figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa chama cha CHADEMA, amesema akioata madaraka, kitu cha kwanza atakachofanya ni reforms.
Amesema chama kinatakiwa kiwe na katiba inayoeleza ukomo wa madaraka.
Kutokuwepo na ukomo wa madaraka unafanya watu wajione ni Chama cha Familia.
Ameyasema hayo wakati akiju Maswali Clubhouse.
Tundu Lissu
Kwa Mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika alitangaza rasmi kuwa kutakuwa na Uchaguzi Mkuu wa Viongozi wa Kitaifa na Mabaraza ya Chama hicho utakaofanyika January mwaka 2025 ambapo fomu za kugombea Uongozi ngazi ya Taifa zinapatikana Ofisi za Makao Makuu ya Chama na Mabaraza na Ofisi za Kanda, Mikoa na Wilaya kuanzia December 17,2024 na mwisho wa kurejesha fomu ni January 05,2024 saa 10 jioni.
Tayari Tundu Lissu na Freeman Mbowe wameshachukua fomu za kugombea Iwenyekiti Taifa.
Soma: Tundu Lissu arudisha fomu makao makuu ya CHADEMA akiwa amevaa bulletproof. Hii ina maana gani?
Amesema chama kinatakiwa kiwe na katiba inayoeleza ukomo wa madaraka.
Kutokuwepo na ukomo wa madaraka unafanya watu wajione ni Chama cha Familia.
Ameyasema hayo wakati akiju Maswali Clubhouse.
Tundu Lissu
Kwa Mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika alitangaza rasmi kuwa kutakuwa na Uchaguzi Mkuu wa Viongozi wa Kitaifa na Mabaraza ya Chama hicho utakaofanyika January mwaka 2025 ambapo fomu za kugombea Uongozi ngazi ya Taifa zinapatikana Ofisi za Makao Makuu ya Chama na Mabaraza na Ofisi za Kanda, Mikoa na Wilaya kuanzia December 17,2024 na mwisho wa kurejesha fomu ni January 05,2024 saa 10 jioni.
Tayari Tundu Lissu na Freeman Mbowe wameshachukua fomu za kugombea Iwenyekiti Taifa.
Soma: Tundu Lissu arudisha fomu makao makuu ya CHADEMA akiwa amevaa bulletproof. Hii ina maana gani?