Uchaguzi 2020 Tundu Lissu is not Presidential Material

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu is not Presidential Material

dogo. Lissu Yuko Brussels anakutana na delegation ya EU. pia atakutana UN, IMF na Word Bank

kwa heshima aliyonayo ni zaidi ya uraisi wenu wa pale ferry kwenye harufu mbaya.

we pamoja na kuwa mtumwa wa kingereza uchwara, huwezi pata hiyo nafasi ya kukutana viongozi wa dunia.
hata bwanako magu hana ubavu sa kuzungumza na dunia
Interesting ....
Leo Lissu anautaka huo uraisi wetu usio na heshima[kwa mujibu wa maandishi yako] kuliko kubaki Brussels na kukutana na delegation ya EU!
 
A stupid reason let rest on stupidity, you haven’t expressed a single reason as to why he shouldn’t be a president but rather expressed your personal feelings and hate towards the man, degrading him, name calling that’s all you are up to and good at !

I’m rightly so to call it stupidity at best!

Listen to former President to thwart your feelings, do you know why he said those words ??[emoji116]


A stupid argument rest on stpidity....Have we been told here why the guy should be the President....a BIG NO...what we are seeing here is just name calling...you are just shouting...you arenot arguing...Don't shout, argue...
 
A stupid argument rest on stpidity....Have we been told here why the guy should be the President....a BIG NO...what we are seeing here is just name calling...you are just shouting...you arenot arguing...Don't shout, argue...

..umesahau kauli za matusi na udhalilishaji za Jpm?
 
NB: HICHO KICHWA CHA MADA SIYO CHANGU. NI CHA KWAO JAMIIFORUMS. WAMENIBADILISHIA. SIKUBALIANI NA KITENDO CHAO.
Sawa, Mkuu, tuamini kuwa Moderators walibadili kichwa cha uzi wako ulioanzisha.

WAKATI ilikuwa January 2018. SASA hivi ni 2020.

Je. Bado unapingana kichwa cha uzi huu!?

Kumbuka hayo maneno kwenye kichwa cha uzi uliyaandika kwenye post namba moja ya uzi huu.
 
Now that Tundu Lissu has made some progress in his convalescence, it is of no surprise that he has decided to get back into the fray.

He has done several interviews with both foreign and domestic media outlets, he has penned a letter from a Nairobi hospital bed, and lastly held a presser In Nairobi right before his voyage to Belgium. I wonder if we’ll also get a ‘letter from a rehab room in Brussels or wherever he’s at in Belgium. We shall see.

Having done all that, he is also now fair game. It’s now okay to respond to him, to attack him [not physically], to criticize him, etc.

Because he has basically picked up where he left off, I’m starting to hear some folks in certain quarters float his name as a potential 2020 presidential candidate. Perhaps these folks think he has shown he has what it takes to take on JPM in the next presidential contest. That’s fine. Nothing wrong with that. If I were him I’d probably try to parlay the notoriety I’ve gained over these past two years into something bigger, like the presidency.

But I’ve said it so many times, right here and elsewhere, that he is not a presidential material. He is, at best, a political gadfly, and maybe, at worst, a rabble-rouser.

A presidential material, he is not.

Just my two cents from a distance. I wish you all a happy Sunday!

NB: HICHO KICHWA CHA MADA SIYO CHANGU. NI CHA KWAO JAMIIFORUMS. WAMENIBADILISHIA. SIKUBALIANI NA KITE

Inawezekana Lissu sio presidential material. Lakini ambaye ni worse ni yule anayemwoza mama yake barabarani!
 
Back
Top Bottom