uoga dhidi ya matakwa ya wazungu akasahau ukubwa wa maamuzi ya rais wa nchi, hawezi kuwa rais kwa sababu ni rahisi kwake kuchukua upande fulani kutokana na misukumo ya kiuchumi au kisiasa.

Lissu pamoja na kiburi chake cha uanasheria, ndani ya nafsi yake ni muoga, Magufuli pamoja na hasira zake na maamuzi yasiyotabirika, ni mtu jasiri anayemvaa adui uso kwa uso.
Kwahiyo lisu kipindi anapambana na muswada wa gesi hadi bunge likahairishwa huwezi kuona ana hakipewa rungu angeshughulikia ufisadi kwa kasi zaidi????

Kwa vitendo lisu kapambana sana kuhusu wawekezaji wa kifisadi hasa kanda ya ziwa hadi alitupwa jela kipindi icho yupo LEAT mpaka akataka kuuawa akakimbilia uingereza je huyo huoni naye alipambana na wawekezaji wa kifisadi kwa vitendo???

Hakuna mahali lisu aliogopa wazungu na huu ndio upotoshaji ambao CCM mlitaka kuaminisha watanzania..... Alichosema lisu na video zimejaa youtube alisema kuwa ukitaka washughulikia mafisadi wa kimataifa inatakiwa uhakikishe hawana mwanya wa kisheria ambao wanaweza utumia ili kuepuka kesi ndio akatoa mifano ya vifungu kibao ambavyo ACACIA wanaweza kutumia na kutushinda kisheria KAMA WAKIAMUA ZKUKIMBILIA ICSID...... Na kma ulivyoona tulivyobadilisha sheria ndio wazungu wakashindwa pa kutokea so ushauri wa lisu sikuona wapi kaogopa ama kuabudu wazungu ila sijui kwanni ccm mlitaka kupotosha hilo

Lisu ni muoga??? Unaweza ukatoa mfano mmoja unaoonyesha uoga wa lisu?? Hivi mtu aliyemiminiwa risasi zaidi ya 38 bado amepona na anasema ataendelea na mapambano hivi huyo mtu ni muoga??? Afu utamlinganishaje na magufuli ambaye anaogopa kumshughulikia kikwete na mkapa.... Ok utasema wana kinga ila je familia zao zina kinga??? Yale makampuni yao ya kifisadi ya kinga??? Je wahusika richmond na tegeta escrow wana kinga??? Vp almasi na tanzanite watakamatwa lini??? Je nani muoga kati yao???

Nasubiri unitajie coward hapo ni nani
 
Mkuu, ukweli ni moja tu, Lissu amebobea kwenye sheria tu, hana uzoefu wa sekta nyingineo zaidi ya kuwa fundi ya kauli za kubeza na kukejeli.

Lissu ndio aliyemponda Mwalimu Nyerere na legacy yake tena ndani ya bunge, hana hekima na busara za kuwa rais.

Sio JPM ni malaika, anao udhaifu wake lakini ni mtu mfuatiliaji wa mambo, asiyeyumbishwa kirahisi tu.

JPM huwezi mlinganisha na Lissu, anaweza kuwa waziri kweli lakini hana haiba ya urais, mropokaji mwenye uwezo wa kuitenganisha jamii badala ya kuiunganisha.
Nchi inaongozwa kwa katiba na sheria je huoni mtu anayefaham sheria kma lisu ndio anaweza kuhandle uongozi wa nchi hii pia???

Licha ya kwamba lisu ni mwanasheria ila wote tunajua ni kati ya wabunge wasomi yaani mtu ambaye anasaka maarifa huku na kule hivyo anajua mambo mengi sana kwa sababu anasoma sana sasa kivp useme kisa ni mwanasheria hayo mengine hayawezi??? Unatumia vigezo gani kusema hatoweza?? Je umeshawahi mpa kazi akaishindwa???

Lisu hakumponda nyerere alisema kuwa anapoonyesha udhaifu wa nyerere ndio anathibitisha uanadamu wake ikimaanisha kwamba nyerere hakuwa perfect sasa kma hakuwa perfect kivp mtu akikosoa udhaifu wake aonekane msaliti kama lisu???

Magufuli hayumbishwi??? Si ndio yeye alisema anapambana na rushwa ila mnyeti akapandishwa cheo??? Si ndio yye anapambana na vyeti feki ila makonda kaachwa?? Si ndio yye alisema hateui mpinzani ila akamchukua mkumbo na mghwira?? Si yye alisema akikutumbua hakurudishi serikalini ila akamrudisha anna kilango?? Msimamo wa magufuli ni upi hasa embu nipe mmoja tu

Unaposema lisu hana haiba ya urais kisa mropokaji hivi magufuli ana haiba ya urais tukiwa serious??? Magufuli sio mropokaji?? Magufuli ndio hagawi taifa?? Siku anasema shein asiweke wapinzani serikalini hakugawa taifa?? Siku anasema wapinzani vil.aza hakugawa taifa?? Siku anasema hakuchaguliwa na mtu ila alishinda sababu ya rozari na maombi hakugawa taifa hasa kwa waliompigia kura?? Hivi siku akiwa kigoma anasema wabunge wa ccm wasimame na kumbagua mhe kasuku hakugawa wanakigoma kwa misingi ya vyama??

Embu nipe mfano mmoja ambao magufuli ameliunganisha taifa na pia hajaropoka?? Moja tu
 
Phillipo Bukililo ,

..ni kweli TL hana uzoefu wa kuongoza wizara mbalimbali kumlinganisha na Magufuli.

..ingependeza kama angepata fursa kama alizopata Magufuli, lakini sote tunaelewa kwamba maisha yake ya kisiasa yamekuwa upande wa upinzani.

..na ni kweli kwamba TL amebobea zaidi ktk masuala ya sheria and in particular haki za binaadamu.

..that is a plus, if you ask me. Kwasababu inaonyesha kwamba TL anapenda HAKI na anajali WATU. Hiyo ni sifa nzuri kwa mtu yeyote anayetaka uongozi.

..Pia sijaona mwanasheria wa haki za binaadamu asiye mwanaharakati.

..Mwisho, wako Maraisi wengi tu ambao hawakuwa na uzoefu kama wa JPM lakini walitumikia mataifa yao kwa weledi mkubwa.

..Mfano mmoja ni Meles Zenawi ambaye nadhani hata chuo kikuu hakumaliza. Yeye alikuwa Waziri Mkuu wa Ethiopia baada ya kuwa mpiganaji wa msituni. Huyu bwana amefanya mabadiliko makubwa sana ya kiuchumi Ethiopia.

..Kwa mtizamo wangu ni makosa kum-dismiss TL moja kwa moja kuwa hafai kama ulivyojaribu kufanya.

NB:

..kuhusu sakata la MADINI, Mh.Lissu amekuwa ahead of a lot of ppl ktk kubainisha nini kinatakiwa kufanyia.

..Ukiweka siasa pembeni, utabaini kwamba Mh.Lissu ni rejea ya sheria za madini na nishati hapa nchini.

..Mambo ambayo JPM anahangaika nayo 2017 Tundu Lissu alishayatolea ufafanuzi tangu miaka ya mwanzoni ya 2000.

..Serekali imetekeleza mambo ambayo TL alipendekeza na mojawapo ni kuwa kesi zetu dhidi ya makampuni ya madini zisiamualiwe ktk mahakama za usuluhishi wa migogoro za nje.
 
Now that Tundu Lissu has made some progress in his convalescence, it is of no surprise that he has decided to get back into the fray.

He has done several interviews with both foreign and domestic media outlets, he has penned a letter from a Nairobi hospital bed, and lastly held a presser In Nairobi right before his voyage to Belgium. I wonder if we’ll also get a ‘letter from a rehab room in Brussels or wherever he’s at in Belgium. We shall see.

Having done all that, he is also now fair game. It’s now okay to respond to him, to attack him [not physically], to criticize him, etc.

Because he has basically picked up where he left off, I’m starting to hear some folks in certain quarters float his name as a potential 2020 presidential candidate. Perhaps these folks think he has shown he has what it takes to take on the JPM in the next presidential contest. That’s fine. Nothing wrong with that. If I were him I’d probably try to parlay the notoriety I’ve gained over these past two years into something bigger, like the presidency.

But I’ve said it so many times, right here and elsewhere, that he is not a presidential material. He is, at best, a political gadfly, and maybe, at worst, a rabble-rouser.

A presidential material, he is not.

Just my two cents from a distance. I wish you all a happy Sunday!

NB: HICHO KICHWA CHA MADA SIYO CHANGU. NI CHA KWAO JAMIIFORUMS. WAMENIBADILISHIA. SIKUBALIANI NA KITENDO CHAO.

The hate being blasted at Lisu from his haters is strongly the result of envy, shame, anger and frustration. NyaniNgabu and the other haters are calling him every name in the book.. Now he is out of danger they focus on every single thing he says or does in hospital bed. Tundu Lisu knows how to fights back in an effective manner (Provoking your black centered heart). And when he does so, all you can do is call him names(..Gadfly ,Rabble-rouser).

God spared and saved Tundu Lisu’s Life for you haters to think before you act.
 
Phillipo Bukililo ,

..ni kweli TL hana uzoefu wa kuongoza wizara mbalimbali kumlinganisha na Magufuli.

..ingependeza kama angepata fursa kama alizopata Magufuli, lakini sote tunaelewa kwamba maisha yake ya kisiasa yamekuwa upande wa upinzani.

..na ni kweli kwamba TL amebobea zaidi ktk masuala ya sheria and in particular haki za binaadamu.

..that is a plus, if you ask me. Kwasababu inaonyesha kwamba TL anapenda HAKI na anajali WATU. Hiyo ni sifa nzuri kwa mtu yeyote anayetaka uongozi.

..Pia sijaona mwanasheria wa haki za binaadamu asiye mwanaharakati.

..Mwisho, wako Maraisi wengi tu ambao hawakuwa na uzoefu kama wa JPM lakini walitumikia mataifa yao kwa weledi mkubwa.
Lissu anafaa kwenye wizara ya sheria na taasisi zake. Siupingi uwezo wake kitaaluma ila kwenye urais bado sana.
..Mfano mmoja ni Meles Zenawi ambaye nadhani hata chuo kikuu hakumaliza. Yeye alikuwa Waziri Mkuu wa Ethiopia baada ya kuwa mpiganaji wa msituni. Huyu bwana amefanya mabadiliko makubwa sana ya kiuchumi Ethiopia.

..Kwa mtizamo wangu ni makosa kum-dismiss TL moja kwa moja kuwa hafai kama ulivyojaribu kufanya.

NB:

..kuhusu sakata la MADINI, Mh.Lissu amekuwa ahead of a lot of ppl ktk kubainisha nini kinatakiwa kufanyia.

..Ukiweka siasa pembeni, utabaini kwamba Mh.Lissu ni rejea ya sheria za madini na nishati hapa nchini.

..Mambo ambayo JPM anahangaika nayo 2017 Tundu Lissu alishayatolea ufafanuzi tangu miaka ya mwanzoni ya 2000.

..Serekali imetekeleza mambo ambayo TL alipendekeza na mojawapo ni kuwa kesi zetu dhidi ya makampuni ya madini zisiamualiwe ktk mahakama za usuluhishi wa migogoro za nje.
 
Nchi inaongozwa kwa katiba na sheria je huoni mtu anayefaham sheria kma lisu ndio anaweza kuhandle uongozi wa nchi hii pia???

Licha ya kwamba lisu ni mwanasheria ila wote tunajua ni kati ya wabunge wasomi yaani mtu ambaye anasaka maarifa huku na kule hivyo anajua mambo mengi sana kwa sababu anasoma sana sasa kivp useme kisa ni mwanasheria hayo mengine hayawezi??? Unatumia vigezo gani kusema hatoweza?? Je umeshawahi mpa kazi akaishindwa???

Lisu hakumponda nyerere alisema kuwa anapoonyesha udhaifu wa nyerere ndio anathibitisha uanadamu wake ikimaanisha kwamba nyerere hakuwa perfect sasa kma hakuwa perfect kivp mtu akikosoa udhaifu wake aonekane msaliti kama lisu???

Magufuli hayumbishwi??? Si ndio yeye alisema anapambana na rushwa ila mnyeti akapandishwa cheo??? Si ndio yye anapambana na vyeti feki ila makonda kaachwa?? Si ndio yye alisema hateui mpinzani ila akamchukua mkumbo na mghwira?? Si yye alisema akikutumbua hakurudishi serikalini ila akamrudisha anna kilango?? Msimamo wa magufuli ni upi hasa embu nipe mmoja tu

Unaposema lisu hana haiba ya urais kisa mropokaji hivi magufuli ana haiba ya urais tukiwa serious??? Magufuli sio mropokaji?? Magufuli ndio hagawi taifa?? Siku anasema shein asiweke wapinzani serikalini hakugawa taifa?? Siku anasema wapinzani vil.aza hakugawa taifa?? Siku anasema hakuchaguliwa na mtu ila alishinda sababu ya rozari na maombi hakugawa taifa hasa kwa waliompigia kura?? Hivi siku akiwa kigoma anasema wabunge wa ccm wasimame na kumbagua mhe kasuku hakugawa wanakigoma kwa misingi ya vyama??

Embu nipe mfano mmoja ambao magufuli ameliunganisha taifa na pia hajaropoka?? Moja tu
Lissu kwa urais bado, tena bado sana. Anafaa huko huko TLS na kwenye masuala ya utetezi wa watu kisheria.

Ni mtu ambaye hawezi kuwa mbali na uanaharakati, kibaya kwake ni ile personality iliyojaa dharau huku akitumia maneno ya kumshusha mtu thamani.

Ukichimba kwa undani kwenye substance yake utaona kuwa zaidi ya sheria na misingi yake, hana jipya linalofikirisha.

Ni bahati mbaya tu kuwa mzee Lowassa hayupo imara sana kiafya, lakini kiuongozi na kihekima yupo juu sana kumlinganisha na Lissu.
 
I support Gabu! Piga ua. He is not a presidential material kwa sasa, kesho na hata milele. Sababu ni mtu wa
1. Jazba
2. Ku-exaggerate issues
3. Kusema uongo tena kwa watu ambao wala hawana uchungu na nchi sanasana , wasioitakia nchi mema.
Hafai. Hafai/ Hafai.
yeye anafaa katika kupiga makelele tu!
 
Lissu kwa urais bado, tena bado sana. Anafaa huko huko TLS na kwenye masuala ya utetezi wa watu kisheria.

Ni mtu ambaye hawezi kuwa mbali na uanaharakati, kibaya kwake ni ile personality iliyojaa dharau huku akitumia maneno ya kumshusha mtu thamani.

Ukichimba kwa undani kwenye substance yake utaona kuwa zaidi ya sheria na misingi yake, hana jipya linalofikirisha.

Ni bahati mbaya tu kuwa mzee Lowassa hayupo imara sana kiafya, lakini kiuongozi na kihekima yupo juu sana kumlinganisha na Lissu.
Hayo yote unayosema lisu hana je magufuli anayo??? Maana hapa ni magufuli na lisu hayo ya lowassa yakae pembeni

Just be open mfano unasema lisu hana busara na hekima basi tuelezee magufuli anazo?? Kama hana kipi kinakufanya uone lisu hatoweza ilihali mjitu kama magufuli ambao hana hata staha ya maneno wala hekima amekuwa rais???

Basi tufanye lisu hana haiba ya urais je unamaanisha lisu is beyond repair kwamba hawezi badilika??? Mnyika wa sahivi ni sawa na yule wa 2011 aliyekuwa na jazba muda wote?? Hata magufuli naamini mpaka anamaliza urais atakuwa amebadilika kisa maana uongozi unakushape hivyo naamini madhaifu ya lisu yanarekebishika tu
 
I support Gabu! Piga ua. He is not a presidential material kwa sasa, kesho na hata milele. Sababu ni mtu wa
1. Jazba
2. Ku-exaggerate issues
3. Kusema uongo tena kwa watu ambao wala hawana uchungu na nchi sanasana , wasioitakia nchi mema.
Hafai. Hafai/ Hafai.
yeye anafaa katika kupiga makelele tu!
Kipi hapo ambacho magufuli hana from 1 to 3
 
dogo. Lissu Yuko Brussels anakutana na delegation ya EU. pia atakutana UN, IMF na Word Bank

kwa heshima aliyonayo ni zaidi ya uraisi wenu wa pale ferry kwenye harufu mbaya.

we pamoja na kuwa mtumwa wa kingereza uchwara, huwezi pata hiyo nafasi ya kukutana viongozi wa dunia.
hata bwanako magu hana ubavu sa kuzungumza na dunia
Akishakutana nao itakuwaje???
 
Lissu anaweza akawa Rais mzuri kama
1. Akipunguza jazba ,maana anapoongea ndo mzuka wake unapanda , hivyo anaongea mambo mengi yanayokinzana,mzuka ukipanda anaweza sema lolote bila kujali matokeo yake, mfano ''nyerere alikuwa muongo na alizoea vya kunyonga ,live akiwa bungeni'' etc.
2. Awe mzalendo kwa nchi yake bila kujali matatizo au ugumu katika masuala mbalimbali aliyopitia. Akubali sote tunajenga taifa moja, vitu ambavyo alivianzisha miaka nyuma yanaweza yakatekelezwa na yeye au watu wengine, sio lazima kila kitu lazima akifanye yeye tu, Lipumba ni mwanzilishi wa sera ya elimu bure, mkapa katika kampeni zake alikuwa anamtukana limpumba na kusema hizo pesa mtazitoa wapi? alipoingia madarakani mkapa pasipo aibu akapunguza ada ya shule za sekondari ,shule za kutwa zikawa hadi 8000tzsh, baadae sera ikachukuliwa na ukawa ikawa elimu bure hadi university, hatimaye magufuli anaitekeleza, hivi ndivyo tunavyojenga taifa moja.
3. Asipende sana mataifa ya kigeni kutafuta suluhu, vitu vidogo anataka mataifa sijui kanda mbalimbali ziingilie au zishauri.
4. Awe na udhoefu pia katika Nyanja mbalimbali.
 
Back
Top Bottom